Kuwa makini ni hivi vitu usipuuze

Kuwa makini ni hivi vitu usipuuze

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,748
Reaction score
5,117
Kucha zako, nywele , nguo yako ya ndani ni vitu muhimu sana usitope hovyo katika ulimwengu wa kichawi vitu hivyo vinakuwakirisha wewe mwenyewe kama ukitokea mubaya wako amevipata basi wewe umeangamia .
Unalalamika huzai kila siku mimba zinashuka kumbe nguo yako ya ndani ilichukuliwa na wabaya wako
Unalalama hufanikiwi kumbe kunawajuzi wamebeba nywele zako au kucha kisha kuzifanyia urozi
Mwisho, Njia nzuri ni kuvichoma moto ilikuepuka hayo
 
Kucha zako, nywele , nguo yako ya ndani ni vitu muhimu sana usitope hovyo katika ulimwengu wa kichawi vitu hivyo vinakuwakirisha wewe mwenyewe kama ukitokea mubaya wako amevipata basi wewe umeangamia .
Unalalamika huzai kila siku mimba zinashuka kumbe nguo yako ya ndani ilichukuliwa na wabaya wako
Unalalama hufanikiwi kumbe kunawajuzi wamebeba nywele zako au kucha kisha kuzifanyia urozi
Mwisho, Njia nzuri ni kuvichoma moto ilikuepuka hayo
Imani potofu.
 
Kucha zako, nywele , nguo yako ya ndani ni vitu muhimu sana usitope hovyo katika ulimwengu wa kichawi vitu hivyo vinakuwakirisha wewe mwenyewe kama ukitokea mubaya wako amevipata basi wewe umeangamia .
Unalalamika huzai kila siku mimba zinashuka kumbe nguo yako ya ndani ilichukuliwa na wabaya wako
Unalalama hufanikiwi kumbe kunawajuzi wamebeba nywele zako au kucha kisha kuzifanyia urozi
Mwisho, Njia nzuri ni kuvichoma moto ilikuepuka hayo
Natupa tu na hakuna wa kunifanya chochote!. Yesu hakuja duniani kuzurura!.
 
Imeandikwa wapi hivyo katika Biblia?
 
Kuna mtu anaondka na nywele zake saloon....!!?


Your thoughts shape your life
 
Kucha zako, nywele , nguo yako ya ndani ni vitu muhimu sana usitope hovyo katika ulimwengu wa kichawi vitu hivyo vinakuwakirisha wewe mwenyewe kama ukitokea mubaya wako amevipata basi wewe umeangamia .
Unalalamika huzai kila siku mimba zinashuka kumbe nguo yako ya ndani ilichukuliwa na wabaya wako
Unalalama hufanikiwi kumbe kunawajuzi wamebeba nywele zako au kucha kisha kuzifanyia urozi
Mwisho, Njia nzuri ni kuvichoma moto ilikuepuka hayo
UkIenda kunyoa saloon udai nywele zako sio?
 
uelewa wako ni mdogo sana
Wewe ndiyo una uelewa mdogo sana hadi kuamini vitu vya kijinga na ndiyo maana waganga wanawatapeli sana pesa ,yaani ningekuwa nakufahamu ningekupa kucha zangu ,nywele na nguo ningekwambia kafanye chochote unachojua wewe halafu uone kama nitapata chochote kibaya.

Mimi hata wakati najenga watu walikuwa wanasema izindike wachawi watakuweke vitu usijenge nikaambia njoo site kwangu fukia hata kichwa cha mtu ,kaite wachawi wote waje kuweka mauchawi ,nikawaambia ukiona nimesimamisha ujenzi basi jua hela imekata nazichanga tena ,siamini kwenye vitu vya kiupumbavu ,wengi wanaoamini UCHAWI hata kimaisha wamepigika sana.
 
Wewe ndiyo una uelewa mdogo sana hadi kuamini vitu vya kijinga na ndiyo maana waganga wanawatapeli sana pesa ,yaani ningekuwa nakufahamu ningekupa kucha zangu ,nywele na nguo ningekwambia kafanye chochote unachojua wewe halafu uone kama nitapata chochote kibaya.

Mimi hata wakati najenga watu walikuwa wanasema izindike wachawi watakuweke vitu usijenge nikaambia njoo site kwangu fukia hata kichwa cha mtu ,kaite wachawi wote waje kuweka mauchawi ,nikawaambia ukiona nimesimamisha ujenzi basi jua hela imekata nazichanga tena ,siamini kwenye vitu vya kiupumbavu ,wengi wanaoamini UCHAWI hata kimaisha wamepigika sana.
King kong kichwa maji kabisa
 
King kong kichwa maji kabisa

Watu wenye uelewa mpana hawaamini kwenye hivyo vitu unavyoamini ,mimi nimekaa na hao unaowaita waganga na kuwapelekea hayo makucha ,nywele na vitu vinavyofanana na hivyo huwa wanasema kwamba wanawatapeli tu kina mama na kupiga pesa zao lakini hakuna wanachofanya.

Wenza wanaoshindwa kupata watoto kuna factors nyingi sana ambazo zinasababisha wakienda hospital wataambiwa ukweli na si kwamba wamechukuliwa VYUPI vyao na kwenda kurogwa.
 
Wewe ndiyo una uelewa mdogo sana hadi kuamini vitu vya kijinga na ndiyo maana waganga wanawatapeli sana pesa ,yaani ningekuwa nakufahamu ningekupa kucha zangu ,nywele na nguo ningekwambia kafanye chochote unachojua wewe halafu uone kama nitapata chochote kibaya.

Mimi hata wakati najenga watu walikuwa wanasema izindike wachawi watakuweke vitu usijenge nikaambia njoo site kwangu fukia hata kichwa cha mtu ,kaite wachawi wote waje kuweka mauchawi ,nikawaambia ukiona nimesimamisha ujenzi basi jua hela imekata nazichanga tena ,siamini kwenye vitu vya kiupumbavu ,wengi wanaoamini UCHAWI hata kimaisha wamepigika sana.
wewe ni imani (dini) gani ? au ni atheist?
 
Jamani mie nina chupi za maex wangu nazitumiaje kuhakikisha wanakuwa wananipa mbususu bure na pia wanaenda kugegedwa kwengine...yaani kiufupi nataka kutumia hizi chupi zao niwaroge wawe malaya na mie wawe wananihusisha kwenye huo umalaya wao kwa kunipa mbususu zao
 
Kucha zako, nywele , nguo yako ya ndani ni vitu muhimu sana usitope hovyo katika ulimwengu wa kichawi vitu hivyo vinakuwakirisha wewe mwenyewe kama ukitokea mubaya wako amevipata basi wewe umeangamia .
Unalalamika huzai kila siku mimba zinashuka kumbe nguo yako ya ndani ilichukuliwa na wabaya wako
Unalalama hufanikiwi kumbe kunawajuzi wamebeba nywele zako au kucha kisha kuzifanyia urozi
Mwisho, Njia nzuri ni kuvichoma moto ilikuepuka hayo
Wewe ni mzaiirwaa? Tongo Elamu. Sasa mwana kuzaii hivyo vitu tuvipeleke wapi vikichakaa? Maana kuvipiga moto nayo wanasema ni msala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom