maji

  1. Echolima1

    VIDEO-Askari wa Israel wakiwapa maji Wapalestina

    Video kama hii Aljazeera hawawezi kuionyesha maana itawaumbua unafiki wao!!!
  2. V

    Tunachimba visima vya maji vya kisasa

    Karibuni Sana wells technology wachimbaji wa visima vya maji safi na salama borehole gharama za uchimbaji kisima ni kwa mita Dar es salaam na pwani mita moja 90,000 Mikoani mita moja 140000 Gharama zinacover uchimbaji mpk kufunga pump mawasiliano 0657710078 . 0769509666
  3. Yoda

    Kuongezea(ku-dilute) sabuni ya maji maji iwe nyingi ni upumbavu na ushamba wa kiwango cha juu.

    Huu mtindo wa wafanyabiashara wa migahawa, bar na vyoo vya umma kuchukua sabuni ya maji halafu kuiongezea maji ili iwe nyingi ni upumbavu wa hali juu. Wabongo kuna ujanja mwingine tungeachana nao tu maana tunakuwa duni kuliko hata ngedere, kama ni ubahili wa kubana matumizi basi pia ni ubahili...
  4. The redemeer

    Inadaiwa Burkinabe wazee wote umeme na maji bure

    Ouagadougou, Burkina Faso – Serikali ya Burkina Faso Chini ya Rais Ibrahim Traore imetangaza kuwa wazee hawatalazimika tena kulipia huduma za umeme na maji. Tangazo hilo limetolewa na Kiongozi wa mpito wa nchi hiyo, Ibrahim Traore, ambaye amesema kuwa huduma hizo zitakuwa bure kwa wazee wote...
  5. funaku

    Tatizo la maji safi na salama Marekani!

    Katika pitapita zangu za kisomi nimejikuta natambua kuwa pamoja na uzee wa Taifa la Marekani bado kuna maeneo mengi hayana maji safi na salama
  6. U

    Waasi wa kihusi wa Yemen waishambulia Kwa makombora mazito ya masafa marefu maji ya Jerusalem na Tel Aviv

    Wadau hamjamboni nyote? Hali ni mbaya Kwa Mayahudi tuwaombee sana IDF walidhani kupiga airport na kuharibu kiwanda cha mbolea wamemaliza kila kitu kumbe wenzao ni wajuzi zaidi yao Suluhu pekee ni ayahudi kuwarejeshea Wapalestina ardhi yao tukufu na kuondoa haraka majeshi yao huko Lebanon na...
  7. Mshana Jr

    Challenge ya kuokoa maji yasipotee bure kwenye bafu za hotel

    Hii ni challenge kwa wana mazingira na wapendao kutunza maji Maji ni uhai.. Bila maji maisha huwa ni magumu sana.. Wenye kujua umuhimu wa maji hubuni kila mbinu kuokoa maji yasipotee bure bila matumizi Kuna hii changamoto ya upotevu wa maji kwenye mabafu ya hotel zile sehemu zenye baridi ambako...
  8. V

    Tunachimba visima vya maji

    Karibuni sana wells tunachimba visima virefu vya maji safi Wengi wanauliza gharama za kuchimba kisima gharama za uchimbaji hutozwa Kwa mita geology ya eneo husika aina ya ardhi kama mfinyanzi jiwe mchanga Mteja fanya survey kupitia wataalam wa maji ujue eneo lako Lina maji umbali GANI then...
  9. V

    Wachimbaji visima vya maji vya kisasa

    TUJIFUNZE HATUA ZA KUFATA KABLA HUJACHIMBA KISIMA CHAKISASA (#borehole ) 1.#geophysicalsurvey HII NI HATUA YA KWANZA UPEMBUZI YAKINIFU KUJUA UWEPO WA MIKONDO YA MAJI NA IKO MITA NGAPI NA UZALISHAJI WAKE WA MAJI 2.#boreholedrilling HAPA NDIO SHUGHULI NZIMA YA UCHIMBAJI HUFANYIKA KWA KUTUMIA...
  10. V

    Tujifunze hatua za kufata kabla hujachimba kisima cha kisasa (borehole)

    Tujifunze Hatua za Kufata Kabla Hujachimba Kisima cha Kisasa (borehole) Geophysical Survey Hii ni hatua ya kwanza ya upembuzi yakinifu kujua uwepo wa mikondo ya maji, iko mita ngapi chini na uwezo wake wa uzalishaji wa maji. Borehole Drilling Hapa ndipo shughuli nzima ya uchimbaji hufanyika...
  11. Nipe Maji

