mchongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Watabiri wa hiari vs wa mchongo

    Kuna simulizi ya Bible kule Misri kuna fimbo ya muujiza ya Haruni ambapo alipoibwaga chini mbele ya Farao ikageuka nyoka.. Farao alipoona vile naye akawaita wachawi wake wote maarufu nao wakaja na fimbo zao wakazibwaga chini na kugeuka nyoka.. Ila nyoka aliyetokana na fimbo ya Haruni akawala...
  2. tpaul

    Inasikitisha kanisa katolilki nalo limeingia kwenye kundi la makanisa ya mchongo; ushahidi huuu hapa!

    Kabla ya kuandika uzi huu, naomba kutangaza maslahi kuwa mimi ni mmojawapo wa watu waliokuwa wakiliamini kanisa katoliki 100% hadi juzi nilipogundua kuwa hata kanisa katoliki nalo kumbe ni kanisa kanjanja kama yalivyo makanisa mengine ya ovyo hapa nchini Tanganyika. Katika pitapita zangu za...
  3. T

    Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

    Hivi, mpaka lile taifa la mchoongo(linalojiita teule) Mungu wao hakujua wateule wake wanaenda kukosa makazi! Na wengine kupukutika(japo kwa akili za wenzetu tunajua Makombola ya Iran yanashusha tu mijengo hayaui!!! Mbali na hilo, akaamua wateule wake wawe wanakimbilia mashimoni kama panya...
  4. Genius Man

    Tunaposema no reforms no ELECTION ni mpaka mabadiliko yafanyike na sio uchaguzi wa mchongo upite tutaendelea hadi mabadiliko

    Tunaposema no reforms no ELECTION ni mpaka mabadiliko yafanyike na sio uchaguzi wa mchongo uishe tutaendelea hadi mabadiliko. Kama samia anajikimbiza kwenye uchaguzi wa mchongo ili kujiwaisha sisi wimbo ni ule ule no reforms no ELECTION hatuutambui uchaguzi bila mabadiliko.
  5. GENTAMYCINE

    Tajiri Mo Dewji yule 'Scout' wako wa Mchongo mpaka sasa ameshakuletea majina ya Wachezaji wangapi wa maana kwa Simba SC yetu ya 2025/2026?

    Kwakuwa mwaka jana nilikuambia tutafutane ili nikufanyie hiyo Kazi ukawaamini Wanafiki waliokuzunguka sasa GENTAMYCINE nimeshapata Wachezaji wa maana Watano kutoka Congo DR 2, Tanzania 1, Uganda 2 ila kwa Hasira wote nawapeleka Yanga na Azam ili nipate 10% yangu.
  6. Crocodiletooth

    Utakatishaji wa fedha wa kutisha unaofanywa na baadhi ya watumishi wa mchongo

  7. Genius Man

    Kwani huyu Mkurugenzi wa tume ya mchongo nani kamwambia sisi tunataka kuongezewa muda wa kujiandikisha kupiga kura?

    Kwani huyu Mkurugenzi wa tume ya mchongo nani kamwambia sisi tunataka kuongezewa muda wa kujiandikisha kupiga kura? Sisi hatushiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kiuchaguzi kama yeye amechaguliwa na samia ambaye ni mgombea hakuwezi kuwa na uchaguzi wa haki kuna kupotezeana muda na hatupo tayari...
  8. Genius Man

    Hivi aliemwambia huyu mkurugenzi wa tume ya mchongo sisi tunataka kupiga kura nani ? nimemsikia anasisitiza wananchi wasichane karatasi kwenye vituo

    Hivi aliemwambia huyu mkurugenzi wa tume ya mchongo sisi tunataka kupiga kura nani ? nimemsikia anasisitiza wananchi wasichane karatasi kwenye vituo. Hatupigi kura wala hakuna uchaguzi unaofanyika bila mabadiliko unaongelea masuala ya kuchana karatasi lakini kuiba kura uongelei ? Kama mnataka...
  9. Mshana Jr

    Kazi za wakandarasi wa mchongo

    Hawa ni wengi sana Africa ila kwakuwa kuna kula kwa urefu wa kamba mara nyingi kesi zao huishia gizani Wanasema money talk.. Pesa hupofusha.. Pesa hutia uziwi.. Pesa hupindisha haki . PESA HUDHULUMU HAKI YA KUISHI
  10. Zee la michongo

    Wakuu mwenye hizi digital items tupige mchongo

    Habari wakuu Kumekucha sasa mwenye hizi digtal items anicheki chap SHART AWE ANAJUA KIINGEREZA PIA ZIWE OLD ACCOUNT OLD UK ,DUBAI,OR UAE REMITLY AU TAPTAP ACCOUNT LETS WORK TOGETHER
  11. kipara kipya

    John Mrema awachakaza Chadema wa mchongo wenye mdomo bila kujitolea!

    Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X...... Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya . Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya...
  12. Mshana Jr

    Fantasy: viti vya mchongo

    Hivi ni viti vya marembo zaidi kuliko vya matumizi ya kila siku majumbani.. Ni sawa na vile vijibwa vya kubebwa kwenye vikapu na mikoba.. Japo kwenye mada hii vinaweza kuwepo vya kutumika kila siku lakini vinaweza visiwe vingi
  13. Setfree

    Manabii wa "Mchongo" - Njia rahisi ya kuwatambua na kujiepusha nao

    Nyakati hizi kuna watu wengi wanaoitwa manabii. Nabii ni mtu anayepokea ufunuo au maono kutoka kwa Mungu na kuyatangaza kwa watu. Kwa maneno mengine Nabii ni mtu anayeongea kwa niaba ya Mungu. Je, kila anayejiita Nabii ni nabii wa kweli? Biblia inatufundisha kwamba siku za mwisho, manabii wengi...
  14. Metronidazole 400mg

    Kwanini hii nyimbo haikuwahi kupata tuzo yoyote hata ya mchongo

    Naibu waziri wa sanaa, utamaduni na michezo, hamisi Mwinjuma almaarufu MWANA FA.......kipindi cha huko nyuma alishawahi kutoa hii nyimbo inaitwa KAMA ZAMANI FT MAN DOJO NA DOMOKAYA Hii ni ngoma kubwa sana na inayoishi na alitumia akili kubwa sana, kuanzia kuandika production na kila kitu kama...
  15. S U N N Y

    TAMISEMI wanataka kuwauwa vijana kwa umasikini kupitia ajira zao za mchongo

    # Wanatangaza Ajira 14 elfu. # Wanafanyisha interview. # Wanafauru vijana kwa kadri wanavyoweza. Kisha. TAMISEMI INAANZA KUTOA MAJINA 40 KILA SIKU kanakwamba hizo Ajira walilazimishwa kuzitangaza vijana wameacha kujihusisha na shughuri za kiuzalishaji fully toka January mpaka Leo huo mchakato...
  16. Azoge Ze Blind Baga

    Nadaiwa na kampuni wameacha kufanya kazi na mimi na sina mchongo wa kupata hela ya kuwalip kwa sasa je endapo nitapelekwa mahakamani sheria inasemaje

    Kama mada inavyojieleza, nilikua nafanya kazi na kampuni flani sasa kuna hela kidogo nliitumia kwa kutegemea nitailipa kadri ninavyoendelea kufanya kazi Sasa ghafla jamaa wakaniachisha kazi wakati bado sijamaliza lile deni na sikuwa nalipwa mshahara ni commision tu ambayo ndo nlikua naitumia...
  17. S U N N Y

    Migongano ya ndani; Kwanini CHADEMA hawashtukii huu hili janga?

    Natamani kuona CHADEMA ambayo hata ikikumbana na mitikisiko, watu wanatafuta suluhu ndani kwa ndani bila kuvurugana wala bila kurudisha harakati nyuma sabab watu ambao kwakawaida huondoka chadema husababisha kupotea kwa credibility ya chama na kurudisha nyuma harakati za chama. Mimi ni kada wa...
  18. bushoke wa dar

    Wakuu Natafuta ajira au mchongo wowote wa kufanya

    Wakuu bado sijapata mchongo kama kuna mchongo wowote au ajira me bado natafuta ni kijana wa miaka 22 nishafanya kazi sehem tofaut tofaut pia nnaufanis wa quality na marketing pia kwa sasa natafuta ajira yoyote kama kuna mchongo bandarin au sehem yoyote ya mauzo au kazi yoyote ila me niko tayar
  19. bushoke wa dar

    Kama kuna mchongo wowote

    Wakuu mimi ni kijana wa miaka 22 natafuta ajira yoyote ya kujikimu kwa muda huu pia nina ufanisi wa biashara ya mauzo pia nina leseni ya udereva ila kwa sasa natafuta ajira yoyote ile ili nijikimu kimaisha kama kuna mchongo wowote au kibarua chochote me niko tayari kufanya....
  20. dumejm

    Wakuu hawa FIC ni mchongo au ni Ponzi (utafiti wangu mdogo)

    Hivi karibuni (takribani miezi mitatu sasa) nimeshuhudi baadhi ya watu huko mitaani wakijihusisha na uwekezaji katika jukwaa linalofahamika kama FIC (wenyewe wanawaita Football investment Charity) huku wakimwaga sifa kwamba mabwana hawa (FIC) wanalipa na ni mchongo legit kwa sasa. Kutokana na...
Back
Top Bottom