Marekani imenyanyua tena "upanga wake wa viza", safari hii ukielekea kwa nguvu zaidi Afrika. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani vinavyoanika nyaraka za serikali, Rais Donald Trump anapanga kuongeza orodha ya nchi zinazopigwa marafuku raia wake kuingia Marekani katika wiki kadhaa...