Umeme wa 5,000 nimekatwa 2000. Hii haiko sawa!

Mtuflani Official

JF-Expert Member
Dec 31, 2019
1,938
4,354
Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.

4174E730-5868-4284-9841-67B5C6FC3049.jpg


Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
 
Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.View attachment 1905687

Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
Unaishi dunia gani?

Itakuwa upo bussy sana na kuyasaka maisha

Kiufupi inabidi kufurahi kama nyumba ni yako
Kama sio yako mtafute mwenye nyumba akulipe

Japo wamelala kodi ya jengo elfu 1 ya July na August.
Kila mwezi hutakatwa buku

Maendeleo hawana vyama
 
na kama nanunua umeme mara mblli kwa mwezi nitakatwa 2000 yaani kwa mwaka 24000
Uongo uongo acha kupotosha iyo Kodi inakatwa Mara moja kila mwezi na ni tshs 1000 iyo elfu 2 imekatwa ili kufidia kodi ya jengo ya mwezi July mwaka wa fedha ulipoanza

Tulips kodi nchi hii itajengwa na did Watanzania
 
Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.View attachment 1905687

Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!

Ninaota kwamba, tegemea yasiyotegemewa kama kodi ya nyama. Kwamba mtu kama ana uwezo wa kununua kilo ya nyama kwa shillingi 9,000/=, hawezi kushindwa kulipa kodi ya shilingi 3000. Bado wenye mizani wamekithiri kuiba. Kilo moja, wanapewa 3/4 ya nne. Mizani na vipimo wako likizo, wanatafuta fedha za kulipia tozo. Maisha magumu.

Kodi ya maji, kwenye bill unaongezewa shilingi 100 kwa kila lita. Kodi za kadi za ndoa na sherehe, kwamba maskini hawezi kufanya sherehe za harusi. Unaposajili ndoa, lazima ulipie kodi laki 200000. Chakula cha sherehe kila sahani ya 25,000 uilipie kodi ya sh. 5,000/= This is bellow poverty index. Sasa maisha yatakuwaje? Kodi ya kusafiri, maskini hawezi kupanda basi. Ukipanda basi uongezee shi, eluf 5 kodi ya nauli. UKishona suti ,lazima ulipie kodi.

Mfumo wa pekee duniani. Kutoza kodi kwenye matumizi ya mapato ambayo tayari yamelipiwa kodi. Ni zaidi ya polytaxation. Only in my land. Watu wanaishi maisha ya kimaskinik uduni ambao haujawahi kkutokea.
Ahhhhhhhhh!. Oh, kumbe ni ndoto!. Nimeamka niko vizuri. Habari za asubuhi wajumbe!.
1629783820884.png
 
Ndugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.View attachment 1905687

Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
Dah ndo nimeacha kupost hpa baada ya kuona uzi wako mkuu! Hawa jamaa sjui wapoje yaani, hadi nikajua vendor wanachakachua! Tareh 20 nilinunua wa buku5 ika fresh unit 13 na point kadhaa! Lakin jana bhana naona na mm nikapewa kitu cha unit 8.3 kuuliza kwa vendor akanifafanulia kwamba wamekata makato ya jengo kwa mwezi wa saba na wa nane! Nilichana token kwa kweli!

Ni lishikwa na hasira balaa bas tu! Hv kwa nin serikali haya mambo ya kodi kama lengo ni kukata kila mwezi kwa nini msitengeneze mfumo rafiki na serikali za mitaa mijini na vijijini wakawa wakusanyaji wakuu/ maana mashine zpo za receipt, ilikuwa haina maana kutuchanganyia hku kwenye luku! Kwanza hyo buku ya mjengo kwenye receipt mbona haitokei kwenye printed token kuelezea kwamba umekatwa kwa ajili ya mjengo! This is fucking kwa kweli! We mama ww si muislam lakin jamn tena mfanya ibada mzuri tuu! Kwa nini hya mnayoanzisha msiyajadili kwa kina lakini.... So sad
 
Hiyo ni makato ya mwezi wa sita na Saba, maana mwaka wa serikali unaanza mwezi wa sita. Kwahiyo wamekata makato ya miezi miwili.
Miezi inayofuata makato yatakuwa 1000 kila mwezi kama utakuwa una nunua umeme kila mwezi
 
Back
Top Bottom