GE2025 Sheikh Mohammed Mawinda: Walioko kwenye mfumo hawataki kufuata utaratibu. Vyama vinapotaka mambo yao wanatakiwa kufuata utaratibu

GE2025 Sheikh Mohammed Mawinda: Walioko kwenye mfumo hawataki kufuata utaratibu. Vyama vinapotaka mambo yao wanatakiwa kufuata utaratibu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
1,057
Reaction score
3,295
Mmemuelewa huyu Sheikh lakini wakuu?

Huyu mnadhani atakuwa ame-target chama gani hapa ambacho hakifuati utaratibu?

==========================================

Akiwa anazungumza leo katika Mdahalo wa Wadau wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 amesema kwamba kuna watu ambao wako katika na hawataki kufuata utaratibu

Anasema kwamba vyama vya siasa vinatakiwa vifuate utaratibu wanapofanya mambo yao na sio kutaka mabadiliko au mapendekezo nje ya mfumo.

"Nawakumbusha watu wote wa vyama vya siasa wanaotaka kuingiza mambo yao na kuyatoa wafuate utaratibu. Tusianze kutoleana maneno kutukanana na kukashifiana"

 
Mkutano umebeba machawa watu wa zima kupitia muamvuli wa amani🚮🚮🚮
 
Mmemuelewa huyu Sheikh lakini wakuu?

Huyu mnadhani atakuwa ame-target chama gani hapa ambacho hakifuati utaratibu?

==========================================

Akiwa anazungumza leo katika Mdahalo wa Wadau wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 amesema kwamba kuna watu ambao wako katika na hawataki kufuata utaratibu

Anasema kwamba vyama vya siasa vinatakiwa vifuate utaratibu wanapofanya mambo yao na sio kutaka mabadiliko au mapendekezo nje ya mfumo.

"Nawakumbusha watu wote wa vyama vya siasa wanaotaka kuingiza mambo yao na kuyatoa wafuate utaratibu. Tusianze kutoleana maneno kutukanana na kukashifiana"

Rubbish
 
Back
Top Bottom