matapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Mungu anasema mamlaka zote zinatoka kwake anatuasa tuzitii na kuziheshimu. Kupitia hili TZ tuna watumishi wa Mungu wachache sana, wengi ni matapeli

    Mtumishi wa Mungu ni yule anayehubiri umoja, amani, mshikamano, na upendo kwa watu na Taifa lao na si vinginevyo. Ni aibu kwa mtumishi wa Mungu kuhubiri chuki, utengano, upotoshaji, uongo nk huyo si mtumishi wa Mungu ni tapeli yafaa achukuliwe hatua Kali za kinidhamu kwa mujibu wa sheria zetu...
  2. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Vijana wanaosema wanatengeneza website bure ni matapeli

    Wadau kaeni sawa imenitokea. Matapeli wapo kazini. Hawa vijana wanao tangaza kuwa ni wataalam wa kutengeneza Website (tovuti) sawa na bure wengi wao ni matapeli hawafai. Nimekutana nao kama 4. Wamo wakenya na watanzania. Majina wanayo yatumia ni Mediapix, Datazone technology... na tovuti...
  3. dist111

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Arusha Home Design ni Matapeli Wapya Mjini

    Naandika huu Uzi kama tahadhari, Hawa Jamaa " Arusha Home Design" wanaojinasibu kwa kutengeneza TV cases za kisasa na Majiko ya kisasa ni matepeli, Niliwalipa 2.5M wanitengenezee TV cases, huu ni mwezi wa 3 wameshindwa kukamilisha kazi Yao, Nikasema niwaase Wana Arusha na watanzania kwa...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa TCRA kwa kudhibiti wimbi la matapeli kwa njia ya mtandao.

    Kila mmoja atakuwa shahidi wa haya ninayo yasema kuwa, matapeli wa mtandaoni....wale wazee wa " tuma kwa namba hii" wamedhibitiwa kikamilifu. na hata zile application za kitapeli zimekomeshwa. Tuwape pongezi wa wafanyakazi wote wa TCRA kwa kazi nzuri sana. Mwendo huohuo.
  5. technically

    JamiiForums Tanzania Kigoma inaongoza kwa kuwa na wanasiasa matapeli

    Zitto, Masele,Tumbuli nk ongezea Why always kigoma?
  6. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa watanzania kuhusu kikundi cha Siib na viashiria vya utapeli

    Great Thinkers, Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na taarifa za kuwapo kwa kikundi kinachojiita SIIB kinachodai kuhusika na mradi wa Pi Network hapa Tanzania. Napenda kuwatahadharisha Watanzania wote—hasa wastaafu—kuwa makini sana, kwani kikundi hiki hakijasajiliwa kisheria hapa Tanzania...
  7. chiembe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Madeleka: Wanaosema watazuia uchaguzi ni matapeli kama matapeli wengine

    Hii ni kauli ya nguli wa sheria na siasa, kwa MBA, uchaguzi hauzuiliki. Kauli hiyo ameitoa wakati akipasua anga za wilaya ya Busega akieneza sera za ACT Wazalendo. === Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa haloteli wanatuibia

    Wakuu nawataarifu msinunue mabandle kwenye halotz...wanaiba hela kwa nguvu 1. Nilikuwa na dkk zaidi ya 600 za mwezi zilitakiwa ziishe 20 July lakini zimeipotea yaan ukiangalia salio ni zero na sijazitumia 2. Nilinunua GB 1 jana usiku nikaingia fb dkk moja nikalala asubuh nikakuta no data...
  9. chiembe

    JamiiForums Tanzania Mtume Bashanda ajiapiza kupambana na maaskofu na manabii njaa na matapeli wanaosambaza ujumbe wa chuki

    Haya, wote watatajwq nankuanikwa hadharani. Bila shaka sasa utapeli wa kutumia neno la Mungu unafikia mwisho. Natamani kombora la kwanza lidondokee Ubungo Maji.
  10. Tman900

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada zetu punguzeni utapeli kupitia mapenzi, kama mtu humtaki kwanini ule pesa yake?

    Kk
  11. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini Kuna Matapeli wa Ajira, Soma kisa hiki cha Kweli

    Kisa cha kweli Mwajili Tapel kuweni Makini sana. Katika Ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa adimu kuna matapeli wengi wanaoliza watu tuwe makini, Hiki ni Kisa cha kweli kabisa kanisimulia rafiki yangu kiilimpata last week. Iko hivi huyu jamaa alipigiwa simu na baba yake mdogo Kwamba kuna...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kwa wingi huu wa matapeli kutokea Mbeya, Je Mbeya kuna chuo cha utapeli ?

