mbeya

  1. O

    Natafuta mke

    Habari zenu wadada wa JF, Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa 168 cm; ninayeishi na kufanya kazi mbeya mjini; ninatafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuanzisha...
  2. M

    Mbeya City FC kwanini tu msingepokea Bahasha za Kukubali mfungwe nao kama Vilabu vingine ili Matapeli wasijitoe Udhamini Mwenza?

    Mbeya City FC haya matatizo yote mmeyataka nyie kwa Kukataa kupokea Bahasha zao za Rushwa ambazo huwa wanazitoa kwa Vilabu vingi ili Washinde. Na mlichoharibu zaidi ni Kuzikataa Pesa zao za Janja Janja ili wawafunge halafu mmetoa Siri hii hivyo imewauma na wameona wameshajulikana hivyo hakuna...
  3. M

    GSM mliopo hapa JamiiForums tafadhali naomba Majibu yenu ya upesi sana kwa haya Maswali yangu yafuatayo

    1. Ni kwanini mlianza Kudhamini kabla ya Kuingia Mkataba na TFF tarehe 23 Novemba, 2021? 2. Kama mliingia rasmi Mkataba na TFF tarehe 23 Novemba, 2021 ni kwanini mpaka hii Leo mnasitisha nao Mkataba hamjawalipa Pesa ya Awali na hata Vilabu vyote husika (ukiiondoa Simba SC yenye Akili na Watu...
  4. M

    Mkufunzi wa Waamuzi Alfred Rwiza: Wote wanaosema Goli la Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni offside wakapimwe akili

    "Ni goli halali kabisa na ifike wakati sasa Watu wajitahidi sana Kusoma Sheria na Kanuni mpya za FIFA ili likitokea Jambo wawe wanaweza Kulitafsiri Kitaaluma na siyo Kishabiki. Meddie Kagere anayeonekana kuwa mbele laiti katika ile move pale pale angefunga ndiyo ingekuwa ni Offside ila kwakuwa...
Back
Top Bottom