mission

Mission president is a priesthood leadership position in the Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (LDS Church). A mission president presides over a geographic area known as a mission and the missionaries serving in the mission. Depending on the particular mission, a mission president may also be the presiding priesthood leader of some or all Latter-day Saints within the geographic boundaries of the mission. Mission presidents are ordained high priests of the church.

View More On Wikipedia.org
  1. Kenya Police Return Home, Marking End of Haiti Mission

    On Tuesday night, the second group of Kenyan officers sent to Haiti as part of the Multinational Security Support (MSS) program touched down in Kenya. Kenyan police deployment to bring peace to the war-torn Caribbean nation came to an end with the repatriation. Following UN Security Council...
  2. Kuna Walio na Hasira, Stress na Ghadhabu baada ya Mission kutokamilika kwa Asilimia mia

    Kuna wakati nilifikiri suala la kuposa, kuoa ni jambo jepesi, ila kwa figisu zile za mashemeji sijaamini macho yangu…kuna level ilifikia nilitaka kuwaachia dada yao ila kuna wazee waliniita pembeni wakanitonya.😃
  3. Mabaharia: mission failed!

    Wana wakiwa hawana uwezo wa kupata vibali vya kuingia spain wakabuni mbinu za aina yake ili waingie Spain bure.. Wakaji coumaflage kama mikondoo wakatiwa kwenye container wakasafirishwa Kufika mpakani dili likabuka baada ya kuswagwa kwa viboko walie kama kondoo wakalia kama watu😂 Je kama ni...
  4. Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Kuna kitu nimeona nikieleze kuhusu Roman Catholic church baada ya kuona Kuna watu hapa nchini Tanzania wanatukana, wanashambulia watumishi wakatoliki, wanakejeli katoliki (TEC) n.k kwakutumiwa na wanasiasa wasio na akili pia walioishiwa hoja na wasiosoma historia kutoka CCM pia watanzania...
  5. Killing it softly

    Bbbb
  6. Hongera sana Mange, Mission yako imefanikiwa. Pokea maua yako

    watu wanaweza kumbeza mange kimambi vile watakavyo, lakini kiukweli kampeni yake ya maandamano imefanikiwa kwa asilimia kubwa sana. Kwanza amefanikiwa kutengeneza awareness kwa watoto wetu hawa waliozaliwa miaka hii ya teknolojia ya dijitali. niseme tu ukweli, kizazi cha mwisho kwa ccm...
  7. T

    Anayofanya ndg Polepole yamepangwa na CCM na yataisha baada ya Uchaguzi Mkuu

    Baada ya kuzuka wimbi la watanzania kudai katiba mpya miaka hiyo kipindi cha Jk kuliibuka matukio mengi ili kuzima wimbi la katiba mpya kwa watanzania CCM inakujaga na planned and calculated mission za muda mrefu mfano ni mingi ila kwa uchache Shabuda, Zitto, Sumaye, late Lowasa etc hii ni...
  8. Ntaanzisha Tanzania Space Colonization Mission (TaScom)

    Tunafahamu kwenye universe kuna sayari nyingi sana, nyota, satellite za asili, vimondo n.k Hakuna mwenye hatimiliki ya space ni ya wanadamu wote bila kujali rangi yao Nikiwa Rais wa Tanzania ntaanzisha space colonisation mission na itakua na kazi zifuatazo Kutengeneza artifical ozone layer za...
  9. M

    Msaada: Anayejua kuhusu hili shirika naomba anisaidie

    Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede. Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama...
  10. Trump: Ndege zetu za B-2 zipo njiani kurudi Marekani baada ya kukamilisha Mission

    Marekani imeishambulia maeneo ya nyuklia ya Iran kwa makombora ya B-2 , amesema afisa wa Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump anasema Marekani imekamilisha mashambulizi kwenye maeneo matatu ya nyuklia nchini Iran, ikiwa ni pamoja na Fordo, Natanz na Esfahan. Fordo 'imeenda', aliandika...
  11. Shehe Ponda yuko ACT Wazalendo kwa mission Maalumu hasa kipindi hiki, na hio mission kaianza jana.