    Kwa upande moja Mbeya imekuwa mkoa wa kujivunia kwa kutoa wasomi na viongozi mahiri lakini kuna upande mwengine unaitia doa 1. Mawinga wengi sana hutoka huko, utafika Kariakoo kuulizia kiatu cha elf 20 ila winga anataja 50 2. Fake pastors wanaoishi maisha ya kifahari, kufanya miujiza yenye...
  13. sanalii

    JamiiForums Tanzania Orodha ya watu ambao sio wapenda haki bali ni matapeli na wenye chuki binafsi

    1. Mtu anaenasibisha uongozi wa Samia na uzanzibar au uislam. Samia hatumii vifungu vya dini kufanya mambo yake, keanza mengi yapo kinyume na dini, pili wa Zanzibar nao pia ni wahanga wa CCM, ni makundi machache yanayonufaika na CCM ndio wanaoshangilia hapa wapo wanajamiiforums wengi 2...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Kampuni mpya ya fibre internet mjini ni matapeli?

    Nimelipia ili kufungiwa huduma leo ni siku ya tatu hawajanipa huduma, nikiwapigia wanadai kuna tatizo, mbona hela mumechukua kwanza? Mjini hapa jihadharini na kampuni hizi afadhali sana ya zuku kuliko hawa wapya
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kuna wezi na matapeli wana vitambulisho na sare za Tarura feki wanatembea na boda au bajaji wanakamata madeni na wrong parking

    Hawa matapeli wapo sana maeneo ya kariakoo na kinondoni! Wanatumia bajaji au boda na wakati mwingine wanavaa na sare feki! Popote ukikutana nao piga Kelele za mwano ni wezi hao! Kila siku watu wanabuni mbinu mpya za wizi.
  16. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Hivi ndo namna Watanzania tunavyowaona Matapeli wa Kisiasa kwa sasa.

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna anayeweza kuuzuia. Huu ni wakati wa Mungu kuikomboa Tanzania na Watanzania dhidi ya siasa za kitapeli, kuhuni na kifisadi ambazo zimefanywa na Chama cha Mapinduzi kwa miaka mingi sasa na kuwafanya Watanzania wazidi kuwa masikini bila maendeleo ya uhakika kwa...
  17. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Matapeli wa Telegram walivyogonga mwamba kunitapeli

    Matapeli wa telegram walivyogonga Mwamba kunitapeli Walinicheki na kazi ya kutoa review kwenye hotel za Dar google map , Wakaniuliza , jina, umri na occupation (Alert) nikawajibu . Kanitumia hizo link tatu nikarate , kanirushia Pesa ya malipo ya hizo nilizo rate . Baada ya hapo akaniderect...
  18. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Wakuu meridian bet ni matapeli au siwaelewi nimeshinda milioni 10 jana wamefunga account

    Yaani Hawa jamaa nashindwa kuwaelewa mpaka sasaa hivi nimeshinda milioni 10 tangia Jana Kila nikiingia kwenye account inakataa kumbe Hawa jamaa ni matapeli aisee modds naombeni msiunganishe na jukwaa la wazee wa kubet
  19. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Mjini kumejaa wahuni na matapeli. Jamaa yangu alisingiziwa kumvunjia mtu iPhone 13 Pro Max

    Siku moja jamaa yangu mmoja kutoka kijijini alinipigia simu akaniambia, "Kaka, nimefika mjini!" Nikamuuliza, "Umefika wapi?" Akasema, "Posta, daraja la Salender Bridge." Nikashangaa, maana sikuwahi kumwambia aje huko. Nikamuuliza tena, "Nani amekuambia ushuke huko?" Akajibu, "Konda wa daladala...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kina dada wanaopost picha za ovyo mtandaoni na kulalamika matapeli kutumia picha zao wanastahili adhabu kali

    Huwa nashangazwa na kukerwa sana na tabia ya kina dada baadhi kupost picha za mitego mitandaoni kisha baadae kujitokeza na kulalamika picha zao kutumika kufanya utapeli. Kina dada wa aina hii wanastahili kucharazwa viboko hadharani. Mbaya zaidi wakati wakilalamika huporomosha matusi ya nguoni...
Back
Top Bottom