mkanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bushmamy

    Arusha; Rasta Auliwa kinyama Kwa kutobolewa Macho Kisha kutundukwa juu ya Mtii Kwa kutumia mkanda wake.

    Kijana Mmoja mwenye umri wa miaka 28 almaarufu Ras Bosco ameuliwa kikatili na watu wasiojulikana na Kisha kuchukua mwili wake na kuutunduka juu ya mti Kwa kutumia mkanda wake. Tukio Hilo limetokea siku ya Jana katika kata ya Sinoni Mtaa wa Olmorkea jijini Arusha. Mwenyekiti wa Mtaa huo Bwana...
  2. N

    Nafasi ya master planner haiwezi kamwe kubaki wazi, akitoka tu mwengine au kikundi kitaijaza, Mnataka master planner mkabila / mkanda / mdini ?

    Kuweni makini sana na hicho mnachokitamani. Ukweli siwezi kuwaficha na upo wazi, Hata iweje, Hio nafasi mnayotamani master planner achomoke haiwezi kubaki wazi, Never ! Ni lazima itajazwa muda huo huo haraka sana. Na wataojaza kuna risk kubwa wawe wametoka kabila kubwa (Nyerere alishaelezea...
  3. G

    Natafuta mkanda wa mixer ya unga wa mkate ya 25kg

    Habari wakuu, natafuta mkanda (belt) wa mixer ya kupondea unga wa mkate kama picha inavyojionyesha, kama unao tuwasiliane
  4. kavulata

    Tunataka Rais na Tanzania ya kufunga mkanda na kuuma meno

    Ukweli tunaujua, tumechelewa sana, tulizubaa sana, tuliibiwa, tulidanganywa sana na tuliporwa sana. Sasa hivi tunataka kiongozi wa matokeo ya leoleo bila kungojea tena. Tunataka Rais ambae atatuambia ukweli na anaefahamu kuwa tuliibiwa sana, tumechelewa sana na tulizembea sana. Tunataka Rais...
  5. Manyanza

    Adhabu kwa mkanda wa genge

    Matendo Na. 4 ya 1998 7A : 19 ya 2007 131A.- (1) Pale ambapo kosa la ubakaji limetendwa na mtu mmoja au zaidi katika kundi la watu, kila mtu katika kikundi ambaye anatenda au kuunga mkono kutenda kosa hilo ataadhibiwa kwa kosa la ubakaji wa genge. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo...
  6. K

    Je, Lissu kapiga chini ya mkanda au kasema ukweli?

    Nilivyokuwa Ilboru 1990-1993 niliambiwa miaka ya nyuma kulikuwa na kijana machachari sana ambaye alikuwa anaitwa Antiphas. Umachachari huo ulitokana na debate club za pale Ilboru ambazo zilikuwa mashuhuri sana. Ilboru kulikuwa na debate club ambazo kila ijumaa ya mwisho wa mwezi kuna debate ya...
  7. Desierto

    Mkanda wa surual nilio uokota na kuutumia, kumbe haukua Mkanda

    Nj story ndefu kidogo ila nitaifupisha, Nakumbuka nikiwa kigoma naishi huko kwenye migazi na kusaga mafuta ya mawese, mazingira ya kazi yalikuwa hivi pembeni ya MTO ndo kuna kiwanda cha kusaga mafuta ya mawese na kutoka mtoni kama mita 500 ndo pana maturubai tumefunika kwa juu kwa ajili ya...
  8. OCC Doctors

    Sababu za ugonjwa wa Mkanda wa jeshi

    Mkanda wa jeshi (shingles) husababishwa na Virusi aina ya (Varicella zoster) vinavyoambukizwa kwa kuvuta pumzi, pamoja na matone ya upumuaji. Kirusi hiki kinasababisha magonjwa mawili ikiwemo tetekuwanga (chicken pox) wakati wa utoto, ambayo husababishwa na (Varicella). Ugonjwa mwingine ni...
  9. J

    Uingereza: Waziri Mkuu apigwa faini na Polisi kwa kutofunga mkanda wa Kiti akiwa ndani ya gari

