Kuzolota kwa D9 kumeniacha na msongo wa mawazo

Kuzolota kwa D9 kumeniacha na msongo wa mawazo

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,095
Reaction score
7,859
Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

IMG20251126130942.jpg
 

Attachments

  • IMG20251211154341.jpg
    IMG20251211154341.jpg
    243.3 KB · Views: 16
  • IMG20251108173709.jpg
    IMG20251108173709.jpg
    346.3 KB · Views: 11
Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

View attachment 3514353
Ukijumlisha na kumuona Samia live leo ndo kabisaa
 
Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

View attachment 3514353
Ila picha za kunyandua hatujaziona
 
Mpaka sasa nahisi dishi langu limeyumba na Chanel hazisomi kabisaa wanawane..

Tangu October 29 na sasa D9 Hadi Leo nimekua nikikesha na kubugia pombe nakunyandua singo mazasi . kwa kifupi nimekua zezeta kama Lucas Mwashambwa .Yaan kila nikiwaza miaka mingine mitano ijayo chini ya mfalme juha na Genge lake , nachoka Mimi mwehu!

View attachment 3514353
Tarehe 25 December ngoma inaendelea.
 
Tanzania nzima wenye akili timamu wote acha wanufaika the rest wako kama wewe hawaelewi kittu kabisa mtu unaweza mshika bega ukasikia anasema achia kichwa changu bhana yaani watu hawwaelewi kitu hauko alone master hii ngumu kumeza
 
Endelea kua mjinga. Waliokua wanakushawishi wako ulaya na marekani wanakula Bata ...wengine wamelipwa mabilions
 
Back
Top Bottom