mobile

  1. Msaada: Laptop ikiunganishwa na Ethernet, Mobile Hotspots haifanyi kazi na WiFi inazima.

    Habari wakuu. Nina tatizo la Laptop kutokuwa na uwezo wa kuunganisha Mobile Hotspot pale inapokuwa imeunganishwa na Ethernet Cable. Pale ninapounganisha inakuwa na uwezo wa kupata internet lakini WiFi inazima, na inafanya kutokuwa na uwezo wa kuweza kushea internet. Naomba msaada wa kuweza...
  2. R

    Gharama za mobile banking zinatisha, ni ujambazi kwelikweli

    Dah sijui tunaelekea wapi, hizi huduma zilipaswa kutupa unafuu wananchi kufanya miamala bila usumbufu lakini imekua ujambazi hasa hasa. Niliwahi kuhamisha laki mbili kutoka Benki kwenda mpesa nikakatwa 11,000/= hapo bado sijakutana na Makato ya mpesa, nikajikuta nakatwa karibu 16000/= kupata...
  3. Msaada ninunue sm gani kama upgrade ya Oppo A93?

    Solved
  4. J

    Rais wa Uganda ahudhuria sherehe za Ruto na mobile toilet

    Kenya. Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Raisi mpya wa Kenya kwa kusafiri na ndege maalumu ya Rais huku akiambatana na washauri wake wa karibu. Katika hali ya kushangaza, Rais huyo wa Uganda ameambatana na mobile toilet katika msafara wake, mobile toilet...
  5. Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi

    Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi. Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja. Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane. Ukiingia kwenye NMB...
  6. Mobile Mixer (Fiori) Operator at FABEC

    FABEC Investment Limited is the Sub Contractor for WASCO ISOAF TZ LTD in the EAST AFRICA CRUDE OIL Project (EACOP). contracted to build the coating plant in EACOP coating yard in Tabora region Nzega district, Igusule ward. The company is seeking eligible and gualified applicants for the...
  7. Nimekatwa Tsh 5,300 kuhamisha Tsh 50,000 kutoka NMB mobile kwenda M-PESA

    Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio. Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato. Tsh. 5,300 (NMB Tsh. 4,491.53 na VAT Tsh. 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha...
  8. Mobile Equipment Operator II - Truc at Barrick (Bulyanhulu)

    Position Description The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Mobile Equipment Operator II – Truck to join and grow their team. You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining assets with our best people teams. You will contribute on a practical note to...
  9. Mobile Application Developer at ICAP

    Job no: 496269 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City...
  10. L

    Wazo la kutengeneza mobile app

    Wakuu habari za majukumu, ni matumaini yangu kuwa wote mu wazima wa afya. Lengo la huu uzi ni kukusanya mawazo ya mobile app ya kutengeneza. Nilikuwa naomba Kwa aliye na wazo au anaona changamoto iliyopo kwenye jamii ambayo inaweza tatuka Kwa mobile app basi tuahilikishane. Mimi ntaanzia kazi...
  11. Badala ya kuisubiri large scale LNG nakuomba waziri wa nishati tujikite kwenye small scale LNG na Mobile CNG stations zenye mitaji midogo

    Badala ya kukaa kuisubiri large scale LNG nakuomba waziri wa nishati na serikali tujikite kwenye small scale LNG na Mobile CNG station, miradi midogo ambayo inaweza kufanywa nasisi wenyewe bila kutegemea mitaji ya nje. Ni ukweli usiopingika kwamba large scale LNGs zinachukua muda mrefu...
  12. NMB kuna nini? Mimi mgeni wa NMB inakuaje tunaaribiana weekend?😃

    Tangu Ijumaa mpaka leo mtandao haufanyi kazi upande wa mobile money unaandika hakuna huduma kwa sasa jaribu baadae. Nani ana experience tatizo kama hili?
  13. Mobile Engineer

    Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Traiing IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of business problems. The Role As Mobile Engineer, you will build and ship our mobile products to our...
  14. S

    Benki ya CRDB boresheni muonekano wa Mobile App yenu

    Kwakweli naomba niseme tu SIMBANKIG Mobile Application ya CRDB,imekosa mvuto kulinganisha na ya washindani wao wakubwa wa kibiashara ingawa mtu unapata huduma unayohitaji kupitia hiyo App. Kwa mtazamo wangu, tatizo ninaloliona linatokana na rangi wanazotumia CRDB ambazo ni nyeupe na kijani...
  15. C

    NBC Mobile transactions

    Habarini, Mimi ni mdau wenu wa miaka, kwa maeneo mapana naridhika na huduma zenu! Lkn, kuna changamoto yenu ya pesa kukwama hewani tunapofanya mobile transactions---Kila baada ya muda fulani (miezi minne au sita) lazima mniumize. Hela imetoka kwangu, haifiki inakoenda.. Hapa naweza kusema labda...
  16. Mobile nyama choma

    Maisha ya hapa duniani ni kupambana ili kuweza kumudu mahitaji yako ya kila siku. Na ili ufanikiwe inabidi kuweka aibu chini na kupambana kwa juhudi na maarifa ili kuweza kutimiza ndoto zako. Kuna hii biashara ya nyama choma, ambayo ukiifanya vizuri inaweza ikakutoa sehemu moja kwenda nyingine...
  17. INAUZWA Mobile Phone Video Magnifier for sale

    Kwa Tshs 25,000 Location Bunju, 0625750755
  18. Tanzania has launched a mobile immunization program

    Tanzanian government has launched a 10 participatory and rapid vaccination program against COVID-19 with the presence of a mobile immunization (mobile vaccination site) and follow up on citizens who are ready to be vaccinated voluntarily. The initiative was launched yesterday by the Minister...
  19. Malawi uses mobile clinics to provide COVID-19 vaccine

    Malawi's health authorities on Wednesday said the reluctance of people to receive Covid vaccines in the country could lead to thousands of doses being contaminated by early next month. So far only 2 percent of the country's population has received the vaccine, with the government saying it plans...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…