    Ni Rish Sunak wa Uingereza Source: Sky news Hii kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla haiwezekani ---- Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak amepigwa faini kwa kutofunga mkanda kwenye gari lililokuwa likitembea wakati akirekodi video kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Polisi wa Lancashire...
  10. Mtafiti77

    Ninatafuta mkanda wa saa wa ukweli

    Ndugu watanashati habari, Ninatafuta mkanda wa saa kama huo pichani. Si lazima nipate kama huo bali kama naweza kupata mkanda mzuri wa ngozi. Niende duka lipi hapa Dar?
  11. Sea Beast

    Begi Jipya la mkanda mmoja nabadirishana na begi la mgongoni

    Habari, nimenunua hili begi bado jipya ndio kwanza lina week moja kwaajiri ya kubebea Laptop yangu ila naona hii siyo aina yangu ya begi kabisa, nimezoea begi la mogongoni nimelishindwa. Nimelinunua 25000 nabadirishana na mtu mwenye begi la mgongoni, anipe la mgongoni nimpe hili au kwa mnunuaji...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

    Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho. Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote. Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe...
  13. Replica

    Mussa Zungu ataka wananchi kujifunga mkanda kwa maendeleo yao, asema misaada inaenda kupungua kutokana na vita

    Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo. Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua...
  14. Mpinzire

    Wakenya Mjiandae kufunga mkanda! Rutto sawa na Magufuli

    Nawaambia Wananchi wa Kenya, mjindae, mfunge mikanda! Kwa dalili na maneno ninayosakia Mh William Rutto ni wazi kabisa anakuja kufanya kazi, kwanza hataki kabisa siasa za kinafiki, Rutto anakuja na itikadi kama za Magufuli! Kama ni Kinyesi cha Ng'ombe atakuambia hiko ni kinyesi usile na katu...
  15. J

    Kwahiyo sasa Chadema na CCM wako juu ya Kamati ya Prof Mkanda?

    Nauliza tu kwa sababu sikuwepo hapa mjini kwa muda Jana Mbowe kasema kutakuwa na Kamati ya watu 20 kutoka Chadema na CCM itakayoratibu hali ya siasa nchini Naomba ufafanuzi!
  16. sky soldier

    Ni stress, kiburi au vichwa vigumu, kwanini watanzania wengi hupuuza amri kama "usikojoe hapa, usipite njia hii, abiria chunga mzigo wako

    Usipite hapa, nakumbuka hapa kwa macho yangu zamani tulifika sehemu ni kama kuna ujenzi wa barabara unaendelea wamefunga njia, mjomba alishuka kwenye gari akatoa jiwe slinaliziba njia, alikuwa anawahi bar, alinishushia njiani Msikojoe hapa....mtu anakojolea kabisa hayo maneno kwa mtindo wa...
  17. Bushmamy

    Maana halisi ya kufunga Mkanda karne hii

  18. Bushmamy

    Kipindi hiki ni cha kufunga mkanda haswa

    Karibu kila Mwananchi anajionea hali jinsi ilivo mtaani, ngano bei juu, mafuta ya kupikia,mchele,nk. kulinganisha na hali ya pesa mtaani ilivo mbaya wengi wanashindwa kununua mahitaji ya msingi nyumbani Watu wamekuwa wakilalamika kwenye mitandao bila kujua wafanyeje maana kilio Chao kimekuwa...
  19. Idugunde

    Mbowe ni mkanda na mkabila, hafai kuwa kiongozi hata kiduchu. Watanzania wamkatae na CHADEMA yake

    Kitendo cha hayati Magufuli kufanya diversication of ecomic development kilimkwaza sana Mbowe na sasa ameanza kufunguka yake ya moyoni. Kiongozi anayeona kanda walikotoka wazazi wake na ukoo wake kuwa ina umuhimu kuliko kanda zingine hafai hata kiduchu Kiongozi anayefikiria masuala ya kuleta...
  20. Mtondoli

    Rais Samia hana interest na kilimo, wakulima tujifungeni mkanda

    Duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo na hata wananchi karibia 78% ni wakulima wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao. Rais wetu nimefuatilia hotuba zake zote kilimo kwake yeye sio kipaumbele kabisa. Anazungumzia ujenzi wa miundombinu kama madaraja, reli ununuzi...
Back
Top Bottom