Wajumbe mpoo....
Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!!
Twende kwenye mada;
1. 2007
Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four niliajiriwa kama karani ofisi fulani Dar.
Wakati huo nikiwa mdogo (18Yrs) nilikutana na wakubwaa...
Nimechunguza mengi sana ndani ya ndoa. Kabla hujaoa ulikua huru kwenda na kurudi muda wowote na tabia za kibachela. Ndugu jamaa walikua huru kukuomba na kuwasaidia bila vikwazo vingi.
Ukishaoa kijana lazima ubadilike ili uendane na mwezio, yaani uache tabia ulizokuwa nazo unaze kuishi kutokana...
Wakuu
Hakuna feeling tamu kama umkute mke wako amevaa T-shirt lako oversize, no Bra,
Halafu Anakuandalia Chakula
Aisee, kama nawe unayo hebu zitaje tuone!
Wana harakati habarini wote.
Jana kijua kilitoka kidogo ikabidi nitoke niote jua nje kidogo maana nilikuwa nimetulia house siku nzima sikwenda job. Sasa nikiwa nasukuma draft na jamaa wawili watatu wa kunipita umri kama kaka hivi.
Wakati tuna tia stori mmoja akawa anatujuza anapenda mke wake...
Ukisikia mama au dada anakwambia ngoja nitamtuma 'bodaboda wangu' basi ujue huyo Bodaboda wake ni bodaboda wake kweli kweli.
Ninamjua mdada ambae anamtuma bodaboda wake kumtolea hela Kwa ATM. Kuna mmoja aliniletea bidhaa nikatakiwa nimrushie zaidi ya 300,000, nikamwambia makato upande wako...
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia...
Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo.
Kuna wengine hadi walikaribia kufirisika wengine ushindani ulikuwa mkali nk.
Tupe uzoefu wako
Wale mliozaa na kusomesha mpaka watoto wamepata kazi na kuoa /olewa.
Sasa baba akapata uhamisho wa kikazi akahama mkoa, mke akamwachia nyumba na mtoto mmoja labda ila wengine wameshaoa.
Kwa bahati mbaya baba kazi zake ni nyingi kiasi anashindwa kurudi weekend nyumbani, miaka imekata zaidi ya...
Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.
Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?
Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na...
Nashangaa kitanda nacholalia iweje mke wangu ulale na dada yako, na wakati kuna chumba kingine, ati kisa mimi sipo?
Nashangaa bafu la chumbani wadogo zako wanalitumia na wakati unajua ni la wawili tu mimi na wewe na wakati huo kuna bafu tena la ndani hapo kwenye korido?
Nashangaa we dogo...
Imetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali...
Mmeenda kwenu kijijini, eti mkeo hakwenda kuteka maji (kwa taarifa ulizopewa na dada zako)
Hizo nguvu za kumpiga na kumuumiza mke wako kwa maneno ya kusikia unazipata wapi?
Hebu tulijadili kwa akili tulizoambiwa tuishi na wake zetu.
Mkeo amesafiri ameenda kula Sikukuu nyumbani. Anakutumia UJUMBE Kama huu.
Jana nilishindwa kukuwish heri ya mwaka mpya nilikua nangoja foleni iishe. Heri ya mwaka mpya mume wangu kipenzi najivunia kua na mume kama wewe, mchapakazi, mwenye upendo wa kweli, mvumilivu, smart man, mwelewa, usiejua...
JE, UTAMJUAJE HUYO NDIYE MKEO?
MJUE MKEO.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Sasa nimejihangaisha na mambo haya, wala hakuna lolote nitakalo lipata, lakini nafsi yangu itafurahi ikiwa tuu nitaimaliza kazi hii. Haya sasa, mnisikie;
Uzuri wa dunia umejificha, nayo nuru imo gizani hata waitafutao...
Fikiria uko mjini unakatiza mitaa mara paaap wife na mshkaji halafu wako huru wanagonga mikono na vicheko kibao jamaa humjui wala nini.
Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje? Utawapa hai na kuwaacha waendelee na hamsini zao au utawajoin? Niambie Mkulungwa mwenzangu utafanyaje?
Nilichogundua wanaume wengi tunadanganyika saana kuliko uhalisia. Kuna watu hatuthamini wake zetu,tunathamini michepuko zaidi.
Kuna watu tunawatendea Kwa ukatili wake zetu saana na kuwalea michepuko kama mayai!
Kuna watu tunawafanya wake zetu kuona maisha hayana maana kiasi cha kuona ndoa ni...
Uko na mke wako wa ndoa unamjig Sasa wakati mko kwenye climax kabla ya orgasm unamuuliza hivi kabla siajkuoa au toka nimekuoa umejig na wanaume wangapi maishani mwako? Anakuambia huku analia kwa utamu inhiiii nhiiiieee aayaa wanaume watatuuu...!
Je utamfanyaje? Kumbuka kwenye stage hii mtu...
Natumai hamjambo wananzengo.
Wakuu leo nilikua nimetoka na wife, after kushuka kwa gari mbele yetu alipita dada mwenye figure yake ukweli nilijikuta nimegeuka kumtizama, kumbe wife kile kitendo hakikumpendeza akaninunia hadi tumerudi home.
Tulipofika home akaanza kunisomea "yaani upo na mkeo...
Hakuna mwanamke wa kawaida bali kuna wanawake aina mbili:
1. Understanding
2. Non-Understanding
Kundi la kwanza (Understanding) sifa zao:
- Open minded, huwa wako real to themselves and their patners
- Hawapendi makelele/malumbano.
- Husikiliza zaidi kuliko kuongea
- Wepesi wa kujishusha...
Habari wanajamvi? kwenye jukwaa hili sio maarufu sana ila nisaidieni hili:
Nina mke nampenda sana hata yeye anajua nampa misifa kama yote kama ilivyo ugonjwa wao. sijawai kutoa sifa kwa jinsia ya kike mbele yake hata siku 1.
Hii imenikuta last week,nilisemwa sana japo sikuwa na nia mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.