mohammed

Muhammad (Arabic: مُحَمَّد‎, pronounced [muħammad]; c. 570 CE – 8 June 632 CE) was an Arab religious, social, and political leader and the founder of Islam. According to Islamic doctrine, he was a prophet, sent to preach and confirm the monotheistic teachings preached previously by Adam, Abraham, Moses, Jesus, and other prophets. He is viewed as the final prophet of God in all the main branches of Islam, though some modern denominations diverge from this belief. Muhammad united Arabia into a single Muslim polity, with the Quran as well as his teachings and practices forming the basis of Islamic religious belief. He is referred to by many appellations, including Messenger of Allah, The Prophet Muhammad, Allah's Apostle, Last Prophet of Islam, and others; there are also many variant spellings of Muhammad, such as Mohamet, Mahamad, Muhamad, and many others.
Born approximately 570 CE (Year of the Elephant) in the Arabian city of Mecca, Muhammad was orphaned at the age of six. He was raised under the care of his paternal grandfather Abd al-Muttalib, and upon his death, by his uncle Abu Talib. In later years, he would periodically seclude himself in a mountain cave named Hira for several nights of prayer. When he was 40, Muhammad reported being visited by Gabriel in the cave, and receiving his first revelation from God. Three years later, in 610, Muhammad started preaching these revelations publicly, proclaiming that "God is One", that complete "submission" (islām) to God is the right way of life (dīn), and that he was a prophet and messenger of God, similar to the other prophets in Islam.The followers of Muhammad were initially few in number, and experienced hostility from Meccan polytheists. He sent some of his followers to Abyssinia in 615 to shield them from prosecution, before he and his followers migrated from Mecca to Medina (then known as Yathrib) in 622. This event, the Hijra, marks the beginning of the Islamic calendar, also known as the Hijri Calendar. In Medina, Muhammad united the tribes under the Constitution of Medina. In December 629, after eight years of intermittent fighting with Meccan tribes, Muhammad gathered an army of 10,000 Muslim converts and marched on the city of Mecca. The conquest went largely uncontested and Muhammad seized the city with little bloodshed. In 632, a few months after returning from the Farewell Pilgrimage, he fell ill and died. By the time of his death, most of the Arabian Peninsula had converted to Islam.The revelations (each known as Ayah — literally, "Sign [of God]") that Muhammad reported receiving until his death form the verses of the Quran, regarded by Muslims as the verbatim "Word of God" on which the religion is based. Besides the Quran, Muhammad's teachings and practices (sunnah), found in the Hadith and sira (biography) literature, are also upheld and used as sources of Islamic law (see Sharia).

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Pakistan yaipigia magoti Israel kuiomba isiwaue Abbas Araqchi na Mohammed Bakari kwani ni watu muhimu kwenye mazungumuzo.

    Israel imewaondoa kwa muda Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi na Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf kwenye orodha yake ya wanaolengwa kuuliwa baada ya kuombwa na Pakistan isiwalenge, chanzo cha Pakistani chenye ufahamu wa mazungumzo hayo kiliiambia Reuters siku ya Alhamisi...
  2. Damaso

    Kifo cha Mohammed Kisingwe na Sintofahamu ya DCEA

    Kifo cha Mohamed Mohamed Kisingwe kimeibua mjadala mzito miongoni mwa wananchi kuhusu uhusiano kati ya vyombo vya dola na usalama wa raia. Tukio hilo, linalohusishwa na operesheni ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), limeacha maswali mengi yasiyo na majibu na hisia...
  3. Pdidy

    Mohamed Shabalala aliona mbali sana Kukimbia Simba

    LEO NILIKUWA NA WANA SIMBA SEHEMU NA HAYA NDIO MANENO YAOOO KAKA DIDY NIKWAMBIE TU SHABALALA ALIKUWA CAPTAIN YULE JAMAA ALIKUWA CLOSE NA VIONGOZI NA KABLA YA KUONDOKA ALITOA BAADHI YA USHAURI WAKAMKATILIA AKAONA BORA AONDOKE AWACHIE SIMBA YULE BWANA AKANZA KUELEZA UKWELI WACHEZAJI WENGINE...
  4. figganigga

    DUBAI: Watanzania acheni kumnyanyasa Samia Suluhu, sasa amekutana na Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum😂😂

    Salaam Wakuu, Tangu kilichoitwa uchaguzi wa 29 Oktoba 2025 kumalizika, Samia Suluhu ameshindwa eti kufanya kazi zake sababu ya unyanyasaji kijinsia. Inadaiwa watanzania wanamsononiesha kwa kumzushia mambo ambayo hajawahi fanya. Martha Mlata Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Kwamba Watanzania...
  5. M

    Mohammed said ametufumbua macho watanzania

    Amefumbua macho kuhusu wanaharakati wa mwanzo Kabla ya maandishi yake: Majina kama Abdulwahid Sykes, Ally Kleist Sykes, na African Association yalikuwa hayajulikani kwa umma Historia ya uhuru ilianza, kwa vitabu vingi, karibu na kuanzishwa kwa TANU (1954) Kupitia tafiti na nyaraka, Mohamed Said...
  6. magnifico

    Mohammed Salah : Merry Christmass 2025.

    Dunia ingekuwa mahali salama kama sote tutaweka chuki pembeni na kuonyesha upendo. MUNGU ANGETAKA TUWE WA DINI MOJA ASINGESHINDWA. LEO HII MKRISTO ANADUNDA, MUISLAMU ANADUNDA, HATA WASIOMUAMINI NAO WANADUNDA PIA.
  7. Ileje

    Ushauri kwa Jaji Mohammed Chande Othman: Ajiuzuru kutoka katika Tume feki!

