Mashirika ya kukuposha yamegoma sasa nchi kama China zimekaa mkao wa kula. Zinasubiri Mama na familia yake waende kupiga magoti na kuomba pesa za miradi yao hasa ile ya kifisadi.
Hivyo tutaona uuzaji wa bandari ya bagamoyo, mbuga, migodi, haki za uchimabji wa mafuta, uendeshaji wa airport ...