marekani

  1. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania KWELI Baadhi ya Picha na Video zilizochapishwa mtandaoni kumuhusu Rais Maduro baada ya kukamatwa na Marekani zinapotosha uhalisia

    Baada ya Januar 03, 2026 Rais wa Marekani Donal Trump kutangaza kuwa vikosi vya jeshi lake vimemkamata Rais wa Venezuela Nicolous Maduro kumeibuka picha na video nyingi kuuhusu Rais huyo akiwa anakamatwa ama akiwa katika mikono ya wanajeshi wa Marekani.
  2. M

    JamiiForums Tanzania (KUMBUKIZI) Hili limeniuma sana: Marekani yatoa msaada wa MABOZA sita ya maji kwa Tanzania

    Marekani imetoa msaada wa maboza sita ya maji yanayojiendesha yenyewe ya lita 2400 kila moja, kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ambayo yataipa uwezo wa kusukuma na kusambaza maji. Hii inaiwezesha JWTZ kusambaza maji safi na salama kwa maeneo ya vijijini ambayo hayana huduma ya...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini serikali ya Marekani imezilenga tena nchi za Afrika kwenye vizuizi vya kuingia Marekani?

    Hivi karibuni serikali ya Rais Donald Trump ilitangaza orodha mpya ya nchi ambazo raia wake wanawekewa vizuizi vya kuingia Marekani. Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani inasema orodha hiyo inahusisha nchi zilizothibitishwa kuwa na upungufu sugu na mkubwa katika ukaguzi, uhakiki, na...
  4. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Raisi Donald Trump amesema Marekani ni lazima iwe na uhakika wa usalama wake pale tu endapo eneo lake la Marekani ya Kusini ( Western Hemisphere) litakuwa salama na tulivu. Rais Trump amesema rais wa Colombia Gustavo Petro ni mgonjwa na kwa muda sasa rais Petro amekuwa chini ya vikwazo kadhaa...
  5. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichomtokea Maduro, sidhani kama Samia atakanyaga tena Marekani kama ilivyokuwa hapo awali

    Alipoapishwa kuwa Rais baada ya mtangulizi wake kufariki, Samia alikuwa anakuja sana Marekani. Alijipendekeza kwa Kamala Harris, mpaka wakafanya ka press conference, na baadaye Kamala akaitembelea Tanzania. Nahisi kulikuwa na jitihada za makusudi za kuongeza urafiki na Marekani baada ya kile...
  6. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Onyo: Marekani haitambui mtu anayejiita Rais kama uchaguzi aliuthibiti tukiona ana anaonea raia tutamnyakua kama Maduro - Sikiliza hii kikao cha UNSC

    Marekani haitambui kiongozi yeyote anayechezea chaguzi kuu katika nchi yake, so inawatambua kuwa ni waharifu tu kama wengine na wakiona anamakosa hata ya kuonea raia aliowadhurumu haki zao wanamkamata au kumuua. Huo ujumbe kwa baraza kuu la usalama la kimataifa. Onyo Hii kitu inawahusu wote...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Series ya Jack Ryan S02 (2019): Ilitabiri Tukio la Venezuela — Miaka 6 Baadaye Marekani Ikapiga kwenye mshono

    Kuna series moja nzuri sana ambayo sasa ndio inashika vichwa vya habari duniani kote na hii series inaitwa Tom Clancy's Jack Ryan. Mfululizo wa Tom Clancy’s Jack Ryan unamuhusu mwamba mmoja wa kuitwa Jack Ryan, mfanyakazi wa CIA anayejihusisha na ujasusi wa kimataifa, uchambuzi wa mambo hatari...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Venezuela watuma ujumbe kwa Marekani. Tunaialika Serikali ya Marekani kushirikiana nasi katika ajenda ya ushirikiano

    Venezuela inathibitisha tena dhamira yake ya amani na kuishi kwa amani na mataifa mengine. Nchi yetu inatamani kuishi bila vitisho vya nje, katika mazingira ya heshima na ushirikiano wa kimataifa. Tunaamini kuwa amani ya dunia hujengwa kwanza kwa kuhakikisha amani ya kila taifa. Tunaona kuwa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Serikali Msichezee Moto na kuwasumbua Diaspora wenye Uraia wa Marekani

    Serikali Msichezee Moto na kuwasumbua Diaspora wenye Uraia wa Marekani. Raia yeyote wa Marekani akishikwa au kushitakiwa nchi nyingine kwa utamaduni wa marekani ni swala la kitaifa sio tena swala la mtu mmoja. Marekani iko tayari kutuma jeshi kumkomboa mtu mmoja tu. Lakini serikali muwe makini...
  10. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Haikuhitaji Marekani kutumia ndege na tanks kuiangamiza Caracas, walihitaji walinzi watatu tu kufanikisha mchongo mzima

    My people, Habar iliyopo duniani sasa hivi ni kukamatwa kwa Maduro wa huko Venezuela, hapa nakuletea habar za kikachero kutoka Caracas. Pentagon,Marekani Mpango mzima ulianza mwaka mmoja uliopita pale ambapo Marekani ilikuwa inatafuta washirika wa kuwasaidia kufanikisha hii operation...
  11. R

