makini

Jully Makini (also known as Jully Sipolo) (born c. 1953 (age 64 in 2017)) is a Solomon Islander poet, writer and women's rights activist. The author of poems such as Civilized Girl (1981) and Praying Parents (1986), in June 2017 she received the International Women of Courage Award from the US Secretary of State for her work in promoting women's rights in the Solomon Islands.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Kwanza kabisa sikubaliani na watu wanaosambaza uzushi wa aina yoyote ikiwemo kuwalisha watu maneno kwa njia yoyote ile, ila pia nadhani Gwajima alitakiwa kukanusha uzushi kwa maneno mafupi sana kuwa, Sijawahi kutoa kauli hiyo na pia si sahihi kusambaza taarifa za uzushi iwapo kulikuwa na ulazima...
  2. NGAYANIMO

    Changanya Ladha by Joh Makini

    JOE MAKINI - CHANGANYA LADHA. Namshukuru Mungu Leo Me Niko hapa , Number One Hip hop star sio Tu Raper/ The "Mcee" kwenye Em - cee , Wanakubali kwa hiyari sio kwamba Na force/ J.O.H M.K.A Ena ndani ya Sound za " Mo" Records/ Ninapotia Team Wana Disappear/ Sio Makosa Yao wananihofia...
  3. Sister Abigail

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Tazama picha za Jose wa Kitaa na Jose huyo huyo ndani ya vizimba vya mahakama Iringa . Ndoto za kusaka utajiri zitaishia jela kwa kijana Joseph aliyemkatakata mtoto wake na kusagasaga mifupa yake na kuiweka kwenye tenki la maji machafu. Picha za Jose hazina hatia kabisa, anaonekana alikuwa...
  4. Hance Mtanashati

    Utapeli mpya kwa mafundi, kuweni makini

    Huu uzi unawahusu mafundi aina zote haswa mafundi ujenzi. Usione watu wana miliki nyumba zaidi ya 10 ukadhani zote wamejenga kihalali kumbe nyuma ya pazia kuna uchafu umefanyika kukamilisha ujenzi huo. Mchezo upo hivi, tajiri atakuita vizuri atakupa kazi na mtaanza vizuri tu mwanzoni , ila...
  5. Sifi Leo

    Je, wafahamu tafsiri ya makofi anayopigiwa Kassimu Majaliwa? Mlinzi wake kuwa MAKINI usibweteke inaweza kula kwako soon

    CCM haitaki kubadilika kulingana na nyakati, Kassimu Majaliwa nyota yake haijafifia hata iweje bado inang'ara sana hata km CCM na Samia mnajitaidi kuizima. Mlinzi wake nimekuona umeanza kubweteka, take care man. umeilinda hazina ya nchi system soon itatoa majibu.
  6. Pdidy

    Kuelekea derby kuna penalty or red card...timu ziwe makini sana kwenye hili

    Wale mliokaribu wajuzeni wachezaji mchezo wa derby kkutakuwa na red card ama penalty Wacheze kwa adabu na heshima sana refa atakaekuwepo n kama amekuwa chambo mistake za kadi hatorembesha Hali hii italeta sitonfahamu kwa dk kadhaa hata hivyo mpira utaendelea na kadhaa kuondoka na simanzi...
  7. Stroke

    Kuweni makini na matumizi ya ATM; kuna wataalam wa kuiba na hutopata sms na notification

    Wakuu , Kumeibuka wizi wa kupitia ATM. Hasa ile benki flani hivi. Jamaa wanaiba in such a way hutopata notification SMS. Msitumie ile njia ya kuweka ATM card juu ya mashine
  8. Tlaatlaah

    Huenda angekuepo hayati Chacha Zakayo Wangwe Chadema kingekua chama cha siasa cha kizalendo kuliko hivi kilivyo sasa kimesheheni vibaraka na mamaluki.

    Ni wazi sura na taswira ya Chadema kwa sasa inajionyesha wazi kwamba ni kichaka cha mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magaharibi, wanaokusudia kuvuruga umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania kwa maslahi ya hao mabwenyenye ya magaharibi wanaowafadhili chadema na kuwafadhili...
  9. Zee la madawa

    Watu wa Kusini kuweni makini na hao wafugaji kutoka kanda ya ziwa msije kupiga kelele baadae

    Kuna wimbi kubwa sana la wafugaji kutoka kanda yq ziwa hasa kwenye wakihamia mikoa ya kusini Lindi,Mtwara na Ruvuma kuna makundi kwa makundi ya wafugaji wa jamii ya kisukuma wakihamia mikoa ya kusini na kuanza kupora ardhi na pia wengi wao kuwadhuru wenyeji wao kitu ambacho kinaleta taharuki na...
  10. jamaikatz

