Mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari

Mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari

Robert20

Member
Joined
May 29, 2026
Posts
41
Reaction score
88
Tunaendelea kutafakari condition zake
hapa nimepata picha kamili

1.Heche na Tundu Lissu ni very strong person

2.Msigwa kurudi Chadema Kuna namna hakupaswa kupokelewa

3 Tuhuma za Heche kuwa amekula pesa ni za uongo na zipuuzwe

In origin
Mwenzetu mmoja anatafakari Ina maana kundi kubwa la viongozi wa Chadema wamekubali
Duuuuuu
 
Hapo kwenye "kundi kubwa la wanachadema wameshakubali" umepuyanga.

CHADEMA iko strong mpaka leo hii kwa sababu ya uungwaji mkono wa wananchi wengi.

Siku wakileta uhuni tu, watakuwa hawana chao.
 
Huyo mmoja ni CHADEMA na siyo mwingine zaidi ya Lisu na Heche
 
Back
Top Bottom