Unapogusa kanisa, unamkusa Kristo mwenyewe kwa sababu ila hilo ukristo duniani hautambuliki, bila hilo, ukristo dunaini hauhubiriwi, watu hawaabudu Mungu kwa njia ya ukristo, fanya vyote ila usiguse kanisa, kwa sababu utapambana na mwenye kanisa mwenye ambaye ni Yesu Kristo.
Hii ndio sababu...