msongo wa mawazo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Kuna Uwezekano mkubwa anayejiita kaka yake Humphrey Polepole akawa na matatizo ya akili na msongo wa mawazo

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano Mkubwa sana mtu anayejiita Kaka Yake Humphrey polepole Akawa na Matatizo ya akili pamoja na Msongo Wa Mawazo. Ni mtu ambaye ukimsikiliza vizuri na kwa umakini unabaini wazi kabisa ni mtu ambaye hayupo sawa kichwani na pengine ameelemewa na msongo wa mawazo...
  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Wauguzi MOI wapatiwa mafunzo ya kudhibiti msongo wa mawazo

    Wauguzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamepatiwa mafunzo maalum yanayolenga kuwajengea uwezo wa kutambua, kuepukana na kudhibiti msongo wa mawazo unaotokana na mazingira yao ya kazi pamoja na changamoto za kijamii wanazokutana nazo majumbani. Mafunzo hayo yamenyika leo...
  3. Marmeid

    Je kuna tukio lilishawahi kukupa depression

    Habar wana JF natumaini wote wazima poleni pia na majukumu yanayo wakeep busy . Nilisha wahi kupewa nisimamie mradi wa misitu ya serikali mwaka fulani, lakin kwa bahati mbaya zilidaka moto kwenye heka 150, zilipona heka 40 ambazo ndo zilikua kwenye matazamio ya uzalishaji , na ndo ilikua kama...
  4. mwehu ndama

    Kuzolota kwa D9 kumeniacha na msongo wa mawazo

    Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane.. Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na...
  5. Samia atosha tukutane2030

    Msiompenda Samia aidha muamue kumpenda au msongo wa mawazo uwashughulikie

    Walianza oohh katiba ya chama na nchi vimepuuzwa. Ukiwaambia tuwekee hapa vipengele vya katiba ya chama na nchi vilivyopuuzwa hawana jibu. Waliposhindwa kushinikiza wajumbe wa CCM wafanye matakwa yao wakaamua kuungana na wapinzani kutaka kumpindua wakiwahamasisha wananchi kuwa polisi wako...
  6. W

    Kumbukizi: Polepole alisema polisi siyo kwamba wananyanyasa watu kwa kupenda ila wamejawa shida na msongo wa mawazo, alitaka waongezewe maslahi

    Wakuu leo kwenye pitapita zangu huko nikakutana na video ya Bwana Polepole kipindi hiko akiwa anapambani katiba mpya mwaka 2014. Wakati akizungumza alisema kuwa wakati wanakusanya maoni ya katiba mpya aliambiwa kuwa Polisi wana shida nyingi sana, hali zao za kimaisha si nzuri sana. "Polisi...
  7. McLaren

    Kwenye kampuni hii ya Kichina ukiwa na msongo wa mawazo unapewa "likizo ya kutokuwa na furaha"

    Yu Donglai, mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Pang Dong Lai, hivi karibuni ametambulisha sera mpya ya kazi anayoita “likizo ya kutokuwa na furaha.” Kupitia sera hii, wafanyakazi wanapewa uhuru wa kuchukua mapumziko wakati wowote wanapojisikia wamechoka, wamesongwa na mawazo, au...
  8. Hata najua basi

    Msongo wa mawazo unataka kuniua, ndoa yangu imekuwa kiama changu

    Habari zenu wakuu Kwanza niombe radhi kwa atakaekereka na uandishi wangu maana sio mwandishi mzuri, darasani nilishia la 7 Tukirudi kwenye mada mimi ni mama wa watoto wawili mpaka sasa nina miaka 28 kuna story huko nyuma ya kuumiza ambayo ndio imepelekea mpaka leo nimefika hapa. Kutokana na...
  9. Y

    Nina msongo wa mawazo, maisha hayana maana kwangu, msaada wa mawazo

    Asanteni sanA.
  10. MAFIA MGAX

    Nilianza kujitambua kuwa ni mgonjwa wa akili tangu mwaka 2021(msongo)

    Habari wanajamiiforum. Muda huu ninaona ni vyema nitoe dukuduku langu ili nipate msaada na ushauri nasaha Nilianza kujitambua kuwa ni mgonjwa wa akili tangu mwaka 2021(msongo).kipindi hicho nilikuwa mdogo kiasi lakini nilikuwa naona vitendo vya hali ya kunyenyekewa sana Pale...
  11. Dalton elijah