    Shehe ponda pale Act Wazalendo kapelekwa kwa kazi maalumu ya ku convice watu wa imani washiriki uchaguzi, na hio kazi kaianza jana kupitia tamko la shura ya Maimam na ataendelea nayo kwa muda mrefu sana. Na kuanzia Jana na kuendlea tegemea Shehe Ponda kuwa na ukosoaji soft soft kwa Watawala...
  12. W

    Dunia hii kila mtu ana mission yake aliyopewa kuja kuikamalisha lakini mimi sijui mission yangu, je nipo alone ?

    Niliwahi kusikia Dunia hii kila mtu ana mission yake aliyopewa kuja kuikamalisha, Mfano ni mtu kama Lissu mission yake ni ukombozi haijalishi hata akishindwa, Mrisho Mpoto ni kutukumbusha asili zetu kupitia muziki haijalishi hata kama mziki haumlipi, n.k. Nikiwa shuleni hadi chuo maisha yangu...
  13. She said "We should not do this mission missionary"

    Can't forget about this bitch (yeah she likes me to call her that way) She was my manager at that office and I was an entry level junior. She used to be very strict with me at work until one day I was on a trip with her and some of our colleagues then I took liberty to ask her "Why are you...
  14. Najua ni suicide mission, ila nimeamua kurudisha mbegu za asili shambani

    Imekuwa ni agenda na mpango wa siri ili kuepuka vikwazo vya kimamlaka at early stage ila mpango unaenda sawa na hapa ulipo no turning back. Ni muda sasa tangu mbegu zetu za asili kupotea katika mzunguko baada ya mamlaka kuchezewa akili kwa kujua au kutokujua na kuruhusu wazungu kuteletea mbegu...
  15. Milka's Mission: Changing Lives, One Family at a Time

    Milka, a Community Health Worker in Nyamatongo Ward, Sengerema District, has made significant progress in her role after receiving training from the Amani Girls Organization on violence prevention and early childhood development. Over the past year, she has visited 20 to 30 households monthly...
  16. SAMIDRC Mission terminated

    Kikao cha marais wa nchi za SADC, kimeamua kuondoa majeshi yote ya nchi hizo, kurahisisha upatikanaji wa suruhu la kudumu la amani nchini humo. Wakati huo, kisiwa cha Idjwi tayari kipo mikononi mwa M23, kwa maana ziwa Kivu, serikali ya DRC hainusi.
  17. Wanawake tunataka 50/50 kwenye mission za vita huko DR, Sudan na Chad !

    Imekuwa ni kawaida wanawake kudai haki sawa kwenye uteuzi, tukidai uwazi, upendeleo , kuwezeshwa na makongamano mengi , Bunge na mengine mengi lakini tupo nyuma kwenye kudai KUINGIZWA VITANI FRONT LINE, kupigana na M-23, kuingia machimboni. Covid-19 wamekaa bungeni, zaidi ya miaka 15 na bado...
  18. Mjadala: Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit: Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika ka

    Mjadala: Kuelekea Mission 300 Africa Energy Summit inayo fanyika 27 - 28 January 2025 Tutumie Vyanzo Vipi Vya Nishati, Mbinu na Mikakati ipi ili Tuzalishe Umeme Mwingi na wa Uhakika katika Bara la Afrika. Hapo kuna mambo kadhaa yanahitaji kujadiliwa kwa kina: Tutumie vyanzo vipi vya nishati...
  19. A

    KERO Wanafunzi wa Beroya Mission Sec School wanapigwa kwa kutumia mabomba

    Shule ya BEROYA MISSION SECONDARY SCHOOL iliyopo mkoa wa Pwani, Bagamoyo kijiji cha matimbwa ilianza kuchapa wanafunzi mwishoni mwa mwaka 2023 kwa kutumia mabomba ya maji. Watoto wanakuwa na hofu inawa affect kisaikolojia muda wote kuwaza kuchapwa kisa ufaulu uwe mzuri sana (HAISAIDII MAANA...
  20. Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

    Habari, Zamoto baada ya matukio matatu ya magaidi kuua Raia Urusi na jingine kumuua kiongozi mkubwa wa Jeshi basi Rais Putin ameapa na kusema atalipiza kisasi kwanjia yake ambayo itaishtua Dunia ni swala la muda! Habari kutoka Kremlin zinasema Rais Putin aliitisha kikao cha dharula na kuwapa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…