Wakuu,
ACT Wazalendo wana jambo lao leo. Kaa karibu na uzi huu kupata updates mbili tatu
https://youtube.com/live/eLJsZyyV4DU?feature=share
Hali ilivyo kwenye Ukumbi wa Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo unaofanyika leo Agosti 6, 2025, Mliman City Jijini Dar es Salaam, katika Mkutano huo...