    JamiiForums usipokuwa makini, utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako🤔

    JamiiForums usipokuwa makini utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako ni kuwa makini sana Sasa hivi wanawake unawatafuta kwa tochi hawapatikani kirahisi, now days JF wanaume ni wengi kuliko wanawake. Na kuna baadhi ya members wa kiume wanafungua ID fake wakijifanya ni wanawake Kuweni makini sana.
  11. Alloyce PR

    Kuwa makini na unachokisikiliza

  12. Keynez

    CHADEMA na Wanaharakati wajipange na wawe makini na taarifa za kuuzwa kwa hazina ya dhahabu

    Baada ya MO29, Wanaharakati na CHADEMA walisisitiza kwamba lazima haki ipatikane na kuwe na uwajibikaji kutokana na matukio yote yaliyotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi. Kampeni zikaanza ikiwemo za kukusanya vielelezo, kupinga tume feki ya Chande na kupeleka vielelezo vya kufungua...
  13. Stability

    Kuweni makini mademu wa pale riverside wana scabbies

    Aisee nimewashwa mwili mzima wiki 2 hadi nikatumia ile dawa kama maziwa ndio nimepona duh
  14. britanicca

    Nyerere alikuwa Dikteta makini sana, waliofuata ni washamba labda kwa mbaaali Mkapa

    Jumapili ni tulivu! Pamoja na kwamba Tuna PM wa mchongo, na wakati huo Namba moja na Namba mbili hawapatani wanaogopa kutiliana sumu tuangalie hapa chini Haina ubishi wote mliokuwapo wakati wa Nyerere alikuwa dictator Lakin mwenye akili natoa mifano michache tu 1. Mzee mtei aliachana naye kwa...
  15. comrade_kipepe

    Mnaoweka pesa HALOPESA kuweni makini

    System yao imekua mbovu sana week hii, na hata ulinzi wa pesa zenu mnaoweka huko ni mdogo sana! Tokea jana mtu unaweza kuangalia salio la halopesa bila hata kuweka PIN, yani unaangalia tu kama salio la kifurushi meseji ya kiasi kilichopo kinatumwa kwa sms.
  16. Chief Kumbyambya

    Usipokuwa makini simu kubwa inaweza kukufanya ufanye uduwanzi

    Wasalaaaaam mabibi na mabwana. Ni Mc Mwakifulefule nasemaajeeè....? Leo ndo naanza rasmi dayati ya kuto kuingia twita maana kuna porno nyingi sana. We fikiria toka saa moja jioni nipo twiter ambayo sasa hivi ni "X" naangalia mizagamuo tu sasa mashine iko hewani nashindwa kulala na punyeto...
  17. Idugunde

    Aibu iende kwa nani juu ya huu upuuzi unaofanyika? Watu makini hawezi kufanya maandamano ya kipuuzi kama haya

    Yaani mkusanye watu wasiofaa hata kutazamika kwa macho alafu mdanganye kuwa ni waumini wa dini fulani ambayo kataa usikatae ina ushawishi mkubwa hapa nchini basi wewe hako sawa. Kwanza hii inaleta picha kuwa tayari una chuki na kinyongo juu ya hili dhehebu. Pili hili dhehebu halikubaliani na...
  18. Mayova

    Kuweni makini na hii kitu imeingia inaitwa "" 26 pesa""

    NAOMBA USOME KWA UMAKINI KABISA Kwanza kabisa Hakuna pesa inayo patikana kiurahisi ,ukiona matangazo kwenye mitandao ya kijamii kama Fb , twitter, instagram wanatangaza kuhusu matumizi ya SMART PHONES ili kujipatia kipato bila kuathiri muda wako wa kazi, tafadhali usiyafuatilie wala kuya tilia...
  19. Fbn

    Mkesha wa kukaribisha 2026:Kuna watu msipo kuwa makini mnaunganishwa yale ya October 29

    Yaliyotokea October 29 wanashindwa kufanya wajifiche vipi ili dunia wajue kuwa tanzania ni ya amani. Heka heka za mkesha msipo kuwa makini mtajikuta kwenye Tume na kusema imechunguza sana.
  20. Raia Fulani

    Vyombo vya habari kuweni makini. Msipokuwa makini hii mamlaka itawazika

    Mamlaka yenyewe mnaijua. Inadhibiti maudhui yenu kwa kila hali. Inawaongoza cha kuandika na kusema. Leo hii mimi nilikuwa sio wa kuacha kutazama taarifa ya habari saa 2 usiku kwenye ile independent tv, lakini sasa napotezea tu. Natazama aljazeera muda huu. Wa aina yangu tuko wengi sana. Soon tv...
Back
Top Bottom