mrisho mpoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Kumbe Mrisho Mpoto ni mjinga kiasi hiki

    Wahenga huwa wanawaambia watu wapumbavu kukaa kimya ili kuficha upumbavu wao.. Kwakuwa kwa kufungua kinywa tu kila mtu hujua kwamba hakuna kitu hapa Mrisho Mpoto msanii wa kutumainiwa na ccm anasema watu wanafichwa ili wasingizie wametekwa kuichafua serikali Kama huu ndio mtazamo wake basi...
  2. R

    Mrisho Mpoto: Suala la watu kupotea au kutekwa ni la kiusalama, inamuhusishaje Rais

    Akizungumza kwenye kipindi cha Jana na leo -Wasafi FM akijibu swali kuhusu muenendo wa wasanii kwa sasa kuonekana kusifia uongozi na si wajibu wa kupaza sauti za wananchi wanyonge ikiwemo suala la watu kutekwa na kupotea, Mrisho Mpoto ameeleza kuwa jambo hilo ni la Kiusalama na haina uhusiano na...
  3. Fbn

    Mrisho mpoto anataka tuvae viatu vyake kwenye msiba wa mkewe wakati yeye anatembea peku

    Ina maana sisi maumivu yetu sio yake ila ya kwake ni ya kwetu.
  4. kyagata

    Mke wa Mrisho Mpoto alikua na cheo gani mpaka mwili wake ubebwe na bus la jeshi?

    Nimeona mitandaoni huko,mwili wa mke wa mrisho mpoto umebebwa kwenye bus la jwtz. Je huyo marehemu alikua ni Askari wa jwtz?
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Aiseeh! Kejeli na dhihaka zinazotolewa kwa Mrisho Mpoto licha ya kuwa Amefiwa mkewe, ni red alert kama Taifa. Ujumbe "Simama na wananchi"

    Hamjambo! Katika hali ya kustaajabisha katikati ya bahari ya huzuni ya ndugu yetu Mrisho Mpoto, AKA Mjomba. Baada ya kufiwa na mkewe. Ilitarajiwa kama desturi apewe Salamu za Pole. Lakini hali ipo tofauti Kabisa. Wananchi wengi mtandaoni wamekuwa wakali wakionyesha hisia zao kana kwamba...
  6. R

    Mrisho Mpoto: Kwanini wanamtukana Mke wangu?

    Msanii Mrisho Mpoto amekasirishwa na watu wanamtukana marehemu mke wake sababu za itikadi za chama chake
  7. Damaso

    Je, Tumeikosa Huruma Yetu ya Kibinadamu?

    Msiba ni jaribu zito, unaoumiza moyo, unaobomoa ndoto na kuacha pengo lisilozibika. Kwa kawaida, msiba huambatana na majonzi, dua, na faraja kwa wafiwa. Lakini kinachoshangaza na kusikitisha ni pale baadhi ya watu wanapopokea taarifa za msiba kama fursa ya dhihaka, chuki au shangwe kubwa...
  8. mbuzi wa mshenga

    Baada ya kifo cha mke wa Mrisho Mpoto wasanii wamejifunza nini?

    Nimejaribu kufatilia coment za wananchi baada ya Mrisho Mpoto kutoa taarifa za kifo cha mke wake katika ukurasa wake wa kijamii, ila nimeona kwamba kuna wananchi wenye chuki za wazi kwa serikali pamoja na wote wanaowashabikia/ chawa. Je, hii inawapa funzo gani wale wote wanaokuwa karibu na...
  9. KING MIDAS

    Matendo ya ukiukwaji wa haki za binadamu yanafanya watu wawachukie sana watu wanaojipendekeza kwa watu dhalimu. Mrisho Mpoto kapatwa na ujumbe mzito

    Ona alichojibiwa CHAWA kindakindaki Mrisho Mpoto
  10. R

    Angalia majibu anayopewa Mrisho Mpoto baada ya kupost Instagram kuwa amefiwa na mke wake

    Watu wanatembea na visasi rohoni/moyoni. Nenda X muna alivyojibiwa
  11. Intelligent businessman

    TANZIA Mke wa msanii Mrisho Mpoto afariki dunia

    . Msanii maarufu wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, amepatwa na msiba mzito baada ya mke wake kufariki dunia mapema leo kufuatia kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na msanii huyo marehemu alizidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu, lakini...
  12. FK21

    Nini kilichompata mrisho Mpoto?

