Si semi kwa kumchukia inawezekana serikali inamkamata mtu aliye kuwa na kasoro kwenye akili. ,Utaalamu wa kidaktari unakubali kuwa kila binadamu ana uwendawazimu kwa kiasi fulani,hakuna asiekuwa nao.
Lugha ingine wanaweza ita hasira.
Unaweza kumkuta mtu anakunja suruali mguu mmoja,mwengine...