Credit: Pastor Jesse Matosha
#SIO KILA MAMLAKA IMETOKA KWA MUNGU.
ACHENI KUTAFSIRI WARUMI 13:1–7 NJE YA MUKTADHA!
Watu wengi wamekuwa wakitumia Warumi 13:1–7 kama silaha ya kunyamazisha watu dhidi ya dhuluma, ufisadi, ukandamizaji, na udikteta — kana kwamba kila kiongozi aliye madarakani ni...