Utawala wa Trump umeunda kikosi kazi cha kimataifa kinacholenga kupambana na biashara ya kinachoitwa "utalii wa uzazi" (birth tourism), kikilenga watu wanaotuhumiwa kutumia vibaya visa za Marekani kusafiri nchini humo kwa ajili ya kujifungua.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza...
Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni walidai kuwekea vikwazo dhidi ya teknolojia ya Akili Bandia (AI) ya China, lakini wamekumbana na upinzani mkali kwanza kutoka kwa makampuni mapya karibu 200 ya Silicon Valley nchini humo, yakishirikiana na makampuni makubwa yakiwemo Meta, Nvidia, na...
Mara zote Irani yeye alikuwa haziishi mashambulizi ila alikuwa anajibu Baada ya kushambuliwa na alikuwa anajibu Kwa kiwango kinachofanana nafikiri walikuwa wanafanya Kwa kufuuta Sheria za kiislam
Ila hili shambulio la mwisho la US la kupiga miundombinu Yani reli za mwendokasi, Madaraja ...
Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu kwa manufaa ya nchi hizo mbili...
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu...
Osama bin Laden: Kiongozi na mwanzilishi wa Al-Qaeda, aliuawa na vikosi maalum vya Marekani nchini Pakistan mnamo Mei 2011.
Abu Bakr al-Baghdadi: Kiongozi mkuu wa kundi la Dola ya Kiislamu (ISIS / Daesh), alijiua kwa kulipua bomu wakati wa operesheni ya jeshi la Marekani nchini Syria mnamo...
Mwamuzi kutoka somalia Omar Artan ( 34 yrs) baada ya kukataliwa kuingia Marekani Kuchezesha kombe la Dunia 2026 , kuchezesha Uefa Super Cup kati ya Paris. Saint German PSG VS Aston Villa
Usiache kamwe kuota ndoto yako .” ✨
🇸🇴🏆 Kutoka Somalia hadi kwenye UEFA Super Cup, Omar Artan...
Niliiandika 2019 baada ya kukutana ma mtu mmoja pale CCM lumumba ni mtu mmoja credible ndani ya Chama,
Alikuwa kaniambia kwamba ishaamuliwa kama Magu angeona hafai kuendelea 2025 kwa kukiuka Katiba basi chaguo lake ni BASHIRU, niliiweka kwenye TETESI Uzi huu nikafuatwa inbox na mkubwa mmoja...
Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa:
"Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi".
"Marekani ameishiwa nguvu huwa ameishiwa silaha kipigo alichopata katika zile vituo vyake vemweka katika hali...
Kuhusu Kudhoofika kwa Nguvu za Marekani na Israel
Mohamed Said anaeleza kuwa Marekani imepoteza nguvu zake za kijeshi dhidi ya Iran kiasi cha kulinganishwa na "chui wa karatasi":
"...tunavyodhani kuwa ni nguvu za Israeli ni nguvu za Marekani umekija kujulikana kuwa hawa wakitumia sana...
Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani.
Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani.
Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani.
Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani.
Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
Elly David m Tanzania anaeishi nchini Canada anasema asilimia kubwa ya vijana wa ki Tanzania na kutoka sehemu mbalimbali barani Africa wanaopelekwa na wazazi wao kusoma Marekani, Canada na Ulaya wengi wao huishia my wa machoko na mateja...
Du kama ndo hivyo Bora wasome Kayumba na waishi hapa...
Wakuu
Nilikuwa naangalia series ya The American Experiment ikielezea how America was founded na walivyoandika katiba
Kumbe Katiba ya Marekani ya mwaka 1787 iliandaliwa na wazee 55 tu, wakiongozwa na George Washington kama mwenyekiti.
Walijifungia katika ukumbi mmoja wenye...
China na Angola hivi karibuni zimesaini makubaliano kuhusu mradi wa ujenzi wa bandari mpya huko Barra do Dande wenye thamani ya dola milioni 900 za Kimarekani.
Angola ni moja ya nchi muhimu zaidi ambayo Marekani na China zinashindania ushawishi barani Afrika. Marekani imewekeza sana katika njia...
Raia kutoka nchi 50, zikiwemo 30 za Afrika, watakabiliwa na amana za usalama za hadi dola 20,000 za Marekani wakati wa kuomba visa fulani za biashara na utalii chini ya programu ya kudumu ya dhamana ya visa iliyotangazwa na Marekani. Maafisa wanasema hatua hiyo inalenga kudhibiti watu wanaokaa...
Mohamed Said anakumbuka wimbo waliokuwa wakiimba utotoni huko Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, walipokuwa wakicheza kwenye mapembea:
"...tukikaa kwenye kile tulikuwa tunaimba mchimba kisima akaingia mwenyewe wewe kaingia mchimba kisima ndoa hii mchimba kisima kaingia mwenyewe fedha hii..."...
Mdada wa kisomalia mjihad na ana support vikundi ya kigaidi
Jamaa wa kiarabu, mkomonisti anaepinga marekani na kumsifia china
Mwingine huyo kutoka asia, ana support ushoga wa kuvuka mipaka na kuruhusu wanaume trans kuingilia michezo ya wasichna pure
US is cooked, soon magharibi wataona moto...