man B'
Member
- Aug 17, 2014
- 43
- 31
Wakuu kichwa habari kinasomeka, nimeamua kujikwamua kwa kuanza kutengeza sabuni za miche, changamoto kuu nayoipitia ni upatikanaji kwa malighafii hii kwa gharama kubwa hasa ya mafuta.
Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa.
Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya kwa gharama nafuu iwe ya kutoka nje au ndani ya Nchi.
Karibuni ndugu kwa msaada.
Kiasi kwamba faida nashindwa kuipata kabisa.
Msaada kwa yeyote mwenye kufahamu wapi naweza kupata mafuta haya kwa gharama nafuu iwe ya kutoka nje au ndani ya Nchi.
Karibuni ndugu kwa msaada.