Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Mungu Mbariki D.Trump!
Rais Trump wa Marekani amerejea Ikulu baada ya kutoka hospitali alipowekwa baada ya kukutwa na Virusi vya Corona
Amevua barakoa baada ya kufika ikulu
Mwanzo mpinzani wake Joe Biden alisema Donald alipata Virusi hivyo kwa kuwa kwenye kila mdahalo alikuwa havai barakoa
Rais Trump wa Marekani amerejea Ikulu baada ya kutoka hospitali alipowekwa baada ya kukutwa na Virusi vya Corona
Amevua barakoa baada ya kufika ikulu
Mwanzo mpinzani wake Joe Biden alisema Donald alipata Virusi hivyo kwa kuwa kwenye kila mdahalo alikuwa havai barakoa