Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na kuendelea kujitanua pitia ardhi za wengine Kupitia sera za kimataifa.
Katika ugawaji huu wa Maeneo...
Nimekuwa nikiwaambia Wafuga Midevu na Majini kila wakati kuwa Majeshi ya Israel ni miamba isiyotikisika huko Mashariki ya Kati mpaka huko kwa wa aje I!!
Pichani hapo ni Damascus Syria hebu waangalie askari wa Syria wanavyozimenya mbio kukimbia baada ya ndege-vita za Israel kute Bełda jiji hilo...
Ripoti kutoka Mashariki ya Kati, zinaeleza kwamba, Waislamu wengi wanaota ndoto za Yesu.
Katika ndoto hizo wanamuona Yesu akiwa na sura ya utakatifu, amevaa mavazi meupe, akihubiri amani na upendo na kuwaambia wamfuate.
Ndoto hizo zimesababisha idadi kubwa ya Waislamu kuongoka na kuigeukia...
Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu
Katika zama hizi za mchanganyiko wa mitazamo na hamaki za kimatamanio, watu wengi wanajikuta wanashindwa kutofautisha kati ya upendo wa kweli na tamaa ya kimfumo. Kinachonishangaza, tena kunipa mshituko wa kifikra, ni kizazi cha sasa – wasomi, wapendeza, wa...
afrika na ulimwengu
damu
dhana potofu za upendo
falsafa ya mapenzi
koo
kujiheshimu
kujitambua
kuoa
kuoa na kuolewa
kuolewa
mahusiano
masharikiyakati
maumivu ya mahusiano
ndoa za mchanganyiko
tamaduni za waarabu
tamthilia za mapenzi
ubaguzi wa koo
ubaguzi wa rangi
uhusiano wa kimataifa
usawa wa kijinsia
waarabu
waarabu na waafrika
wanawake wa kiafrika
1) Yahweh
name for the God of the Israelites, representing the biblical pronunciation of “YHWH,”
https://www.britannica.com/topic/Yahweh
Iran missiles cause multiple casualties after strikes in Israel
https://www.bbc.com/news/live/c93ydeqyq71t
Israeli hospital hit by Iranian missile strike...
Mashambulizi kwenye maeneo ya Israel yameshika kasi tangu jana wakati Marekani iliposhambulia vinu vya nyuklia vya Iran.Maafa ndani ya Israel yameongezeka sana na katika kila eneo la ardhi hiyo.
Wafuatiliaji wa usalama wa usafiri wa anga wametoa tahadhari kwa wasafiri kuchukua tahadhari...
Iko wazi kuwa Iran ndie sponsor mkubwa wa vikundi vya kupambana na Israel huko Mashariki ya kati, Iran ndie supplier mkubwa wa silaha kwa Hamas, Hezbollah na Houthi.
Katika safari ya vita ya Israel, alianza kupambana na matawi kwanza (makundi ya kigaidi) kabla ya kuhamia kwenye sponsor wao...
Baada ya agizo la Dharura, Foleni ya kuondoka Tehran imekuwa ni kubwa sana,
Trump kalazimika kukatisha mkutano unaoendelea nchini Canada wa G7 na kurudi haraka Marekani, Amewaagiza wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa (NSC) wawe tayari kwenye chumba cha dharura (Situation Room)...
Wadau hamjamboni Mwanasayansi mwingine wa nyuklia aliuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel, afisa wa eneo hilo anasema Mwanasayansi mwingine wa nyuklia wa Iran, Ali Mansour Bakouei, ameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel, gavana mkuu wa jimbo la Mazandaran nchini Iran alitangaza...
Jamani tuendelee kuwaombea wenzetu mashariki ya kati watu wasio na hatia wanateseka.
vita sio vizuri, watoto wanateseka sana, naandika hapa machoz yananitoka. wakati nikiwa secondary nilisoma kazi moja wapo ya UNO, iliyo anzishwa mwaka 1945 nilikariri neno moja tu "To promote peace in the...
Saudi Arabia ni taifa la Waislamu wa Sunni (kabila la Wahhabi) na Iran ni taifa la Waislamu wa Shia, na ndiyo ngome kuu ya Shia duniani.
Syria, chini ya utawala wa Bashar al-Assad, inaongozwa na Alawite — tawi la Shia.
Iraq, baada ya Saddam Hussein (Sunni), sasa ina serikali yenye ushawishi...
Israel yatangaza kufanya mashambulizi nchini Iran
Milipuko ya mabomu yasikika katika mji mkuu wa Iran wa Tehran
Usiku wa kuamkia leo Juni 13 Israel imefanya mashambulizi ya anga kwa nchi ya Irani huku ikilenga maeneo muhimu na viongozi katika mji wa Tehran.
Shirika la Habari la Tasnim la Iran...
Wadau hamjamboni nyote? Ni suala muda
Trump baadaye alithibitisha kwamba baadhi ya wafanyakazi wa Marekani wanahamishwa kutoka Mashariki ya Kati "kwa sababu inaweza kuwa mahali hatari." "Tutaona kitakachotokea... Tumetoa notisi... Iran haiwezi kuwa na silaha ya nyuklia," aliwaambia waandishi...
Leo, katikati ya mazungumzo ya nyuklia, Khamenei aliitishia Marekani kihalisi na kuahidi kulifuta Taifa la Israel - huku akiwatetea magaidi wa Hamas huko Gaza
Alisema "Utawala wa Kizayuni ambao ni Saratani hatari na ni saratani ya eneo la Mashariki ya kati lazima bila shaka Itaondolewa na...
Wadau hamjamboni nyote?
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao
Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu
Watambue kuwa kushindana na wsteule hao...
Wakuu,
Donald Trump alisema kwamba Marekani itasitisha mashambulizi dhidi ya Wahouthi nchini Yemen kwa sababu kundi hilo "limejisalimisha", huku Oman ikithibitisha kuwa makubaliano ya "kusitisha mapigano" yamefikiwa na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran ili likome kulenga meli katika Bahari...
Kuna taarifa kuwa hakuna utawala wa nchi yoyote ile ya kiarabu na kiislamu ambayo haina kiongozi wa ngazi ya juu ambaye si wakala wa Israel.Baadhi ya nchi zina mpaka kiongozi mkuu ambaye ni mjumbe anayefanya kazi za kiyahudi.
Utafiti huo umekuwa ukitajwa muda mrefu lakini haikujulikana ukweli...
Gaza haikuwa gereza kama wajinga na wapumbavu walivyokuwa wanaaminisha watu. Gaza ilikuwa ni johari. Watu waliishi vizuri zaidi kuliko katika nchi nyingi duniani, Lakini Hamas kwa ujinga wao na uovu wa kutosha walifanya mashambulizi ambayo yalibadilisha kila kitu huko Gaza!!!
Sasa hivi Gaza...
Tunajua Misri na Jordan zina makubaliano yasiyo na faida yoyote kwao.Hata hivyo makubaliano hayo hayahusiani na kuua watu wa Palestina.
Baada ya kuua kwa karibu miaka miwili ni zamu yao kuiambia Israel isiwaue watu wa Gaza kwa kuwazuilia chakula ambacho kinaoza mipakani kwa takriban mwezi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.