    JamiiForums Tanzania China yakosoa Marekani kwa kujifanya HAKIMU WA DUNIA baada ya kumkamata Maduro

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amesema Beijing haiwezi kukubali nchi yoyote kujitwalia nafasi ya kuwa “hakimu wa dunia” au “polisi wa dunia,” akitoa kauli hiyo kufuatia kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na Marekani. Akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwanasiasa Bunge la Ulaya ahoji uwezo wa Marekani kumkamata Maduro lakini kushindwa kumuwajibisha Netanyahu wa Israel

    Mwanasiasa wa Bunge la Ulaya amehoji uwezekano wa Marekani kumkamata Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro na kumfikisha katika Mahakama , lakini imeshindwa kumkamata na kumuwajibisha Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayesimamia vikosi vyake kuishambulia Palestine
  13. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Ndege za jeshi la Marekani zaingia kwa wingi uUaya, Iran kufuata baada ya Venezuela!?

    Ndege za jeshi la marekani zinaingia kwa wingi uingereza na nchi zingine za ulaya ikiwemo uturuki Inaongeza wasiwasi kwamba huenda Iran itakumbwa na kile kilichoikumba Venezuela Iran kwa upande wao wameweka bango lenye picha za majeneza yenye bendera za marekani na Israel yenye ujumbe 'jalini...
  14. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Historia ni Albamu ya Zamani, Hata hii ya Marekani kukamata Marais wa nchi nyingine si picha ngeni

    Historia ni kama albamu ya zamani; hakuna kitu kipya, ni picha zinazojirudia. Hata kukamatwa kwa Nicolás Maduro na Marekani wala si suala geni kihivyo. Kurasa zote za habari hivi sasa zinafuatilia kilichotokea Venezuela. Wengi wameliona tukio hili kama la kushangaza baada ya Rais wa Marekani...
  15. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Nchi Zenye kutumia Ubabe kulinda Mipaka yake na Maeneo Jirani, hata kama Nchi Jirani haitaki kulindwa italindwa tu

    The Monroe Doctrine sio dhana ya kipekee tu kwa Taifa la Marekani. Kwa wasiofahamu Monroe Doctrine ni sera inayokataza Mataifa ya kigeni hasa ulaya na kwingineko wasipeleke au kusogelea Nchi zozote zilizoko katika mabara ya America kusini na America kaskazini. Na nchi yoyote itakayojaribu...
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Donald Trump, Samia Suluhu alikuita "WHO ARE YOU?"

    Wakuu, tumchongee Samia Suluhu kwa Trump Baba Donald Trump, Huku Tanzania kuna Mwanamke anaitwa Samia Suluhu Hassan aliikuita who are you.. Mvutie pumzi.. Kwa sasa yupo huko Tunguu Zanzibar. Siku mkimtaka ntatoa Ushirikiano.. Yaani mtamkamata kama kuku wa Kisasa.. Naye anatakiwa apokee unyakuo...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Marekani wanategemea sana hesabu

    Wamerekani wamekuwa wakionesha Dunia kuwa Hesabu ndio kila kitu Jeshini kwani 100% ya maamuzi yanayofanyika jeshini/vitani ni Hesabu & Physics Mfano: 1. Kurushusha mabomu ni hesabu kwa huku kwetu ipo kwa kidato cha tano Phy/maths 2. Mambo mengi vitani yanahitaji prediction (probability) ipo...
  18. Mhaya

    JamiiForums Tanzania China ndio Sababu ya Maduro kutekwa na Marekani, Mchina ni tishio kwa Mmarekani

    Namna Marekani alivyocheza karata zake kwa Venezuela ni kama Demu mkali ale vitu vyako alafu kisha hakukatae badae unamuona anajibebisha kwa mwamba mwingine ambaye wewe ni kama mshindani wake wa muda mrefu, unaamua kumteka demu na kuondoka nae kwa nguvu hili awe na wewe kwa lazima. Hakuna...
  19. Keynez

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani ambayo Marekani imewahi kuwapelekea na kuwalazimisha ushoga?

    Kuna wapuuzi wanadhani hatuna akili kama wao. Tunapolalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu, utawala mbovu usiofuata misingi ya sheria, ubadhilifu wa mali za umma, rushwa, utekaji na mauaji ya watanzania wasio na hatia, wanatuambia Marekani na "wazungu" wakishirikiana na baadhi ya watu waliopo...
  20. Area 56

    JamiiForums Tanzania Kamala Harris amkosoa vikali Trump juu ya uvamizi wa Marekani huko Venezuela

    Makamu wa Rais mstaafu wa Marekani, bibie Kamala Harris amesema Donald Trump ameivamia Venezuela sio kwasababu ya kutokuwa na demokrasi au biashara ya madawa ya kulevya bali ni kuhakikisha wanatwaa mafuta yaliyopo Venezuela. Maoni hayo yameibua hisia tofauti huko kwenye mtandao wa x zamani...
Back
Top Bottom