Nchi yetu sio ya demokrasia, hili tuliseme wazi bila kudanganya
Rais wa nchi hii anaamuliwa na kikao cha kamati kuu ya CCM na wazee, amboa ndio huamua nani akatwe jina na nani apitishwe kwenda kupigiwa kura na wajumbe wa chama
Akishapitishwa na wajumbe ndio tayari ameshakuwa rais, sababu...