PreGE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani atishika na 'No reforms no election' asema jambo la msingi ni kulinda amani 'kuna vita huko duniani'

PreGE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani atishika na 'No reforms no election' asema jambo la msingi ni kulinda amani 'kuna vita huko duniani'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,176
Reaction score
4,918
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


 
1000000224.jpg
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718
Amani inalindwa na HAKI, hakuna namna nyingine ya kulinda amani zaidi ya HAKI.
 
No reforms no election.
No reforms no election.
No reforms no election
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718
NRNE.jpeg
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718
Hakuna kuachana nao ,ukisema kuachana nao maana watajijua , ila wasipo sikilizwa ipo siku nao watasema serikali iliyojiweka madarakani achana nayo watajiua wenyewe ,tukifika huko je tuna nchi kweli.

Shida inaanza kwamba uchaguzi kuna watu waliupania sana matokeo yake ndo aya sasa ,tunaingia kwenye mkwamo wa kisiasa, ni kipofu tu hawezi liona hili , ila tutavuka Taifa litashinda na haki itashinda na kutamalaki
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718
No Reforms, No Elections.
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718
No reforms no election
 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe.

Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi ni kuendelea kulinda amani ya nchi huku akiongeza kuwa wale wasiotaka kufanya uchaguzi wananchi waachane nao ili wafanye maendeleo.


View attachment 3360718

Tanzania hatuna tatizo la kukosekana kwa amani . Tatizo la watanzania ni kukosekana kwa Haki basi .

Kama yeye anaona vita ni vita yake mwanyewe na roho yake iliyojaa damu za watu. Sisi hatuoni vita wala vurugu.

Hawa CCM wanakaririsha watu kuwa tuombe amani amani wakati hakuna vurugu . Tusimchoshe Mungu ana mambo mengi . Tuombe nchi ipate viongozi bora watakaojenga misingi ya Haki kwa kila mtu.

Hakuna hata dini moja wala sheria za nchi zinazosema mtu akifanya kosa atekwe na kufirwa na kudhalilishwa au kuteswa au kuuawa . Hiyo sio Haki .
Kukosekana kwa Haki ndilo tatizo kubwa hata Dr. Samia wakati ule akiwa Mtu mwema alisema wazi kuwa Hataki hata Pesa za faini za Barabarani ziwe ni tegemeo la Bajeti yetu kwa sababu zinapatikana kwa uonevu . Lakni pia alisimulia jinsi alivyowahi kukamatwa na polisi bila kosa na kuzungushwa na gari usiku kucha .
Samia kabla ya kuwaza Madaraka kufa na kupona aliona kuwa Tatizo la Tanzania ni vyombo vya dola kutoenda haki . Sijui alibadilikaje au sijui alikula maharage ya wapi?

Tumuombe Mungu atuondolee watu wasiotenda haki wakati wa kutimiza majukumu yao..
Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu kwa watu wote kama tunavyoona aibu tunayoipata baada ya kuwatendea maovu na madhambi wakenya
 
Viongozi wa chama Cha majambazi Huwa wanasisitiza amani lakini hawasisitizi haki.kukiwa na haki na amani inajileta yenyewe.
 
Back
Top Bottom