maria sarungi

  1. DuaZaMama

    SI KWELI Maria Sarungi amesema CHADEMA imekufa mapema mno

    Wakuu Je, ni kweli Maria Sarungi amesema CHADEMA imekufa mapema.
  2. DuaZaMama

    SI KWELI Amnesty yaunga mkono Maria Sarungi kufukuzwa Kenya

    Wakuu Nimekutana hii taarifa inasema kuwa Amnesty yaunga mkono Maria Sarungi kufukuzwa Kenya kuna ukweli wa hizi taarifa au ni uzushi?
  3. R

    SI KWELI Maria Sarungi: Heche na Lema mmeiua CHADEMA kwa uongozi wa Mabavu

    Habari wakuu, Kama kweli ni kauli ya Maria Sarungi simuuungi mkono Naona Maria Sarungi katema cheche huku akidai Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche pmoja na Jonathan Lema kuwa uongozi wao wa Mabavu umeua CHADEMA ilhali tangu CHADEMA ikumbwe na matatizo...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Maria Sarungi aripoti Al-HAJJ NOURDIN MUSHI ametekwa tangu jana 05 September, 2025

    Jina: Al-HAJJ NOURDIN MUSHI. Ametekwa jana 05/September/2025 majira ya saa moja jioni. Imeripotiwa: RB No:- MBN/RB/2209/2025 Kituo cha polisi Mbweni. Mwenye taarifa awasiliane na namba:- 0683772862. Ndugu walimwona jana saa 11 jioni akiwa na watu waliojifanya wanataka kukodi gari...
  5. Mtu wa Majira na Nyakati

    Napenda kujua , Maria Sarungi anapambania kitu gani ?

    Kuna huyu Dada anajiita Maria sarungi , je huyu anapambania kitu gani? Anakuambia Tutaelewana. Mimi sipandi chochote ila yeye anapambania nini maana Field hayupo zaidi ya kuweka hashtag ya #Tutaelewana.
  6. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi amesema CHADEMA imepoteza mvuto wa kitaifa

  7. Egnecious

    Maria Sarungi na chuki dhidi ya Rais Samia na wazanzibar

    Inasikitisha kuona mtu kama Maria Sarungi anayejiita mwanaharakati wa haki za binadamu, akiendelea kuonyesha chuki waziwazi dhidi ya Rais Samia na Wazanzibari kwa ujumla. Kila jambo linalotokea nchini kwake linageuzwa lawama kwa Rais Samia, hata yale yasiyomhusu moja kwa moja. Mbaya zaidi...
  8. Metronidazole 400mg

    Maria Sarungi na mange Kimambi nyie watanzania wajinga mmekubali ni wanaharakati kweli??

    Wako nje ya Tz, mmoja ulaya, mwingine sijui kenya na familia zao zipo Safe. Ni kivipi ww mwanaume mwenye kende mbili ukubali harakati za hawa wavaa pichu, wanaojiita wanaharakati wa mchogo na wanafiki. Kama wanapenda nchi yao,, kwanini wasije huku Bongo na tupigane wote kama wana uchungu wa...
  9. DuaZaMama

    SI KWELI PreGE2025 LHRC yalaani kauli zisizo na mashiko za Maria Sarungi zenye mashiko ya uchochezi na uvunjifu wa amani

    Wakuu ===== Ni kweli LHRC imelaani kauli zisizo na mashiko za Maria Sarungi zenye mashiko ya uchochezi na uvunjifu wa amani? mwenye ukweli wa taarifa atupe ukweli.
  10. W

    SI KWELI PreGE2025 LHRC yaandika barua kumtaka Maria Sarungi aache kuchochoe fujo mtandaoni

    Wakuu hii taarifa ni ya kweli imetolewa na LHRC?
  11. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Lema amesema Maria Sarungi ni msaliti anaitafuna CHADEMA ndani kwa ndani

  12. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi amesema CHADEMA inazidi kusambaratika na kufa

  13. R

    Hongera Maria Sarungi, wahuni walitaka wakurubuni eti uje kumzika baba yako, usingelirudi duniani, ungepotea kama Mdude, Soka et al na wengine

    Kwa haya yanayoendelea kwetu Tanganyika, nchi ya ya Julius Kambarage Nyerere, ungelogwa ukaja eti kumzika baba yako, ungelipote mazima . Mshukuru sana Mungu wako na malaika Gabriel aliyekuongoza.
  14. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi adai Mpina ni dikteta, hafai kuonewa huruma

  15. Dalton elijah

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi Anashikiliwa na jeshi la polisi Kenya kwa utakatishaji fedha

    kumekuwa na chapisho linalo samba kwenye mitandao ya kijamii hususani facebook linaeleza kuwa Mwanaharakati Maria Sarungi amekamtwa na jeshi la polisi nchini kenya huku ikieleza kuwa taarifa hiyo imechapishwa na godbless Lema huku x pia chombo cha Habari cha Jambo tv kuchapisha huko X Taarifa...
  16. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi kupitia X ameandika Oktoba Tunatiki

  17. upupu255

    SI KWELI PreGE2025 Millard Ayo amechapisha taarifa ikisema "CHADEMA iko kipindi cha kupotea kisiasa"

Back
Top Bottom