Serikali ya Tanzania imeongeza ukandamizaji wa kisiasa, jambo linalozusha wasiwasi mkubwa kuhusu iwapo uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu utakuwa huru na wa haki, Human Rights Watch imesema leo.
Mamlaka zimekandamiza Matangazo ya Mchana: Upinzani wa kisiasa na wakosoaji wa...
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, siku ya Alhamisi alisema kuwa "hakutakuwa na taifa la Palestina." Alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake katika makazi ya Maale Adumim yaliyoko katika Ukanda wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Netanyahu alisaini rasmi hati ya kuidhinisha ujenzi wa...
Figo ni moja ya viungo muhimu vya mwili wa mwanadamu, ambavyo vina majukumu mengi ya kuweka mwili katika afya njema.
Madaktari mara nyingi wanashauri kwamba ili kuweka figo kuwa na afya njema, kula kiasi cha chumvi, kuepuka sukari ya ziada na kutotumia dawa za maumivu bila ushauri wa daktari...
Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini ya elektroliti.
Figo hufuatilia shinikizo la damu na pia kusaidia katika kutengeneza seli nyekundu za damu. Lakini mara nyingi watu hupuuza dalili za mwanzo za figo kushindwa...
Maelezo kuhusu taarifa
Author,Yusuph Mazimu
Nafasi,
Akiripoti kutokaBBC Dar es Salaam
26 Mei 2025
"Ndani ya nchi yetu Mungu ametubariki uraniamu (urania). Ni vyema kusimamia ule mradi wetu kule Namtumbo, wale wawekezaji waanze kazi sasa tufaidike na rasilimali ile."
Ni kauli nzito ya Rais wa...
Maelezo ya picha,Taulo inaweza kuonekana safi machoni ila imekusanya mamilioni ya bakteria
Kwa kunusa tu kipande cha nguo au kukichunguza kwa uangalifu ikiwa hakina mabaka, tunaweza kuamua ikiwa kiko tayari kuoshwa au kinaweza kustahimili matumizi mengine.
Lakini tunajuaje ni wakati wa kuiosha...
FAIDA ZA MMEA WA MSEGESEGE
KUMTIBU MTU ALIYEROGWA UCHAWI USIOTIBIKA KIRAHISI
1. Kama unahitaji kumtibia mtu aliyerogwa uchawi
usiotibika kirahisi au amezunguka sana kutafuta
matibabu mbalimbali basi utakwenda katika mti huu kwa kufuata adabu za kuchukua mti kitiba kisha
utachukua majani yake...
Nakubalina na Rostam Aziz, Wawekezaji wa Nje waje ku compliment pale ambapo Wawekezaji wa Ndani wamekwama tena Kwa Ubia.
Sasa taasisi zetu zikisia uwekezaji wao wanaweza Wazungu na hata Sasa wako busy kutafuna posho Kwa visingizio vya kuandaa majukwaa ya uwekezaji na mataifa ya Nje...
Hiii ni dawa nzuri ya Vidonda
Wengi mna sikia hadithi tu
Kua kuna mti.huo wa nyoka
Yani nyoka wakipigana mmoja ikatokea kamjeruhi mwenzake au kuzimia
Huenda kwenye mti flani uchuma jani na kumtemea mwenzake na kuamka
Basi dawa hii NI nzuri kwa mwenye vidonda vyovyote vile ambavyo vya ndani na...
FAIDA YA TUNDA LA FENESI KWA AFYA YA MWILI WAKO NA NGOZI.
Najua unalijua fenesi, pengine unakula bila kujua faida zake au hujawahi kula kabisa. Fenesi linaweza kuwa tunda ambalo halina washabiki wengi, lakini ukisoma hapa na kujua faida zake mwilini.
Mwenyewe utaanza kulipenda tu. Maana fenesi...
Rosela ni ni maua yanayo julikana kabisa pia huoteshwa au kupandwa mazingira ya kawaida haswa nyumbani, maua haya yanapatikana kirahisi katika nyumba za ndugu, jamaa na marafiki na sehemu zinginezo japo kuwa baadhi ya watu huyaita maua damu.
Zifuatazo ni faida za kutumia Rozela.
Maua ya...
Anaitwa NASSORO IDDY IGALAWA ni dereva amepatwa na umauti leo maeneo ya mbangamawe alikuwa na gari NOAH amby bado haijasajiliwa lakini documents zinaonyesha alikuwa anapeleka gari msumbiji.
Mwili upo hospital ya mkoa ruvuma (HOMSO) mpaka sasa hivi hatujapata mawasiliano ya ndugu kwasababu...
UFUTA au kitaalamu Sesamum indicum, hustawi na hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania ya Lindi, Mtwara na sehemu ya mkoa wa Ruvuma, Tunduru.
Hata hivyo, tafiti mbalimbali za ndani na nje ya nchi, zinaonesha kuwa ulaji wake ni kinga na tiba ya magonjwa katika mwili wa binadamu
Baadhi ya...
Je, Iran ilitengeneza vipi kombora la hypersonic ambalo linaweza kufika Israel kwa 'sekunde 400' licha ya vikwazo?
Maelezo ya picha,Teknolojia ya kombora la Balistiki ilitengenezwa wakati wa Vita vya Pili vya Dunia lakini ni nchi chache ulimwenguni ambazo zina uwezo kama huo.10 Oktoba 2024
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.