mitambo

Faith Mohamed Mitambo (born 29 September 1959) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Liwale constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Kampuni ya Raddy Energy ya Tanzania kununua mitambo ya uzalishaji umeme kutoka Uswidi kwa Dola Milioni 320

    Kampuni ya Raddy Energy Solution Limited ya Tanzania imeingia makubaliano ya kununua mitambo minne ya kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia wa jumla ya megawati 177 kutoka kampuni ya Siemens Energy ya Uswidi (Sweden) kwa thamani ya dola za Marekani milioni 320. Ununuzi wa mitambo hiyo...
  2. Beira Boy

    Mitambo ya lopolopo ziko mbili nchini, Chala na sigwa

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchi hii Kuna mitambo miwili ya lopolopo Yaan hawa jamaa ukiwasikikiza mpaka unajiuliza hivi hawa wako timamu kweli? Hawa Kinacho watoka midomoni mwao ni lopolopo lopolopo tu Changamoto kubwa sana LONDON BOY
  3. McLaren

    Video: Kimara wameshaanza kutesti mitambo. Watu wameanza kuingia barabarani

    Wakuu, Naambiwa huko Kimara mambo yameshaanza kuchemka. Wananchi wameanza kujitokeza barabarani
  4. The Burning Spear

    Kuelekea D9 hofu yazidi kuongezeka watu wanatest mitambo

    Maandamano ya amani yanawezekana. Mbezi sijui yaliyoanza na.kuisha
  5. Logikos

    Propaganda Machines - "Tuna-test Mitambo"

    Kila hadithi inahitaji Villain.....; Hata Biblia ina Shetani JPM na Mabeberu Hitler na Jews; n.k. Sasa naona kuna Story zina-test mitambo kuona ipi itastick vizuri ili tukimbie nayo Iwe ya Kidini kwamba ni Imani fulani ndio haitaki au inachochea kitu fulani Iwe ni majirani na vita vya...
  6. Chizi Maarifa

    GE2025 Kampeni Halisi za Uchaguzi 2025 zitaanza lini? Maana naona kama bado vyama vinatest Mitambo

    Natamani sana sasa CCM tuanze Rasmi Kampeni. Maana naona bado tunatest mitambo. Kumepoa sana huko Tanzania na kwenye mitandao. Chauma wametulia nadhani wanajipanga namna ya kuanza Kampeni maana nao ni muda sana toka kipindi kile wanazunguka zunguka kutafuta wanachama. ACT Zitto Kabwela...
  7. Equation x

    Sisi waafrika na waarabu tumevumbua au kutengeneza mitambo ipi?

    Ukichunguza mitambo yote iliyopo duniani, utagundua imetengenezwa na wazungu, wachina, wajapani n.k Sasa najiuliza, sisi waafrika pamoja na ndugu zetu waarabu, tumetengeneza mitambo ipi hapa duniani? Kwa sababu nikiangalia ata kitendea kazi changu cha kukwangulia nyanya hapa jikoni, naona...
  8. Tech Max

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam, nicheki 0756704145
  9. Tech Max

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam

    Unahitaji Mechanical Technician (Fundi Mitambo) mkoa wa Dar es salaam, nicheki 0756704145
  10. Waufukweni

    GE2025 Stephen Wasira: Mitambo iko sawa, Kampeni rasmi kuanza Agosti 29, 2025

    Stephen Wasira amesema Mitambo iko sawa, Agosti 29,2025 tutanza Kampeni rasmi na kwa muda wa siku 60 mitambo itaenda kila mahali Tanzania
  11. D

    Nini kimepelekea mitambo ya Nida Kuzimwa: Je: Imeharibika au kuna mchongo wa watu wameutega?

    Watoto wana omba kujiunga na vyuo vikuu wanalalamika. Taarifa za Nida hazipatikani yapata wiki sasa bila taarifa! Je; Kwanini haipatikani? Je kuna watu wanatengeneza mazingira ya kupiga pesa? Je kuna tenda inalazimishwa kwa mtindo huu au ni nini? Tunaomba ufafanuzi?
  12. W

    Waziri mkuu majaliwa azindua mitambo 10 ya uchorongaji kwa wachimbaji wadogo

    Katika mwendelezo hatua za Serikali kuendelea ya kuimarisha sekta ya wachimbaji wadogo nchini, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua rasmi mitambo 10 ya uchorongaji kwa ajili ya wachimbaji wadogo yenye thamani ya shilingi bilioni 12.41 iliyonunuliwa na...
  13. S

    Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k.

    Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k. Nina stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) 0756704145
  14. Tech Max

    Naomba kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano; inbox
  15. Tech Max

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano inbox
  16. Tech Max

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Inbox mawasiliano
  17. Tech Max

    Naomba kazi ya ufundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi ya ufundi mitambo (mechanical technician) Piga : 0756704145
  18. Tech Max

    Natafuta kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo ( mechanical technician)

    Natafuta kazi Nina stashahada ya ufundi mitambo ( mechanical technician) Naishi dar es salaam Mawasiliano: 0756704145
  19. Echolima1

    Marekani imeanza ku-test Mitambo

    Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta. Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
  20. Tech Max

    Nahitaji kazi, fani yangu ni fundi mitambo (mechanical technician)

    Nahitaji kazi, fani yangu ni fundi mitambo (mechanical technician) -> Naishi Dar es salaam -> mawasiliano: inbox
Back
Top Bottom