mitambo

Faith Mohamed Mitambo (born 29 September 1959) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Liwale constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Naomba anaejua Chuo cha Mitambo (Skaveta, Greda na Rola)

    Ndugu zangu naomba kujua vyuo tajwa hapo juu vinapatikana wapi ? Elimu yangu ni form 4 . Nilipata dv 3 natamani kusoma mitambo hio .kuopperate. Naomba muongozo
  2. Rafiki Electrical

    JamiiForums Tanzania Umeme na usalama wa nyumba, Kiwanda au mitambo yako

    ⚠️KWANINI UKATE TAMAA NA KUIONA KAZI YAKO CHUNGU? Umechoshwa na: ❌ Cable na Vifaa feki vinavyochelewesha kazi na kuhatarisha usalama site? ❌ MCB zinazokatika bila sababu? ❌ Wasambazaji wasio na uelewa wa kiufundi? ❌Kufanya Biashara na Watu Wasio Waaminifu? ✅SULUHISHO LIMEPATIKANA Rafiki...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Wakati wa upungufu wa umeme kuna walioshauri tulete mitambo ya kukodi, kumbe walitaka wakutane nazo

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameyasema haya leo Aprili 12, 2026 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chamwino, Jimbo la Mvumi mkoani Dodoma
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Raddy Energy ya Tanzania kununua mitambo ya uzalishaji umeme kutoka Uswidi kwa Dola Milioni 320

    Kampuni ya Raddy Energy Solution Limited ya Tanzania imeingia makubaliano ya kununua mitambo minne ya kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia wa jumla ya megawati 177 kutoka kampuni ya Siemens Energy ya Uswidi (Sweden) kwa thamani ya dola za Marekani milioni 320. Ununuzi wa mitambo hiyo...
  5. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Mitambo ya lopolopo ziko mbili nchini, Chala na sigwa

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchi hii Kuna mitambo miwili ya lopolopo Yaan hawa jamaa ukiwasikikiza mpaka unajiuliza hivi hawa wako timamu kweli? Hawa Kinacho watoka midomoni mwao ni lopolopo lopolopo tu Changamoto kubwa sana LONDON BOY
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Video: Kimara wameshaanza kutesti mitambo. Watu wameanza kuingia barabarani

    Wakuu, Naambiwa huko Kimara mambo yameshaanza kuchemka. Wananchi wameanza kujitokeza barabarani
  7. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kuelekea D9 hofu yazidi kuongezeka watu wanatest mitambo

    Maandamano ya amani yanawezekana. Mbezi sijui yaliyoanza na.kuisha
  8. Logikos

    JamiiForums Tanzania Propaganda Machines - "Tuna-test Mitambo"

    Kila hadithi inahitaji Villain.....; Hata Biblia ina Shetani JPM na Mabeberu Hitler na Jews; n.k. Sasa naona kuna Story zina-test mitambo kuona ipi itastick vizuri ili tukimbie nayo Iwe ya Kidini kwamba ni Imani fulani ndio haitaki au inachochea kitu fulani Iwe ni majirani na vita vya...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kampeni Halisi za Uchaguzi 2025 zitaanza lini? Maana naona kama bado vyama vinatest Mitambo

    Natamani sana sasa CCM tuanze Rasmi Kampeni. Maana naona bado tunatest mitambo. Kumepoa sana huko Tanzania na kwenye mitandao. Chauma wametulia nadhani wanajipanga namna ya kuanza Kampeni maana nao ni muda sana toka kipindi kile wanazunguka zunguka kutafuta wanachama. ACT Zitto Kabwela...
  10. Equation x

    JamiiForums Tanzania Sisi waafrika na waarabu tumevumbua au kutengeneza mitambo ipi?

    Ukichunguza mitambo yote iliyopo duniani, utagundua imetengenezwa na wazungu, wachina, wajapani n.k Sasa najiuliza, sisi waafrika pamoja na ndugu zetu waarabu, tumetengeneza mitambo ipi hapa duniani? Kwa sababu nikiangalia ata kitendea kazi changu cha kukwangulia nyanya hapa jikoni, naona...
  11. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam, nicheki 0756704145
  12. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam, nicheki 0756704145
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Stephen Wasira: Mitambo iko sawa, Kampeni rasmi kuanza Agosti 29, 2025

    Stephen Wasira amesema Mitambo iko sawa, Agosti 29,2025 tutanza Kampeni rasmi na kwa muda wa siku 60 mitambo itaenda kila mahali Tanzania
  14. D

    JamiiForums Tanzania Nini kimepelekea mitambo ya Nida Kuzimwa: Je: Imeharibika au kuna mchongo wa watu wameutega?

    Watoto wana omba kujiunga na vyuo vikuu wanalalamika. Taarifa za Nida hazipatikani yapata wiki sasa bila taarifa! Je; Kwanini haipatikani? Je kuna watu wanatengeneza mazingira ya kupiga pesa? Je kuna tenda inalazimishwa kwa mtindo huu au ni nini? Tunaomba ufafanuzi?
  15. W

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu majaliwa azindua mitambo 10 ya uchorongaji kwa wachimbaji wadogo

    Katika mwendelezo hatua za Serikali kuendelea ya kuimarisha sekta ya wachimbaji wadogo nchini, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua rasmi mitambo 10 ya uchorongaji kwa ajili ya wachimbaji wadogo yenye thamani ya shilingi bilioni 12.41 iliyonunuliwa na...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k.

    Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k. Nina stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) 0756704145
  17. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano; inbox
  18. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano inbox
  19. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Inbox mawasiliano
  20. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi ya ufundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi ya ufundi mitambo (mechanical technician) Piga : 0756704145
Back
Top Bottom