    Umekuwa Jaji Mkuu ambaye angalau Watanzania walikuwa na imani katika utendaji wako. Ulipewa heshima unayostahili na kwa kiasi fulani uliilinda. Samia anataka kukutumia ili usafishe maovu yake na damu za raia alizomwaga kwa sababu ya uroho wa madaraka! Usikubali! Mikono ya Samia imejaa damu za...
  8. Echolima1

    Waziri wa Ulinzi wa Houthi, Mohammed Nasser al-Atifi anapumulia mashine

    Tovuti ya Yemeni "Defense Line," ambayo inapinga Houthis, iliripoti usiku kucha ikinukuu vyanzo vyake kwamba Waziri wa Ulinzi wa Houthi, Mohammed Nasser al-Atifi, amelazwa hospitalini akiwa katika hali mbaya sana baada ya kujeruhiwa katika shambulizi la Israeli mwishoni mwa Agosti uliolenga...
  9. DuaZaMama

    Coastal Union Yasitisha Mkataba na Kocha Mkuu Ali Mohammed Ameir

    Uongozi wa Klabu ya Mpira wa Miguu - Coastal Union umefikia makubaliano ya pande zote ya kusitisha kandarasi na Kocha Mkuu Ali Mohammed Ameir. Klabu inamshukuru Mwalimu Ali Mohammed Ameir kwa mchango wake uliotukuka kwa kipindi chote alichoiongoza timu yetu. Uongozi wa Coastal Union...
  10. Maya Angelou

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha. Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa...
  11. Pdidy

    Mohammed Sinwar ameliwa kichwa huko na Israel. Hamas wanalia kila kona

    Naangalia Al-Jazeera Naona Kiongozi wa Waasi wa Hamas, Mohammed Sinwar ameliwa Kichwa na yeye ameshakutana na wale Mabikira 72 Ikumbukwe jana tu Msemaji wa Hamas naye amewahi kukutanishwa na wale Mabikira 72 Wakati hayo yakiendelea Waziri Mkuu wa Yemen anayeshirikiana na Houth, Kikundi cha...
  12. McLaren

    GE2025 Sheikh Mohammed Mawinda: Walioko kwenye mfumo hawataki kufuata utaratibu. Vyama vinapotaka mambo yao wanatakiwa kufuata utaratibu

    Mmemuelewa huyu Sheikh lakini wakuu? Huyu mnadhani atakuwa ame-target chama gani hapa ambacho hakifuati utaratibu? ========================================== Akiwa anazungumza leo katika Mdahalo wa Wadau wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 amesema kwamba...
  13. Mohamed Said

    Tunamkumbuka mohammed "Eddie'' Abdulrahman

    https://youtu.be/uz1-24Byc6c?si=pbOQLsmL7XrCFiht
  14. feyzal

    Mohammed Hussein :Zimbwe jr aaga simba

    Ndoa ya Zimbwe na Simba imefikia tamati baada ya miaka 11
  15. Orketeemi

    Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

    Baada ya kutumikia Simba SC kwa takribani miaka 11, nahodha wa klabu hiyo Mohamed Hussein ameagana rasmi na Wekundu wa Msimbazi kufuatia mkataba wake kumalizika na kutoongezwa tena. Mohamed Hussein, maarufu kama "Zimbwe Jr", ameacha alama kubwa ndani ya kikosi hicho akichangia mafanikio...
  16. Komeo Lachuma

    " Kama Mohammed hatoweza kwenda Mlimani, Mlima huenda kwa Mohammed. Ukrain yalipua Kambi kubwa ya kijeshi ya Urusi.

    And the vice versa is true "If the mountain won't go to Mohammed, then Mohammed must go to the mountain"
  17. Dr Adam Francis

    Hongera Prof. Mohammed Janabi, Mkurugenzi WHO Afrika

    Hakuna jambo linafurahisha kama kuona mtanzania mwenzetu anapata mafanikio makubwa kimataifa. Sisi watanzania wazalendo tumeupokea taarifa za kuchaguliwa kwako kuwa mkurugenzi wa WHO Afrika matumaini makubwa. Nafasi aliyoipata Prof. Janabi ni ushindi wetu watanzania kama Taifa. Katika hili...
  18. Ojuolegbha

    Prof. Mohammed Janabi, mgombea kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika

    Prof. Mohammed Janabi, mgombea kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika unaofanyika leo Jumapili Mei 18, 2025 akijinadi mbele ya Mawaziri wa Afya kutoka nchi za Bara la Afrika na kuwaomba kumuunga mkono
  19. Fbn

    Urafiki wa Ajabu wa Samir na Mohammed: Hadithi ya Upendo, Msaada na Maumivu kutoka Damascus ya Kale

    Taswira ya kweli ya wanaume wawili waliopigwa picha kutoka Damascus mwaka 1889: Mkristo Samir alikuwa mlemavu wa kupooza na pia alikuwa mfupi. Na Mohammed, Mwislamu kipofu aliyekuwa akimbeba Samir mgongoni. Samir aliyekuwa mlemavu wa kupooza alimtegemea Mohammed katika safari zake mitaani...
  20. Ritz

    Makamu wa rais wa Ansarallah wa Yemen Mohammed Ali Al-Houthi: tutaendelea na vita kuwaunga mkono Gaza

    Wanaukumbi. ⚡️🇾🇪BREAKING: Makamu wa rais wa Ansarallah wa Yemen Mohammed Ali Al-Houthi: Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, Msaada kwa Gaza unaendelea, na pia majibu. Netanyahu aanze kuandaa kujiuzulu kwake, kwani uhalifu wake ni vitendo vya gaidi aliyeshindwa. Ugaidi wa Marekani na Israel...
Back
Top Bottom