marekani

  1. R

    JamiiForums Tanzania Trump apiga ban wanaokwenda kujifungulia Marekani ili kupata uraia

    Utawala wa Trump umeunda kikosi kazi cha kimataifa kinacholenga kupambana na biashara ya kinachoitwa "utalii wa uzazi" (birth tourism), kikilenga watu wanaotuhumiwa kutumia vibaya visa za Marekani kusafiri nchini humo kwa ajili ya kujifungua. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza...
  2. JamiiForums Tanzania Vikwazo dhidi ya teknolojia ya AI ya China vyapingwa na mashirika ya Marekani

    Baadhi ya wanasiasa wa Marekani hivi karibuni walidai kuwekea vikwazo dhidi ya teknolojia ya Akili Bandia (AI) ya China, lakini wamekumbana na upinzani mkali kwanza kutoka kwa makampuni mapya karibu 200 ya Silicon Valley nchini humo, yakishirikiana na makampuni makubwa yakiwemo Meta, Nvidia, na...
  3. JamiiForums Tanzania Baada ya Irani kuanza vita rasimi Marekani wamekimbia

    Mara zote Irani yeye alikuwa haziishi mashambulizi ila alikuwa anajibu Baada ya kushambuliwa na alikuwa anajibu Kwa kiwango kinachofanana nafikiri walikuwa wanafanya Kwa kufuuta Sheria za kiislam Ila hili shambulio la mwisho la US la kupiga miundombinu Yani reli za mwendokasi, Madaraja ...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati

    Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu kwa manufaa ya nchi hizo mbili...
  5. JamiiForums Tanzania Tanzania na Marekani zaahidi kuendeleza ushirikiano katika nishati, afya na uwekezaji

    Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu...
  6. JamiiForums Tanzania Magaidi wanaotekeleza "dini ya amani" walivyouawa na Marekani !

    Osama bin Laden: Kiongozi na mwanzilishi wa Al-Qaeda, aliuawa na vikosi maalum vya Marekani nchini Pakistan mnamo Mei 2011. Abu Bakr al-Baghdadi: Kiongozi mkuu wa kundi la Dola ya Kiislamu (ISIS / Daesh), alijiua kwa kulipua bomu wakati wa operesheni ya jeshi la Marekani nchini Syria mnamo...
  7. JamiiForums Tanzania Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA chini ya Alexander Ceferin yamteua Omar Artan kuchezesha Uefa Super Cup

    Mwamuzi kutoka somalia Omar Artan ( 34 yrs) baada ya kukataliwa kuingia Marekani Kuchezesha kombe la Dunia 2026 , kuchezesha Uefa Super Cup kati ya Paris. Saint German PSG VS Aston Villa Usiache kamwe kuota ndoto yako .” ✨ 🇸🇴🏆 Kutoka Somalia hadi kwenye UEFA Super Cup, Omar Artan...
  8. JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Niliiandika 2019 baada ya kukutana ma mtu mmoja pale CCM lumumba ni mtu mmoja credible ndani ya Chama, Alikuwa kaniambia kwamba ishaamuliwa kama Magu angeona hafai kuendelea 2025 kwa kukiuka Katiba basi chaguo lake ni BASHIRU, niliiweka kwenye TETESI Uzi huu nikafuatwa inbox na mkubwa mmoja...
  9. JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kipindi Maalum IBN TV

    Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa: "Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi". "Marekani ameishiwa nguvu huwa ameishiwa silaha kipigo alichopata katika zile vituo vyake vemweka katika hali...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa CIA apendekeza Marekani ishirikiane na Al Qaeda na ISIS kuiangusha Iran

    Sina maelezo mengi, video yenyewe inajitosheleza
  11. JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Mungu Apitishie Mbali Vita Vya Nuclear

    Kuhusu Kudhoofika kwa Nguvu za Marekani na Israel Mohamed Said anaeleza kuwa Marekani imepoteza nguvu zake za kijeshi dhidi ya Iran kiasi cha kulinganishwa na "chui wa karatasi": "...tunavyodhani kuwa ni nguvu za Israeli ni nguvu za Marekani umekija kujulikana kuwa hawa wakitumia sana...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani. Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani. Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani. Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani. Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
  14. B

    JamiiForums Tanzania "Asilimia kubwa ya vijana kutoka Tanzania na Afrika nzima ujumla wanaoletwa na wazazi kusoma Marekani na Canada wamegeuka kuwa machoko ".. Elli David

    Elly David m Tanzania anaeishi nchini Canada anasema asilimia kubwa ya vijana wa ki Tanzania na kutoka sehemu mbalimbali barani Africa wanaopelekwa na wazazi wao kusoma Marekani, Canada na Ulaya wengi wao huishia my wa machoko na mateja... Du kama ndo hivyo Bora wasome Kayumba na waishi hapa...
  15. JamiiForums Tanzania Kumbe rasimu ya Katiba ya Marekani ya 1787 iliandikwa na watu 55 tu na mchakato ulichukua siku 166 tu? Malawi vipi?

    Wakuu Nilikuwa naangalia series ya The American Experiment ikielezea how America was founded na walivyoandika katiba Kumbe Katiba ya Marekani ya mwaka 1787 iliandaliwa na wazee 55 tu, wakiongozwa na George Washington kama mwenyekiti. Walijifungia katika ukumbi mmoja wenye...
  16. JamiiForums Tanzania Sababu za Marekani kukosa ushawishi dhidi ya China katika ushirikiano wa miundombinu na Afrika

    China na Angola hivi karibuni zimesaini makubaliano kuhusu mradi wa ujenzi wa bandari mpya huko Barra do Dande wenye thamani ya dola milioni 900 za Kimarekani. Angola ni moja ya nchi muhimu zaidi ambayo Marekani na China zinashindania ushawishi barani Afrika. Marekani imewekeza sana katika njia...
  17. JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Taifa la Mashahidi na Mashujaa

    https://youtu.be/2AJc0jjjz9k?si=IBOQqohMS8pQIGn9
  18. K

    JamiiForums Tanzania Waafrika Kukabiliwa na Dhamana ya Hadi Dola 20,000 Kupata Visa ya Marekani

    Raia kutoka nchi 50, zikiwemo 30 za Afrika, watakabiliwa na amana za usalama za hadi dola 20,000 za Marekani wakati wa kuomba visa fulani za biashara na utalii chini ya programu ya kudumu ya dhamana ya visa iliyotangazwa na Marekani. Maafisa wanasema hatua hiyo inalenga kudhibiti watu wanaokaa...
  19. JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Marekani Yasalimu Amri: Kila Mchuma Janga Hula na Wakwao

    Mohamed Said anakumbuka wimbo waliokuwa wakiimba utotoni huko Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, walipokuwa wakicheza kwenye mapembea: "...tukikaa kwenye kile tulikuwa tunaimba mchimba kisima akaingia mwenyewe wewe kaingia mchimba kisima ndoa hii mchimba kisima kaingia mwenyewe fedha hii..."...
  20. JamiiForums Tanzania Hii ndio sura mpya ya chama cha democrat huko marekani

    Mdada wa kisomalia mjihad na ana support vikundi ya kigaidi Jamaa wa kiarabu, mkomonisti anaepinga marekani na kumsifia china Mwingine huyo kutoka asia, ana support ushoga wa kuvuka mipaka na kuruhusu wanaume trans kuingilia michezo ya wasichna pure US is cooked, soon magharibi wataona moto...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…