Asikimbie baadaeWakuu,
Uchawa unaendelea
Silinde akiwa Tunduma leo katika kampeni pamoja na Rais Samia amesema kuwa endapo Samia hatopata ushindi wa asilimia 95, basi yupo tayari kuchapwa fimbo mbili na Samia mwenyewe.
Huyu si ajabu ni baba na ana familia yake.
Kabisa, itakuwa ni fedheha kwakweli...hana mshindani!Kiuhalisia hatakiwi kupata chini ya asilimia 99 kama washindani wake ni CHAUMMA .
Sasa kama anaiba hasumbuliwi afanyaje?Wakuu,
Uchawa unaendelea
Silinde akiwa Tunduma leo katika kampeni pamoja na Rais Samia amesema kuwa endapo Samia hatopata ushindi wa asilimia 95, basi yupo tayari kuchapwa fimbo mbili na Samia mwenyewe.
Huyu si ajabu ni baba na ana familia yake.
Kwani anashindana ma nani?!Wakuu,
Uchawa unaendelea
Silinde akiwa Tunduma leo katika kampeni pamoja na Rais Samia amesema kuwa endapo Samia hatopata ushindi wa asilimia 95, basi yupo tayari kuchapwa fimbo mbili na Samia mwenyewe.
Huyu si ajabu ni baba na ana familia yake.
Anashindana na naniKiuhalisia hatakiwi kupata chini ya asilimia 99 kama washindani wake ni CHAUMMA .
Anashinda na tume fake ya uchaguziKwani anashindana ma nani?!
Kwani CCM anapingana na nani? Mbona ni CCM tupu? Shame on you Silinde. Mnajua mnaiba kura, mnadanganya. Matapeli ninyi.Wakuu,
Uchawa unaendelea
Silinde akiwa Tunduma leo katika kampeni pamoja na Rais Samia amesema kuwa endapo Samia hatopata ushindi wa asilimia 95, basi yupo tayari kuchapwa fimbo mbili na Samia mwenyewe.
Huyu si ajabu ni baba na ana familia yake.
Intellectual huyo anampomba mboko mbiliBakora ni code?