    Msongo wa Mawazo: Janga Lisilopewa Kipaumbele

    Msongo Wa Mawazo ni tatizo kubwa barani Afrika, lakini bado haupewi uzito unaostahili. Watu wengi wanateseka kimya kimya kwa hofu ya kuhukumiwa, wakibeba maumivu ya kiakili yanayoharibu afya zao, familia zao, na maisha yao kwa ujumla. Jamii zetu zimezoea kuficha mateso ya ndani kwa maneno kama...
  12. Waufukweni

    Daktari bingwa wa Watoto Kibosho, ajiua Kisa Msongo wa Mawazo

    Daktari bingwa wa watoto kutoka Hospitali teule ya Kibosho Wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro, Magreth Joseph Swai (30) ameripotiwa kujiua kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa antena. Akizungumza kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa...
  13. Vamigo

    Msongo wa mawazo unataka kunimaliza

    “Wakati mwingine unafika sehemu maisha yanakuonesha sura yake halisi. Nimekuwa nikipambana kuinusuru biashara yangu bila mafanikio, rasmi nimefilisika Sina Msaada Kwa mtu yoyote, hakuna mtu mbele yangu ambae namtumainia kama Msaada Kwa kipindi hiki. Nina familia ya mtoto mke na mtoto mmoja...
  14. The Dictator

    Mwanajeshi wa Israel aliyeshiriki kuua halaiki huko Gaza ajiua kutokana na msongo wa mawazo

    Mwanajeshi wa Israel Daniel Edri, ambaye alishiriki katika mauaji makubwa ya halaiki huko Gaza na Lebanon, alijikuta katika msongo mkubwa wa mawazo (PTSD). Kiasi cha kuchukua maamuzi ya kujichoma moto akiwa ndani ya gari lake, ambalo liliungua katika msitu karibu na mji wa Safed uliokaliwa kwa...
  15. Muimba SINGELI

    Nimetoswa hadi na Marry! Nina msongo wa mawazo jamani mkiona nacomment ujinga kwenye nyuzi zenu nisameheni tu ni POMBE.

    Ninamzigo wa mawazo ambao haupimiki kama mnavoniona. Mimi na pombe pombe na mimi. Nimekuwa mtu wa kudance popote ninapokuta sebene. Suti zangu hazinipendezi tena kama zamani Nikiona watu na wapenzi wao roho inaniuma hata kama hayanihusu. Hali yangu imefikia huku sasa. Nisiwasumbue...
  16. Dr isaya febu

    Msongo Wa Mawazo: Athari za msongo wa mawazo kwa mwanamke

    Msongo Wa Mawazo Ni Nini? Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Kwa kawaida mtu hupata msongo wa mawazo pale anaposhindwa au kukosa namna ya kukabiliana na jambo linalomsumbua...
  17. Prayallthetime

    Vijana Tuzitunze Afya Zetu Maana Ndiyo Mtaji Wetu , Nimejawa Na Msongo Wa Mawazo Mwenzenu

    Poleni na majukumu ndugu zanguni . Ni siku nyingine tena tunakaribia kuifunga Mwenyezi Mungu ametujalia kwa tuliobahatika kuiona na tunapoelekea kuifunga . Mimi ni kijana umri wangu miaka 30 , mpaka sasa nina watoto 02 kila mtoto na mama yake , mtoto kwanza ilikuwa enzi za ujana wangu...
  18. M

    Maudhi ya watu ukiwa unayapa uzito utakuwa mtu wa msongo wa mawazo kila saa!

    Ulivyo wewe sivyo alivyo mwingine hivyo mtihani wa kwanza wa kupambana nao ni jinsi ya kuishi na watu bila wao kukuharibia siku yako. Huu ni mtihani kwako kwa sababu wewe ndio unatakiwa ujifunze kuishi nao na sio wao wajifunze kuishi na wewe hivyo hawana habari utaumia au la ila wataishi vile...
  19. Chuo Cha Tafakari

    Safari ya Akili Huru: Tafakuri ya Maisha, Fikra na Uhuru wa Ndani

    SAFARI YA AKILI HURU: Mwaliko wa Kufikiri kwa Uhuru Na: Mwandishi Wako Swali hilo, japo rahisi kwa matamshi, linatetemesha msingi wa maisha ya kila mmoja wetu. Lakini kwa bahati mbaya, wengi wetu hatupendi kujiuliza. Tunashughulika, tunakimbizana, tunatii... ila hatufikiri. Karibu sana...
  20. dogman360

    Usisome Master's kabla ya kupata experience ya kazi . Utakufa na msongo wa mawazo

    .
Back
Top Bottom