    Huyu jamaa alijizolea sana umaarufu enzi za utawala wa JAKAYA KIKWETE kwa kutoa nyimbo za kukosoa na kushauri na kuonya utawala wake nyimbo kama SALAMU MJOMBA, ASANTENI KWA KUJA, NIKIPATA NAULI nk Lakini ghafla baada ya utawala wa JK kutoka akabalisha mtindo wa maisha na Wa kuimba nyimbo za...
  13. Waufukweni

    PreGE2025 Amka! Pesa za walipa Kodi zinatolewa kama 'kifuta jasho'. Rais Samia, Mwinyi wagawa bahasha kwa Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye shughuli ya CCM

    Wakuu! Amka! Pesa za walipa Kodi zinatolewa kama 'kifuta jasho' cha Burudani. Rais Samia, Mwinyi wagawa bahasha kwa Mrisho Mpoto baada ya kutumbuiza kwenye shughuli ya CCM huko Dodoma. Soma: Rais Samia kugawa bahasha kwa watumbuizaji ni sawa na kununua watu, anatuonesha hakubaliki bila 'zawadi'?
  14. robbyr

    Udaktari wa Heshima lini atapewa Mrisho Mpoto na Mboso?

    Wadau wa Kiswahili wanaweza kunielewa kwa nini nauliza hivi. Mrisho mpoto na Mboso katika kazi ya sanaa wanakuza na kuendeleza Kiswahili kwa kasi yenye ubunifu wa hali ya juu. Watu kama hawa ili waibukeni wengine lazima kuwa na nafasi ya kutambua mchango wao hasa wa kupewa degree yao ya...
  15. Waufukweni

    Mrisho Mpoto: Rufiji chini ya Mchengerwa kuwa Jiji

    Wakuu, Mjomba kasema Rufiji kuwa Jiji chini ya Mohamed Mchengerwa == Msanii na mwanaharakati maarufu, Mrisho Mpoto, amepongeza kasi ya maendeleo yanayofanyika katika Wilaya ya Rufiji chini ya uongozi wa Mbunge Mohamed Mchengerwa. Akizungumza katika viwanja vya Ujamaa, Rufiji, wakati wa...
  16. The Sheriff

    Mrisho Mpoto si msanii wa kwanza duniani kutembea na kusafiri peku

    Mrisho Mpoto Watanzania wengi wanamjua Msanii Mrisho Mpoto ambaye anafahamika si tu kwa kazi zake, bali pia kwakuwa hutembea peku peku wakati mwingi. Mpoto amejipatia umaarufu kwa utaratibu wake huo katika ukanda wa Afrika Mashariki, lakini je, ni kwanini aliamua kutovipa viatu umuhimu katika...
  17. Cannabis

    Mrisho Mpoto ageuka mbogo, amdai Waziri wa Afya magari ya kubebea wagonjwa bila visingizio vya Covid ama vita vya Ukraine

    Msanii Mrisho Mpoto amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kutumia ukali kufikisha ujumbe kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu mbele ya Rais Samia na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kupokea Ripoti ya Utafiti wa Afya ya uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria na Ugawaji wa Magari ya kubebea wagonjwa...
  18. R

    Mrisho Mpoto utalaaniwa milele na uzao wako kwa kuwadhalilisha/kuwadhihaki walioalikwa Ikulu utiaji wa saini mikataba ya Bandari

    Umedhalilsha Maaskofu na wengine walioalikwa kwenye utiaji sahihi mikataba ya bandari. kama umetumwa na walitoa mwaliko, basi LAANA itakuandamana MILELE NA WATOTO WAKO/UZAO WAKO!
  19. Erythrocyte

    Mrisho Mpoto alaumiwa kwa kumkejeli Padri Kitima Ikulu

    Msanii asiye na Kipaji , Mrisho Mpoto , amelaumiwa na watu wote kwa kutoa maneno ya kejeli dhidi ya Padri Kitima ambaye pia ni Katibu wa TEC. Kukejeliwa kwa Padri Kitima kumetokana na kuonekana kwake kwenye hafla ya kusaini mkataba haramu wa Bandari kati ya Tanzania na DP WORLD ya Dubai ...
  20. J

    Mrisho Mpoto: 95% ya waliokataa mkataba wa DP World tuko nao hapa tunaposaini na baadaye tutakula nao Ubwabwa

    Ni Kauli ya Msanii lakini imebeba ujumbe mzito sana. Yawezekana hao 5% waliopelea kwa mujibu wa takwimu za Mpoto ni wale Chadema na akina Mwabukusi. Sijajua Mrisho Mpoto alitaka kumaanisha nini hasa lakini Ujumbe wake kwa tafsiri yoyote ile ni mzito. Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Back
Top Bottom