magufuli

  1. JamiiForums Tanzania Kama the Late Magufuli angekuwa hai , na ningepata access ya kuonana naye , ningemuuliza alimaanisha nini hapa hii siku

    Ningetaka tu nimuulize alimaanisha nini aliposema "ku trape" "simu zake" . Au kama alimaanisha "ku tape " " simu zake". https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=JzuSX3JoPcn6_H7R Huenda alimaanisha " phone tapping" ile kusikiliza maongezi ya simu kwa siri. Na basi kama ni hivyo " Ningemshauri...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu kiongozi, John Kijazi alifariki tarehe 17 Februari, mwezi mmoja baadaye akafariki Rais Magufuli

    Tarehe 17 Februari 2021, mauti yalimkuta katibu mkuu kiongozi Mhandisi John Kijazi. Kijazi amekufa waziri wa fedha kipindi hicho, Dr Philip Mpango akiwa mahututi hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma. Mwezi mmoja baadaye, mauti yakamkuta rais John Magufuli tarehe 17 Machi 2021. Some say that the...
  3. JamiiForums Tanzania Mwaka 2020: Hayati Magufuli alichukua fomu ya kuwania Urais ya CCM; kusaka wadhamini na kuidhinishwa

    Iko kwenye kumbukumbu, Hayati Magufuli alichukua fomu ya ndani ya CCM na kusaka wadhamini kabla ya kuidhinishwa na chama chake. Alipata wadhamini 1,023,911 katika mikoa aliyotafuta na kupata wadhamini hao. Kwakuwa alikuwa mwanachama pekee aliyechukua fomu ndani ya CCM kwa nafasi ya Urais...
  4. JamiiForums Tanzania Tofauti kubwa ya Magufuli the Great na Samia Suluhu Hassan ni hii hapa

    Licha ya kuitwa mbabe, dikteta na majina mengine mabaya, Magufuli alikuwa na mvuto wa pekee kwa wananchi kiasi kwamba hata hotuba zake zilivuta usikivu mkubwa sana kila kona ya dunia. Raia walimpenda kwa uamuzi wake wa papo kwa hapo na jinsi alivyonyoosha nidhamu katika ofisi ya Umma. Kwa...
  5. JamiiForums Tanzania Ingekuwa John Pombe Magufuli anamaliza muda wake leo hii bado aliyemuamini Rais Samia

    Hakuna mwanasiasa mpya ndani ya CCM Ambaye angeweza kuaminiwa na kukabidhiwa kijiti iwapo hayati Magufuli angekuwa anamalizia muda wake leo hii. Kama yupo basi Magufuli kwa uwazi kabisa angemteua kama mgombea mwenza kipindi kile. Itakumbukwa pia Mtu wa pili aliyetajwa kuaminiwa na Magufuli ni...
  6. JamiiForums Tanzania Hivi ile interview ya Jesca Magufuli na Millard Ayo itaendelea lini?

    Millard Ayo alisema interview ile ameigawa katika sehemu 4 ambazo zitatujia kwa awamu. Sijaona awamu nyingine yoyote tangu ile awamu ya kwanza itoke. Kulikoni? https://youtu.be/SsJYpX5saMM?si=yubCESsoyvMKCJxo
  7. JamiiForums Tanzania Ugomvi wa Nape, January, Kinana dhidi ya JPM ulitokana na nini hasa?

    Siasa za nchi hii zinachanganya sana, wote tunakumbuka jinsi hawa mapacha watatu walivyokuwa hawaivi chungu kimoja kabisa na Magufuli mpaka wakanaswa wakiwa wanamsengenya huku wakitengeneza waraka mzito na mpango wa kuutoa kwenye vyombo vya habari kutikisa nchi. Jambo ambalo sijawahi kuelewa...
  8. JamiiForums Tanzania Nilitarajia Polepole aweke hadharani ukweli juu ya kifo cha hayati Magufuli

    Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala. Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki tatu bila kumuona hayati hadharani? Je kulikuwa na uzembe? Polepole hajagusia kabisa!
  9. JamiiForums Tanzania Polepole analalamika rafu za JK kumbeba Samia urais CCM 2025, lakini alifurahia rafu za JK 2015 zilizopelekea Magufuli kugombea urais na kushinda!

    Huenda Polepole hakuwa anaelewa dhana dhima ya karma katika maisha ya kila siku. Lakini kwa kuwa katika press ya leo mara kwa mara amemtaja mwenyezi Mungu, huku akisema yeye ni muumini mzuri wa kikristo, basi alipaswa kukumbuka lile andiko linalosema; Apandacho mtu ndicho atakachovuma! JK huyu...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Uongozi mbaya wa Kikwete ulaumiwe kwa kukosa katiba, Mungu mtu Magufuli, bunge butu na rushwa

    Uongozi mbaya wa Kikwete ulaumiwe kwa kukosa 1. katiba, 2. Mungu mtu Magufuli, 3. Magu na umungu mtu akaleta bunge butu maana alijiona yeye pekee ni Mungu 4. Magu katuletea Mama kujifanya malkia 5. Magu katuletea utekaji 5. Mama Samia kaendeleza yote ya Magufuli + Rushwa 6. Mama katuletea...
  11. JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Rais Magufuli walikataa, Rais Samia usikubali Misaada ya kuingilia Sovereignty yetu!

    Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ni aibu kwa nchi tajiri wa rasilimali kama Tanzania kuwa beggers!, ombaomba!. Tuliambiwa tutafanya uchaguzi mkuu wetu kwa fedha za ndani, bila kutegemea fedha za wafadhili!, leo mabeberu wa ulaya EU, wamekutana na...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Wengi tulidhani ujio wa jua jipya utaleta nafuu lakini joto limekua kali zaidi, Nikiri kusema jua lililozama lilikuwa na nafuu zaidi

    Joto limekuwa kali zaidi hasa kwa wapinzani na wakosoaji bila kujali ni wa ndani au international, Yaani hata wale wa kwenye dini hakuna mwenye nafuu wala red line. Tulidhani jua la Dar lilikuwa mwisho wa maumivu lakini jua la sasa ni la Ifakara. -Mfumo uliowekwa hapo nyuma kuomba ajira kwa...
  13. JamiiForums Tanzania Kwanini polepole hakujiuzulu kwenye uongozi wa magufuli kama kigezo ni utawala bora wa kidemokrasia?

    Huyu mtu ndio alikua akitamba kwa "vieite", alikua yupo madarakani ulipofanyika uchaguzi wa serikali wa mitaa uliokua wa hovyo sana na wapinzani kukatwa, alikua yupo kwenye uongozi uchaguzi wa 2020. Kifupi CHADEMA wanasahau sana na ni wepesi kuwa deceived. Polepole anaondoka kwa maslahi yake...
  14. JamiiForums Tanzania Pamoja na Mazuri yake Hayati Magufuli ndiye aliyepanda Mbegu Mbaya sana ya kuua Demokrasia Nchini

    GT. Haya tunayoyana sasa ni mwendelezo wa ukandmaizaji uliopitiliza kuanzia awamu ya tano iliyoamini katika chama kimoja. Kwenye demokrasia Kikwete hatuwezi kumlaumu sana japo ufisadi ulimshinda. Uhuni unaotendeka sasa hivi ni matokeo ya 2020 aliyopanda Hayati Magufuli.. No reforms no election.
  15. JamiiForums Tanzania Kama Magufuli angelikuwa hai, nyakati hizi kuelekea Uchaguzi Mkuu hali ingekuwaje?

    Je angekuwa anajiandaa kumpisha Rais mwingine? Je angekuwa kashabadili katiba? Je uchumi ungekuwaje? SGR ingekuwa imefikia wapi? Hali ingekuwaje?
  16. JamiiForums Tanzania Fatma Karume, alikuwa na chuki binafsi na Magufuli

    Huyu alikuwa anamchukia Magufuli kuliko kawaida Ilikuwa ni chuki binafsi Utekaji umeisha? Watu ndio kwanza wanatekwa na kupakwa mafuta na kufirwa na kubakwa Halafu anatetea watu Kama hawa Huyu ndiye aliwaunga mkono CHADEMA walivyogomea serikali za mitaa mwaka 2019 Je Nini kimebadilika...
  17. JamiiForums Tanzania Mwaka 2015 Rais Magufuli angepewa uwaziri Mkuu , tungepiga hatua kubwa sana na inawezekana he could be still Alive

    Kushindwa kumuelewa MTU na kukosa maono . Kwa nature ya Magufuli., he was not a good politicians . Kwahiyo mambo ya ndio na hapana even criticism ,those things need high level of emotional intelligence. Unfortunately JPM never had those attributes. Kama tungekuwa na jicho zuri JPM could be...
  18. JamiiForums Tanzania Kutoka Maktaba: Hayati Rais John P. Magufuli akiongelea tukio la utekwaji wa Mo Dewji na polisi kutochukua hatua yoyote kukamata watekaji

    https://www.facebook.com/share/1ECrkUXYWT/ Hii hotuba ya Hayati John P. Magufuli kuhusu utekaji na upoteaji wa watu inafikirisha sana.. Nimejiuliza swali moja, kwamba, hivi inawezekana mambo ya utekaji, upoteaji na kuuwawa kwa watu wasio na hatia na watu wasiojulikana Rais wa nchi ikawa hajui...
  19. JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alifanyaje kumaliza ajali?

    Wasalaam Hayati Magufuli alifanya nini kumaliza ajali za barabarani?Hii sio kitu kwa watawala na wanaowajibika kwa usalama barabarani? Au tutolee mfano familia za watawala kama swala la utekaji? Pole wote wanaojeruhiwq lakini wapumzike kwa amani wote waliotangulia kwa ajali hizi
  20. JamiiForums Tanzania Majaliwa: Kifo cha Magufuli kilituacha na Giza Nene, lakini Samia alisimama Imara kwa Busara na Ujasiri wa Kipekee

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, leo Alhamisi Juni 26, 2025, ametoa hotuba ya kuhitimisha Mkutano wa 19 wa Bunge la 12, huku akimkumbuka hayati Rais John Magufuli na kumsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuongoza vyema licha ya kuachiwa nchi katika kipindi kigumu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…