mtu

  1. TUKANA UONE

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

    Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao! Any way Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba...
  2. Brojust

    JamiiForums Tanzania Nina swali Hapa jamiiforums, Hivi kwanini mtu akidanganya au akisema kitu kinachoashiria uongo mnasema CHAI ?

    1. Chai (uongo) asili yake ni nini ? 2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ? 3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ? NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote. Ahsante.
  3. Gol D Roger

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ni mtu mwenye akili zaidi ya tunavyodhani

    Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini. Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo flani hawaelewi, hii wanafanya kwa makusudi kabisa na wanajua wanachokifanya, sio bahati mbaya...
  4. Kabende Msakila

    JamiiForums Tanzania SSH ni hazina ya nchi - MTU asilete mzaha na chokochoko juu yake - aendae tofauti tutamlaani kwa maneno na matendo

    Wana Jf, Salaàm! Nawaambia kuwa CCM tuko tayari kufanya kusikiliza wenzetu wanataka nn lkn siyo suala la Samia Must Go. Rais wetu yupo kikatiba - hatutaacha atoke kabla ya muda wake kuisha - yeyote mwenye fikra hizo aache mara moja. * Mchango wa SSH ktk elimu, afya, madini, siasa, Kilimo...
  5. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Je, ulishiriki Stories of Change? Tafadhali angalia PM yako

    Katika mpango mkakati wa JamiiForums (JF) wa miaka 5 (2020-2024), JF ilidhamiria kuendesha shindano lenye kuwawezesha wananchi kushiriki katika kuongeza ubora wa maudhui ya Kiswahili yenye kuchochea mabadiliko. Shindano hili lianza rasmi mwaka 2021 na huendeshwa kila mwaka. Mwaka 2023 kuanzia...
  6. Troublemaker

    JamiiForums Tanzania Unamuondoleaje mtu hofu ya vitu kama wadudu

    Hello Jf. Kuna partner wangu umri ni 30+ Jinsia KE Yaani ana hofu mno na vitu kama nyuki waliorundikana, uyoga, au wadudu wowote wamerundikana rundikana au viumbe vyovyote hasa wadudu. Yaani anasisimka mpaka analia ni unaanza kumbembeleza na kumuonea horuma yaani anakuwa kama...
  7. Lanlady

    JamiiForums Tanzania Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli

    Maisha magumu sana aisee. Asubuhi asubuhi mtu anawaza kutapeli. Halafu sijui hawajui kuwa tulishawastukia! Kuandika kwenyewe hawajui. Wanadhani kila mtu anaishi nyumba ya kupanga. Wanasaikolojia wakisaidie hiki kizazi. Ajira zimekuwa ngumu sana
  8. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Habari nzuri kwa makampuni ya Mabasi: CATL wazindua battery yenye lifespan ya miaka 15!

    Watengenezaji wakubwa wa battery za magari ya umeme CATL jana (tar 13 Sept) wamezindua battery Tectrans Bus Edition kwaajili ya mabasi ya umeme yenye lifespan ya miaka 15 au Kilometa Mil 1.5 na warranty ya miaka 10 au kilometa Million 1. Hii battery ina energy density ya 175 Wh/kg ambayo ni...
  9. Mayor of kingstown

    JamiiForums Tanzania Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

    Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia. Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea . Binafsi hili jambo lina...
  10. U

    JamiiForums Tanzania MWONGOZO rasmi wa kiroho wa kufuata mnapokuta maiti ya mtu ameuawa mtaani kwenu na hamjui nani kamuua

    Wadau hamjamboni nyote? Huu ndiyo utaratibu wa kufuata inapotoea mtu ameuawa kwenye maeneo yenu na aliyemuua mtu huyo hajulikani Kumbukumbu la Torati 21:1- 9 1 Aonekanapo mtu ameuawa katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako, kuimiliki, amelala kondeni, wala haijulikani ni nani aliyempiga; 2...
  11. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Kwanini Blockchain Si ya Wenye Pesa Tu, Ni ya Kila Mtu!