    Waziri Aweso: Upatikanaji wa maji vijijini asilimia 83, mijini 91.6

    Waziri wa Maji Juma Aweso amesema upatikanaji wa Maji kwa Sasa ni asilimia 83 katika maeneo ya vijijini na 91.6 mijini. Kauli hiyo ameitoa Leo bungeni wakati akiwasilisha makadirio ya Mapato na matumizi kwa Wizara hiyo katika bajeti ya mwaka 2025-2026. Waziri Aweso amesema upatikanaji wa...
  12. Nipe Maji

    PreGE2025 Waziri wa Maji: Miradi ya maji 2331 imekamilika nchini

    “Jumla ya miradi ya maji 2,331 imekamilika ambapo 1,965 ni ya vijijini na 366 ni ya mijini na hivyo kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji vijijini kutoka wastani wa asilimia 70.1 mwaka 2020 hadi asilimia 83 mwezi Desemba, 2024 na maeneo ya mijini kutoka wastani wa asilimia 84 hadi asilimia...
  13. tamuuuuu

    Ankara za maji kuwa kubwa

    Mnasamehe et faini za maji! Je,inakuwaje kuhusu Ankara zilizopanda na kuwa juu hasa Arusha na kuwaacha watu katika sintofahamu na maumivu ya madeni ya maji? Huku mamlaka zikiwanyanyasa kwa kuwakatia maji!? Maji yamegeuka kuwa manyanyaso kwa Watanzania. Wakati wa kampeni ulaghai wenu ni...
  14. P

    Hii nchi ina wizara ya maji?

    Siyo kwa ukame huu. Mtu unajikongoja unapanga kwenye nyumba ambayo imeinganishwa na huduma ya maji, ila hayatoki. Hii nchi ina wizara ya maji kweli?
  15. A

    KERO Hospitali ya wilaya ya Tunduru vyoo vya wagonjwa vichafu na havina maji

    Hospitali ya wilaya ya Tunduru vyoo vya wagonjwa vichafu na pia hakuna maji yapata mwezi Sasa , je viongozi hawalioni hili?
  16. Dr Akili

    Bila chakula mtu anaweza kuishi kwa mwka mmoja lakini bila maji ni siku tatu

    Mtu anaweza kufunga kula chakula kwa mwaka mmoja na akabaki hai na salama. Mr Angus Barbiel, mwanaume wa Scotland, alifunga kula chakula (akiwa nyumbani kwake) kwa siku 382 kuanzia tarehe 14 June 1965 hadi tarehe 30 June 1966. Katika muda huo alikuwa anatumia tu maji, chai, kahawa na vitamins...
  17. Webabu

    Kumbe Pakistan ana nafasi kubwa kuichakaza India vita vikizuka. Modi hana nyenzo kuizuilia maji

    Kwa ujumla wake tukio la kuuliwa watalii wa ndani huko Pahalgam jimbo la Kashmir ni kitendo kilichopangwa kitokee muda mrefu tangu Narenfa Modi na chama chake cha BJP alipoingia madarakani.Lengo limekuwa ni kubadili ulinganifu wa watu wa maeneo hayo kuwapa nafasi zaidi wahindu dhidi ya waislamu...
  18. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    1Timotheo 5:23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo.Ni wakati sasa Wakristo tukubaliane kuwa pombe ni halali.

    Iwapo wewe hutumii kitu basi usipande mibarini na kuanza kuhubiri watu kuwa pombe ni dhambi. Kila mtu kashajiwekea mipaka yake wapo wapagani kabisa hawajawahi kuambiwa na kiongozi yeyote wa dini kuwa pombe ni dhambi lakin automatic tu hawanywi hiyo ni mipaka yao wamesha jiwekea wenyewe mfano...
  19. Just Pray

    Dar: Mto wafurika maji, mitihani darasa la nne yavushwa mto na dereva bodaboda

    Bodaboda akivusha mitihani eneo la Mto Mzinga maarufu Kwa Kichwa, Kata ya Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam baada ya kufurika maji kutokana na mvua zilizonyesha kuanzia jana. Mitihani hiyo ni ya wanafunzi wa darasa la nne ambao leo Jumanne Aprili 29, 2025 wanafanya mtihani wa majaribio...
  20. Madame B

    Tupike pamoja chapati za maji, zenye mayai, maziwa, nazi na hamira kidogo.

    Leo Jumapili niliamka nikiwa nina hamu sana ya kula chapati za maji. Ila leo nikasema kwa kuwa nina muda wa kukaa jikoni, ngoja leo nijikumbushe enzi zangu. Mahitaji na viambaupishi: -Unga wa ngano nusu -Mayai ya kuku 3 -Maziwa ya maji nusu kikombe -Tui la nazi kikombe kimoja -machicha ya nazi...
Back
Top Bottom