marufuku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Marufuku ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 16 yaanza kutekelezwa rasmi Australia

    Taifa la Australia linaanza leo kutekeleza sheria ya Bunge inayopiga marufuku watoto chini ya miaka 16 kutumia au kuwa na akaunti ya mtandao wa kijamii hivyo kuzuia upatikanaji wa majukwaa kama YouTube, TikTok, Instagram na Facebook. Kwa mujibu wa sheria hiyo kampuni zitakazokiuka masharti ya...
  2. U

    Ni bora kabisa vyama vingi vikazuiwa mara moja marufuku kwani ndiyo zao la vurugu na uvunjifu wa amani

    Wakati wa chama kimoja amani na utulivu mkubwa lakini muda huu ni vurugu. Vyama vingi zao la ukosefu amani Vizuiwe
  3. SSH2025_2030

    Wimbo wa MAKOMBORERO upigwe Marufuku nchini

    Huu wimbo una viashiria vya ukombozi na uvunjifu wa amani. Hivyo ingefaa upigwe Marufuku na BASATA kuleta utangamano wa kitaifa
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Baada ya marufuku ya maandamano ya D9 tutarajie nini? Nani wako interested kukaidi amri hiyo? Vipi mbinu?

    Habari ya Sabato! 1. Nimesikia tamko na marufuku iliyotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu maandamano yaliyopangwa huku mitandaoni na gen Z ambayo wameyaita D9. 2. Hoja za Jeshi la Polisi kwa kuyazuia zipo hoja kuu mbili nilizoziona. Hoja ya kwanza ni Hakuna barua yoyote ya kuomba uwepo wa hayo...
  5. DuaZaMama

    PostGE2025 Chalamila: Nimeona watu wanaenda mikoani,huu ni msimu wa sikukuu

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa watu wanaosafiri kwenda mikoani ni jambo la kawaida linalotokea kila mwaka, na si kitu cha kushangaza au kuhusishwa na sababu nyingine. “Naomba niwaambie kitu kimoja: kama kweli kuna adui, atakuwa amefanikiwa endapo atagundua kuwa...
  6. Common Folk

    PostGE2025 Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya 9 December 2025

    Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Desema 9, 2025, likisema kuwa yamekosa sifa za kisheria za kuyaruhusu kufanyika, ikiwemo kulenga uvunjifu wa amani. Aidha, Jeshi la Polisi limesema hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa ya kutoa taarifa ya kufanyika...
  7. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Polisi yapiga marufuku maandamano ya Disemba 9

    Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa za kisheria na yanaashiria mipango ya uhalifu unaoweza kuhatarisha usalama wa taifa. Katika taarifa iliyotolewa Desemba 5, 2025 na Msemaji wa Jeshi...
  8. MK254

    Taliban wapiga marufuku vitabu vyote vilivyoandikwa na wanawake

    Kulingana na sheria za dini ya muarabu, mwanamke hapaswi kusikika popote na kwa lolote, yaani akae ndani tu na akitoka ajighubike yale manguo ya muarabu meusi na aandamane na mwanaume, kidogo waarabu wenyewe wameanza kulegeza hizi sheria za kufanya wanawake wawe mazombi, ila hawa jamaa ambao...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Kama kweli serikali imedhamiria pasiwe na maandamano D9 njia bora ni kupiga marufuku ya kutoka Siku hiyo kwa masaa muhimu

    Hamjambo Wakuu. 1. Ni vizuri kama kweli inania watu wasiandamane Siku ya tarehe 9 basi ni muhimu kutangaza mapema kabisa; 2. Kwamba Tarehe 9 watu wakae ndani. Kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 6 mchana. 3. Kisha waingie ndani majumbani kuanzia saa 11 jioni wasitoke kabisa 4. Viongozi wa...
  10. Replica

    PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Kamati ya Bunge ya mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya imepiga kura ambapo kura 53 zimeunga mkono pendekezo la kusitisha Euro Milioni 156 kwenye mpango kazi wa Tanzania kwa mwaka 2026 huku kura mbili pekee zikiamua kwenda tofauti. Mwenyekiti wa kamati hiyo, David McAllister amesema Tanzania imeamua...
  11. M

    PostGE2025 Jeshi la Polisi laondoa amri ya Lockdown kuanzia saa 12 jioni kwa wakazi wa Dar es Salaam

    Jeshi la Polisi Tanzania limetoa Taarifa kwa Umma likisema kuwa, Kufuatia maelekezo yaliyotolewa jaan tarehe 3.11.2025 na Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan, Amri iliyokuwa imetolewa na Jeshi la Polisi kwa wakazi wa Jiji la Dar es salaam ya kuwa majumbani kuanzia saa 12 jioni...
  12. Carlos The Jackal

