Serikali ilishakufa pale kijiti alipoachiwa Raisi Samia, tumeshuudia kila aina ya uchafu, ushezi, ukatili, haki kukosekana, mahakama kuongozwa na watu wachache, polisi kijiamulia watakavyo, vyombo vya ulinzi vingi kama jeshi JWTZ sasa kama ni migambo, uhamiaji hakuna kitu huko na TISS na mifano...