miche

Miche (pronounced MEE-chee) was the name of a fashion handbag Party Plan company, based in South Jordan, Utah, United States. Miche, LLC specialized in hand and shoulder bags based on a system of magnetic interchangeable bag covers (or Shells) and accompanying accessories. Products were available through independent sales representatives across America who marketed products via Miche Parties and personal websites. Distributors in many foreign countries also sold Miche and purchased products wholesale through the company.

View More On Wikipedia.org
  1. man B'

    Msaada wa kupata mafuta ya kutengeneza sabuni za miche kwabgharama nafuu

    Wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta. Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa. Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya...
  2. BLACK MOVEMENT

    SoC03 Mfumo wa miche ya Mahindi suluhisho kwa maeneo yanayo pata mvua Chache Tanzania

    Kutokana na Mabadiliko ya Tabia nchi, kumekuwepo na maeneo mengi sana ya nchi ambayo hupata mvua ndani ya mwezi na nusu tu na mvua hupotea mazima, au wanapata mvua miezi miwili pekee. Arusha ni moja ya maeneo ambayo kwa miaka mitatu sasa wanapata mvua chini ya wastani na hivyo mazao hasa...
  3. ChoiceVariable

    Tanzania yafanikiwa kufanya ugunduzi wa mbegu bora za miche ya Michikichi iitwayo Terena

    Hello! Serikali imetangaza kugundua mbegu Bora za miche ya michikikichi uliofanywa na taasisi zake za Utafiti. Hayo yalielezwa na Waziri Mkuu wakati wa uapisho wa viongozi na kumjulisha mh.Rais ugunduzi huo. Tiririka ========== PRIME Minister Kassim Majaliwa has revealed that research...
  4. Dr Msaka Habari

    Naibu Waziri Masanja akagua mradi wa Kitalu cha Miche ya Miti Wilayani Magu

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza. Akizungumza leo Agosti 21, 2022 katika ziara, Masanja amewataka...
  5. S

    Ninahitaji mbegu za mchongoma au wapi nitapata miche yake?

    Habar zenu wadau Wapi nitapata hizo mbegu au miche ya mchongoma kwa ajili ya kupanda kwenye kiwanja changu nataka niweke fance ya mti iyo iwe kama bustani kiwanja kimeshaanza msingi nataka ata nikihamia iwe tayar iyo bustan imeshakuwa kubwa. Mnisamehe kwa uwandishi mbovu sio mzuri sana wa...
  6. AFRICAN POWER

    Msaada miche ya mti wa Mahogany au Mkangazi

    Habari wana jukwaaa hili. Ninaomba yeyote anayefahamu ninapoweza kupata miche ya Mahogany au Mkangazi. Natanguliza shukrani.
  7. pelezicr

    Unafikira kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI?

    Unafikiria kuanzisha kitalu cha MICHE YA MITI? •Hakikisha unatumia mbegu bora za miti. •Unaandaa kitalu katika eneo salama. •Udongo umechanganywa kwa uwiano sahihi. •Nguvu kazi yenye ujuzi na weredi. •Kuweka ulinzi kwa wanyama na wezi. Haya yote utayapata #MitiSmart kwa ghalama nafuu na ubora...
  8. B

    Natafuta mbegu ya miche ya mchongoma

    Habari wadau. Nahitaji kupanda michongoma kama fensi kuzunguka eneo langu la kama ekari moja na nusu hivi. Eneo liko mlandizi kama kuna mtu ana mbegu au miche naomba tuwasuliane pia naomba maoni ya namna Bora ya kupanda hii kama fensi. Pia kama kuna mtu anajihusisha na haya mambo yuko tayari...
  9. Jumanne Mwita

    Jifunze namna ya kutengeneza sabuni za maji, kufulia, shampoo, sabuni za miche na chooni

    UTANGULIZI: SURA YA KWANZA UTENGENEZAJI SABUNI ZA MAJI SABUNI ZA KUNAWIA MIKONO SABUNI ZA CHOONI SABUNI ZA KUFULIA SHAMPOO UTENGENEZAJI SABUNI ZA MICHE MAFUTA YA MGANDO (Kupaka ) SEHEMU YA PILI UTENGENEZAJI WA : BATIKI AINA ZOTE UTENGENEZAJI VIKOI SHANGA, HERENI, BANGILI UTENGENEZAJI ZURIA...
  10. N

    Uwekezaji kwenye Mdalasini na upatikanaji miche

    Karibu Nehemia One Pvt Co Ltd. Kampuni yenye wataalamu wenye uzoefu wa masoko na uzalishaji wa mazao ya kilimo. Kampuni inapenda kukukaribisha kwenye fursa ya uzalishaji wa MDALASINI tunazalisha miche ya mdalasini na kuhamasisha watu kupanda zao hili kwasababu tunafahamu soko lake jinsi...
  11. Bwana Mpanzi

    Ulizia chochote kuhusu Upatikanaji wa miche ya Matunda, viungo na tiba

    Habari za jioni wanajamvi, Kumekuwa na woga au maswali kwa wadau wengi yanayowapa ukakasi kuwekeza katika sekta ya kilimo hasa kutokana na wimbi la upatu au kilimo ambacho hakieleweki uelekeo wake. Kwangu unaweza kuuliza kuhusu miche, wapi inaweza kufanya vizuri kwanini isifanye, namna ya...
  12. guwe_la_manga

    Nitazipatia wapi sabuni za miche za poa za kampuni ya MeTL kwa bei poa?

    Nipo Mkoani Simiyu Wilaya Ya Meatu. Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000. Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi. Ningependa kudeal na ununuzi na uuzaji wa sabuni hizi peke yake kwa ujumla na kisha kuziuza mwenye rejareja huko vijijini. Ni...
Back
Top Bottom