    Sikiliza, kuna maneno ambayo yamekuwa yakizunguka sana kwenye mitandao siku hizi – blockchain, crypto, Bitcoin. Na mara nyingi, watu wanavyosikia haya mambo, wanahisi ni kwa ajili ya matajiri au wataalam wa teknolojia tu. Lakini ukweli ni kwamba, blockchain siyo tu kwa wenye pesa au magwiji wa...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Huwa nachukia sana pale Mtu ambaye namjua Kitabia akiwa mbele za Watu na Camera anadanganya na kujifanya Mtakatifu

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla amewataka wananchi kutosikiliza maagizo ya waganga wa kienyeji yanayochochea ukatili na udhalilishaji, ikiwemo kubaka, kulawiti na kuua. Makalla amesema hayo leo Jumatatu Septemba 9, 2024 Kiteto mkoani Manyara alipozungumza katika...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

    Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?! Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa...
  14. Adam Clark

    JamiiForums Tanzania Tabia 7 zinaonesha kuwa wewe ni mtu mwe IQ ya juu

    Tabia saba zinaonesha kuwa Wewe ni mtu mwe IQ ya juu. 1.Kuongea mwenyewe 2.Kukesha usiku 3.Kuota ndoto za mchana. 4.Kuuliza maswali mengi 5.Kufanya fujo na ukafanikiwa. 6.Kuwa mpweke. 7.Kusoma vitabu. NOTE:ivi vitu ukiwa unavifanya kwenye jamii yetu, kwa mtazamo wa watu utaonekana we...
  15. The25824

    JamiiForums Tanzania Ijue tiba ya ugonjwa wa kusikiliza kila maoni ya mtu

    Kwenye maisha kila mtu ana haki ua kutoa maoni yake kwa vile anavofikiria. Bahati mbaya wengi tumeshindwa kufikia ndoto zetu au kuamua mambo yetu kwa kuishia kusoma comments za watu humu ambao bila kutafakari tumeishia kufanya maamuzi ya juu kwa juu. Ni wangapi wameacha kuanza biashara kwa...
  16. P

    JamiiForums Tanzania Salamu Kutoka Marekani: Nimeuliza kitabu/filamu inayoweza kumfanya mtu aijue Tanzania

    Well! Well! Well! Well!, Mshamba kutoka Tanzania mikoa ya ndani ndani anayewakilisha taifa huku kwa Biden Marekani, nilipata kukutana na washika dau kadhaa. Mimi nimekuja kishamba zaidi ili kuonesha natokea wapi. Basi huwa naeleza kwa kujiamini tu kwamba mimi ni Mtanzania. Nawapiga mikwara na...
  17. C

    JamiiForums Tanzania Wakati wa Utawala wa Ali Hassan Mwinyi, ameshawahi kutekwa au kuuwawa mtu?

    Jamani sina mengi sana nimemkumbuka Rais wangu Ally Hassan Mwinyi, Mungu amjalie pepo ya filidausi, kweli sisi sote ni mashahidi wake na amani iwe juu yake mpaka siku ya kufufuliwa kwake
  18. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa usikubali kukamatwa na mtu yeyote hata kama anavielelezo ,na usikubali mtu akamatwe mbele yako pigana mpaka kufa hatuna Tena wa kumuamini ,

    Nchi imebadilika hakuna wa kumuamini Tena ! Ukamataji wa kizamani hakuna atakayekubaliana nao Tena ,ukiona mwenzako anakamatwa mbele yako au wewe mwenyewe tambua kwamba unaenda kufa au kutupwa kusikojulikana ! Pigana kwa siraha zote uhai Hauna nyongeza sisi sote ni wazazi tuna watoto na wazazi...
  19. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Huyu mtu anayejiita Mwijaku, amesoma Vyuo gani?

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Wakuu nimekuwa nikimuona huyu jamaa Anayejiita "MWIJAKU" (Sijui kama ni jina lake halisi,ufupisho wa jina lake au ni a.k.a yake) kwenye Platform mbalimbali za mitandao ya kijamii akijinadi Kwa sifa kedekede na kuwadhoofisha wapinzani wake akiwemo "Baba...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Ni Kwanini Watanzania hufurahia mtu akipatwa na matatizo au kuyumba kiuchumi au kutumbuliwa?

    Ndugu zangu Watanzania, Mimi Lucas Mwashambwa nikiri kwa moyo wa dhati kabisa pasipo unafiki wa aina yoyote ile ya kuwa ni mtu ambaye hufurahia mafanikio ya mtu,kupanda kwa mtu kiuchumi,kupata mafanikio katika maeneo mbalimbali.mimi nikiona mtu wa karibu yangu au niliyekuwa namfahamu au kusoma...
Back
Top Bottom