Mda ambao mtoto anautumia kuwa shule ni mda mwingi mno.
Namaanisha ni ile anaenda shule saa 11 asubuhi alafu anarudi saa 11 jioni, kuanzia Jumatatu mpaka ijumaa,.
Hii inapelekea mtoto kukosa malezi bora ya mzazi na kutengeneza jamii isio na maadili mema.
Au kama ni ngumu kupunguza mda wa...