mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Mtoto kwa mama hakui

    Mwamba bado ana Fikra za Kuwaletea Jamii maendeleo ya £45,000,000,000,000 wakati Sumu ya Panya ni 100.
  2. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulipata Mtoto wa kwanza ukiwa na miaka mingapi?

    kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto. Je, ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ? Ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ? Swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara ya kwanza ukiwa na miaka mingapi ? ( maana najua hapa wengi huwa wanapata alafu wanatoa )
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto ateketea kwa moto ndani ya nyumba iliyoungua

    Simanzi imeikumba familia moja wilayani Moshi Vijijini baada ya mtoto mwenye umri wa miaka mitatu, Francis David, kupoteza maisha kwa kuteketea ndani ya nyumba iliyoshika moto katika Kitongoji cha Mwitini, Kijiji cha Mwasi Kusini, Kata ya Uru Mashariki. Tukio hilo limetokea Mei 26, 2026 majira...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mtoto mdogo akipigana na baba yake

  5. JamiiForums Tanzania Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

    Juzijuzi hapa nilimtembelea rafiki yangu niliesoma nae secondary. Jamaa anaishi mitaa ya Masaki, maisha yake si haba. Huwezi kumfananisha na sisi wa Tabata Dampo. Jamaa anaishi na mkewe, wana katoto kadogo ka miaka kama mitano au sita hivi. Katoto kao kanaitwa kaJunia, sijui Junya, hivyo hivyo...
  6. JamiiForums Tanzania Kama Alikupa Mimba, akakutelekezea mtoto. Unahaki ya kumnyima huyo Mtoto

    KAMA ALIKUPA MIMBA, AKAKUTELEKEZEA MTOTO. UNAHAKI YA KUMNYIMA HUYO MTOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Hivi ndivyo Watibeli tunavyofanya. Hasa mabinti zetu wakifanya zinaa na uchafu huko. Wakapata watoto wa zinaa(starehe). 2. Hatuwezi kuukataa Ukweli. Hata kama ukweli unatugusa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Gharama za upandikizaji wa mtoto hospitali ya Kairuki

    Kwanza naomba nitoe pole kwenu nyote. Binafsi kwa sasa ninaishi mkoani Mtwara, ni muda mrefu sana nimehangaika kutafuta mtoto na mke wangu kwani mtoto wangu wa kwanza ana miaka 6, baada ya hapo nimehangaika sana kutafuta bila mafanikio. Nilianza matibabu hosp huku mtwara na leo ndio nimepokea...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kisa cha huzuni kuu by Sugu: Walimpiga Risasi Mama na mtoto mgongoni kupitia kifuani mwa mama ikatokezea mgongoni na kumuua mtoto na mama

    Simulizi ya Sugu toka kwa mkazi wa Géita alivyouawa mama na mtoto wake. Very sad story from Sugu! Akamalizia na MATAKO YENU
  9. JamiiForums Tanzania Mtoto kautaka: unakukumbusha nini?

    Kesi maarufu ya "Wabakaji wa Dodoma" iliyohusisha binti wa miaka 17 kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, ilihitimishwa kwa watuhumiwa wakuu kupatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Watuhumiwa hao walipatikana na hatia ya makosa ya kubaka kwa kundi na kulawiti. Mruhumiwa mkuu...
  10. JamiiForums Tanzania Kwa Sisi Watibeli mtoto chini ya miaka sita anafundishiwa Nyumbani

    KWA SISI WATIBELI MTOTO CHINI YA MIAKA SITA ANAFUNDISHIWA NYUMBANI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Iko hivi Sisi watibeli foundation ya mtoto ni miaka 0(akiwa tumboni) mpaka akifikisha miaka 6/7. 2. Foundation hii mtoto wa Kitibeli atajengewa msingi wa a) kiafya ya mwili kuanzia Lishe...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Unaandaaje Lishe ya mtoto wako?

    Hili si la wanawake pekee hata wanaume mnahusika katika kuhakikisha afya za watoto lazima kujua mtoto wenu anatumia lishe gani, je ina faa au bora asibe tu. Kuna kautamaduni ka kuhisi lishe ya mtoto hasa uji ni ule wenye mchanganyiko wa nafaka mbalimbali bila kujua kipimo cha nafaka hizo na...
  12. J

    JamiiForums Tanzania KWELI Inashauriwa kumtahiri mtoto kati ya siku za mwanzoni hadi wiki ya 8 baada ya kuzaliwa

    Wakuu Nimeona hii mtu akiuliza huko nikawa curious pia kujua hili
  13. JamiiForums Tanzania Ziara ya rais Trump pamoja kundi lake na hapo hapo Elon musk na mtoto wake.

    Ukifika malekani ukisikia neno mfia nchi au mzalendo basi ni jambo rahisi kuona kila nyumba ikiwa na bendera ya marekani. Nchi zenye kupenda watu wake zinaangalia utaifa na watu wake.Sio huku tanzania Amani labda za wanyama ambao hawa wezi kuuliza. Kuna mda unaweza kusema sisi ambao raia...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwa familia nyingi au ni chache tu nazozijua yule mtoto aliekuwa hapewi mategemeo makubwa ndie anakuwa tegemezi hapo baadae.

    Huenda walikuwa watundu sana, au wakaonekana wenye kiburi, au wazazi waliwapuuza hata walipokuwa watiifu na wenye heshima. Lakini ukubwani, mambo yanakuwa tofauti, unakuta wanabeba mizigo ya familia kuanzia uchumi hadi usimamizi wa kila jambo.
  15. JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Daa watanzania sasa wamekuwa kama Iran, wanapeleka moto hatari. Prof Kabudi pamoja na kuwananga mabeberu kumbe Binti yake anafanya kazi Norway as a lecturer Sasa Watanzania na Wakenya Wamejipanga kuandamana kwenye chuo anachofundisha uyo binti Ili uongozi wa chuo ujue Binti uyo anafaidika Kwa...
  16. JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje mtoto anazaliwa anajua kunyonya kunya nk ila hamjui mungu mpaka afundishwe?

    Mpaka akue afundishwe ndipo amjue why? Si kaumbwa na Huyo mungu shida ni nini? Mpaka afundishwe uwepo wake
  17. JamiiForums Tanzania HATARI ! sasa mtoto wa Kiume analindwa kwenye malezi kulliko mtoto wa Kike

    Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
  18. JamiiForums Tanzania Mzee akamatwa Kenya kwa kuoa mtoto, ajitetea na dini ya Kiislamu, asema ameona hata mtoto wa miaka tisa akiolewa

    Video: Lizee la hovyo la jamii ya Kisomali Kenya umri wa miaka 46 limekamatwa Kenya kwa kuoa katoto, kuhojiwa linasema dini ya kiislamu inaruhusu hata kuoa katoto ka umri wa miaka tisa. Majirani walitoa ripoti kwamba walikua wanaskia huyo mtoto akilia usiku, inasemekana mtoto alikua...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Mdau je, ni sahihi kumruhusu mtoto kutumia AI kama nyenzo ya kujifunzia?

    Katika ulimwengu unaoendeshwa na kasi ya maendeleo ya teknolojia, matumizi ya Akili Unde (AI) yameanza kuwa sehemu ya maisha ya kila siku, ikiwemo katika malezi na elimu ya watoto. Wazazi na walezi wanakabiliwa na uamuzi muhimu: je, ni sahihi kumruhusu mtoto kutumia AI kama nyenzo ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…