Ukija kichwa kichwa, utaona team ya wasanii kama hawajui kucheza mpira, kama hawaelewani, wanapishana, ila bado inabaki kuwa team moja. Wana mbinu nyingi za kushinda hii game.
Moja ya mbinu yao ni katikati ya mchezo wanacheza chenga na madoido maana lengo lao sio kushinda tu hii game yao, bali...