    Baada ya Kupigwa Marufuku na Mtoto wa Nyerere , Genge la Samia wamekimbilia Mgongo wa Chifu Japheti !Hamna mtoto wa Nyerere alokosoa Maamuzi ya Andrew

    Wakuu ama kweli Mtoto wa Nyerere Andrew Nyerere amekua kuyakomesha haya matapeli , manyonyaji , madhulumati ya Haki za Watu na Mafujaji ya Rasilimali za Nchi !!. Mpaka Sasa Hamna Mtoto wa Nyerere ambaye ametoka hadharani kupinga au kukosoa maamuzi ya Kaka Yao Mkubwa Andrew Nyerere juu ya...
  13. Mad Max

    China wanataka kupiga marufuku “hidden door handles” kwenye magari, kwa sababu za kiusalama!

    Wakuu. Trend maarufu ya retractable door handles aliyoipa umaarufu bwana Elon Musk kwenye magari ya Tesla na kuigwa kila pande za dunia, baada ya kuonekana ina mapungufu mengi uko China wanaplan ya kuipiga marufuku. Lengo kuu la hidden door handles ni kupunguza drag coefficient, kwahiyo...
  14. Echolima1

    Viongozi wa Palestina wapiga marufuku kuingia Marekani

    BREAKING: Viongozi wa Palestina WAPIGWA MARUFUKU kuingia Marekani. Katibu wa Jimbo Rubio anazuia visa vyao kwa sababu ya uhusiano wao wa kigaidi na "kulipa-Fadhila kwa Magaidi" pesa za damu. Marekani HAITAWAPA thawabu wale wanaotukuza mauaji.
  15. Dennis Robert Shughuru

    Misaada ya kidhalilishaji kama ya kujenga choo nitaipiga marufuku

    Bibafsi hamna jambo ambalo linanikera sana kama nchi kuona eti tunapewa mikataba ya kujenga Naamini ujenzi wa vyoo sehemu yeyote ndani ya nchi iwe ni mashuleni au mahali popote pale sio jambo lililotushinda kama nchi NIKIWA RAIS WA TANZANIA NTAPIGA MARUFUKU MIKATABA YA KIDHALALISHAJI KAMA...
  16. WILLIAM MARCONI

    Marufuku madhabahuni (upande wa pili)

    Historia ya Nchi yetu inaonyesha kuwa Uhuru wetu uliletwa kwenye Ibada kama hizi, au makongamano ya Dini. Jana tu Kanisa Katoliki lilikamilisha Mfungo wiki nzima kuombea Haki. Naomba kwa leo watu tujadili hili Kongamano la Amani la Umoja wa Mainamu Tanzania UMATA, Mgeni rasmi alialikwa Rais...
  17. Stroke

    Diamond apigwe marufuku nyimbo zake zimejaa matusi

    Wakuu Huyu kijana amechangia mno kuharibu hiki kizazi. Nyimbo zake ni matusi tupu. Apigwe marufuku kabisa .
  18. Mstahiki Mea

    India Yapiga marufuku kampuni za Betting

    India imepiga marufuku kampuni zote za michezo ya kubahatisha mtandaoni zinazohusisha pesa halisi, kuanzia tarehe 21 Agosti 2025 baada ya kupitishwa kwa Sheria ya Kukuza na Kudhibiti Michezo ya Mtandaoni, 2025. Muhtasari wa Sheria Mpya Kimepigwa Marufuku Michezo yote ya mtandaoni yenye...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Waandishi ambao hawajasajiliwa JAB marufuku kuripoti Uchaguzi Mkuu

    Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, ametoa onyo kali na kupiga marufuku waandishi wa habari ambao hawana ithibati kutoripoti kabisa uchaguzi mkuu kwani kufanya hivyo ni kosa la kisheria. Amesema kuwa ni kosa la kisheria kwa mwandishi wa...
  20. Inside10

    Ethiopia Wanasiasa Marafuku PhD Za Heshima

    Wizara ya Elimu nchini Ethiopia imetoa Mwongozo mpya unaopiga marufuku Viongozi wa Serikali na viongozi wa Kisiasa nchini humo kutunukiwa Shahada za Heshima (Honorary Doctorate). Agizo hilo ambalo limetiwa saini na Waziri wa Elimu Nchini Ethiopia Profesa Berhanu Nega kuwasilishwa kwa Vyuo vikuu...
Back
Top Bottom