Kamanda wa CENTCOM wa Marekani Adm. Brad Cooper akiwa na Benjamin Netanyahu

Kamanda wa CENTCOM wa Marekani Adm. Brad Cooper akiwa na Benjamin Netanyahu

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Kamanda wa CENTCOM wa Marekani Adm. Brad Cooper anasukuma mashambulizi mapya kati ya Marekani na Israeli dhidi ya Iran, ikiwa ni pamoja na miundombinu ya mafuta, gesi, na umeme.

Aliwaambia maafisa wakuu wa IDF kwamba mashambulizi kama hayo yanaweza kuilazimisha Iran kubadilisha msimamo wake.
 

Attachments

  • IMG_20260815_204259_049.jpg
    IMG_20260815_204259_049.jpg
    102.8 KB · Views: 5
  • IMG_20260815_204258_911.jpg
    IMG_20260815_204258_911.jpg
    157 KB · Views: 5
Hormuz kuna Blockade ya Marekani iran hawezi kupitisha kitu hapo bila idhini ya kiranja wa dunia!!
Safari hii mutajamba sana maana munamsaidia iran kuifunga hormuz maana super glue mumechemka
 
Safari hii mutajamba sana maana munamsaidia iran kuifunga hormuz maana super glue mumechemka
Iran safari anateseka sana na Blockade ya Marekani!! Hakuna buashara yoyote hapo Hormuz Marekani walishaziba kabisa hakipiti kitu hapo!!
 
Iran safari anateseka sana na Blockade ya Marekani!! Hakuna buashara yoyote hapo Hormuz Marekani walishaziba kabisa hakipiti kitu hapo!!
Unapataga mda hata wa kuoga kweli Israel wakupe uwemsemaji wao wa taifa
 
Iran safari anateseka sana na Blockade ya Marekani!! Hakuna buashara yoyote hapo Hormuz Marekani walishaziba kabisa hakipiti kitu hapo!!
Iran ilifunga hormuz kabla ya hao wapuuzi kumsaidia kuifunga vizuri zaidi
 
Back
Top Bottom