Kocha wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, amehitimisha muda wake katika klabu ya Bayer Leverkusen baada ya mechi mbili tu za Bundesliga, ambapo klabu ya mabingwa wa zamani wa Ujerumani imeripotiwa kumalizana na kocha huyo Mholanzi baada ya kushindwa kwa kushangaza dhidi ya Werder...