mchuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Kama mzee Joseph Sinde Warioba anafanyiwa ushenzi huu wa vitisho, Je sisi kwangu kukavu weka mchuzi lazima tufe sana as it is today!

    Ndiyo maana tunasema utekaji, mauaji yote yanafanywa na mamlaka za juu. Kama Warioba anaweza kuwa intimidated kwa kutoa ushauri mwema, je wengine wadogo! si ndiyo maana mauaji ni mengi na vifo vya 29 October, 2025 vitakuwa in terms of millions! All in all washauri wa mama ndio wanamshauri vibaya
  2. SOWETO MAN

    JamiiForums Tanzania Nauza mchuzi wa mvinyo wa Dodoma(wine) kwa bulk purchases only

    Habari za muda huu wana jukwaa? Mimi ni mjasiriamali mdogo naji husisha na biashara ya mvinyo halisi wa Dodoma. Nina lita 3000 za mvinyo ninazo ziuza kwa bulk PURCHASES only Mvinyo huu una umri wa miezi 8 sasa na kwa kila lita nauza kwa sh. 4500/= Karibuni sana!. Kwa Mawasiliano zaidi : 0621599120
  3. SOWETO MAN

    JamiiForums Tanzania Nauza mchuzi wa WINE(MVINYO) kwa bulk purchase only

    Habari wana jukwaa, Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma wenye umri wa miezi mitano (5) sasa ..kwa kiwango cha kuanzia lita 500 na kuendelea kwani nauza kwa...
  4. Aaliyyah

    JamiiForums Tanzania Tupike mchuzi wa samaki wa nazi

    I hope mko vizuri Na mnaendelea na majukumu Leo tupike samaki wa nazi(fish curry) Mahitaji Samaki waliokaangwa Karoti,hoho,kitunguu maji 1,tangawizi,kitunguu swaumu punje chache,nyanya moja,mafuta ya kupikia,chumvi Nazi mimi nimetumia halis unaweza tumia hata ya pakt pamoja na curry powder...
  5. kajekudya

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tieni chumvi kwenye mchuzi wa Kiroboto kabla haujapoa

    Ni hayo tu, ndugu Kiloboto kashaweka ngozi Kwenye box, lishambulieni kwa nguvu zote.
  6. Introvert Music

    JamiiForums Tanzania Je, mchuzi wa maharage unafaa kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Wakuu naombeni majibu hivi mtu mwenye vidonda vya tumbo mchuzi wa maharage unamasihara kwake maana wife Hadi namuonea huruma anateseka sana mboga ya kulia wali maana anakula wali mkavu na ndizi tu
  7. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Je nyama ambayo haina mchuzi wa nyanya

    Habari za mchana wadau ningeomba kuuliza nyama ambayo Haina mchuzi wa nyanya inafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo naombeni msaada wenu nipate kujua wadau
  8. Aaliyyah

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kupika mchuzi wa samaki na Nazi (chukuchuku)

    Natumaini wazima. Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi MAHITAJI Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu. Nazi, karoti, hoho, kitunguu maji, nyanya, chumvi na ndimu ukipenda. Andaa viungo vyako katakata size utayopenda...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Misaada tunayopewa na Marekani na Nchi za ulaya ni mapato kutoka kwenye mambo yanayokiuka dini / tamaduni zetu

    Mods naombeni msiifute maana maana hizi biashara zote zipo kihalali hizo nchi na zinatozwa kodi ambayo ni sehemu ya mapato ya nchi hizo zinazotumia kiasi flani kuwa misaada Misaada hii tunayoipata kwa kiasi kikuwa huwa ni kutoka kwenye kodi za biashara za nchi husika, katika biashara hizo kuna...
  10. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Wasabato wanakataza wanawake kufundisha ama kuwa wachungaji wakati wanatumia vitabu vya Hellen G White? Iweje nyama ikataliwe mchuzi unywe?

    Sababu ya kukataza. 1Timotheo 2:12 >> Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume (ibadani). Mwanamke anapaswa kukaa kimya. Wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu wanatumia mafundisho ya moja wa waanzilishi wa kanisa hilo Hellen...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Pangu Pakavu Tia Mchuzi Nile

    PANGU PAKAVU TIA MCHUZI NILE ____________________________ ✍🏽Yesu alianza kazi ambayo alikusudiwa na Mungu kuja kuifanya duniani alipotimiza miaka 30 . Na aliifanya kwa miaka 3 tu akaitimiza akafa akaondoka duniani. Lakini, kabla Yesu hajaanza kazi hii aliyokusudiwa kuifanya...
  12. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Jean Baleke atamani kuinywa Yanga mchuzi

    Jean Baleke (kulia) akifanya yake. STRAIKA tishio wa Simba raia wa DR Congo, Jean Baleke, amesema yuko tayari kufia uwanjani ili ahakikishe anaifunga Yanga na kuipatia ushindi wa heshima timu yake, hivyo Wanasimba wanatakiwa kujua kuwa, Jumapili ni siku ya kwenda kufurahi. Baleke amejiunga na...
  13. Jade_

    JamiiForums Tanzania Utengenezaji "White Sauce"

    Habari zenu, natumai mpo salama. Mara ya mwisho nilipika pilau na leo napika white sauce inayosindikiza pilau au chakula kingine chochote kinachohitaji mchuzi. Kama kawaida ukitaka kuangalia video ya haya mapishi unaweza kuangalia hapo chini. Ukipenda unaweza “kuilike” hiyo video, “kusubscribe”...
Back
Top Bottom