mafisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kunje Ngombale: Nikiwa rais nitafuga mamba kwa ajili ya mafisadi

    Mgombea Urais kupitia Chama Cha Wakulima AAFP Kunje Ngombale Mwiru Akiwa kwenye mwendelezo wa kampeni za Wagombea Urais, Wabunge na Madiwani katika Jimbo la Morogoro kusini kata ya Matombo amewahutubia wananchi wa eneo hilo na kunadi sera zake, Ngombale Mwiru amesema ya kwamba kama akipata...
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Watanzania mpo tayari kuchagua kiongozi ambaye yupo bega kwa bega na mafisadi waliokwapua billioni 60

    Kwamba watanzania mpo tayari kumchagua mgombea wa CCM ambaye yupo pamoja na mafisadi Kwamba watanzania ni wajinga na wapumbavu. Mnalipa kodi huku wahuni wanazipora kiulaini huku nyie mnahangaika kupata chakula Je mpo tayari kumpigia kura mgombea wa CCM ambae kiuhalisia yupo ofisi moja na...
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kimenuka nchi jirani Wananchi wadai Ruto anashughulikia mafisadi kama Shujaa Magufuli

    Leo tu taasisi ya kupambana na Rushwa imewakamata Magavana watatu na wako korokoroni hadi kesho watakapopandishwa kizimbani Waziri wa Afya amekabidhi kwa DCI mafaili ya zaidi ya mafisadi 100 waliofisadi bima ya afya Ndio Wananchi wamedai Shujaa Magufuli kafufukia Kenya
  4. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa ITV na Mfanyabiashara REGINALD MENGI aliwahi kutaja kundi Mtandao la Mafisadi 5 Bora na ROSTAM AZIZI akiwemo kama Fisadi

    Aliyekuwa Mmiliki wa ITV, Radio One and Capital TV na Capital Radio aliwai kuwataja mafisadi 10 nchini, huku ROSTAM AZIZI akishika kwenye 5 bora ya mafisadi nchini. Hii ni video enzi za kikwete kabla ya Magufuli hajawai Rais... na Hawa mafisadi ndio kundi mtandao alilokuwa anazungumzia Humphrey...
  5. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe anayesema Mpina atawafunga Mafisadi kama Magufuli,ndiye Zitto aliyetutukana kama tunampenda Magufuli basi tukazikwe nae Chato

    Chawa wa Mama aliyediliki kusema kama mnamoenda sana Magufuli basi nendeni mkazikwe nae,je yeye amezikwa na Mama yake aliyekuwa anampenda,hili lilikuwa tusi kubwa sana kwa Watanzania,baada ya hapo Hajawahi kumuongelea vibaya Mama Samia hata kidogo licha ya Ufisadi kukithiri zaidi ya awamu zote...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Polepole: Kosa moja Magufuli alilolifanya ni kutaka kufanya maridhiano na watu ambao hapaswi kuridhiana nao, mafisadi, wezi

    Polepole: Kosa moja Magufuli alilolifanya ni kutaka kufanya maridhiano na watu ambao hapaswi kuridhiana nao, mafisadi, wezi ni moja kosa kubwa sana alilifanya Magufuli akaamini wataridhia na ni watu ambao walipigana sana mwaka 2020.
  7. Mfilisti

    JamiiForums Tanzania Tunangoja nani aje kutuokoa kama sisi wenyewe tumeamua kukaa kimya na kuishi na Majizi na Mafisadi?

    Je, Watanzania tumeridhia kudhalilishwa kila miaka mitano kwa kuwekewa viongozi bila kuchagua? Vyombo vya habari vipo, lakini kwa nini havina meno ya kuuliza maswali ya msingi kuhusu uhalali wa uchaguzi na wizi wa kura? Ni hofu au ni kununuliwa? Kama Raisi mwenyewe alikiri kura zinaibiwa na...
  8. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Udini Dhidi ya Maaskofu ni Hoja Potoshi za Mafisadi wa CCM Kukwepa kuambiwa ukweli

    GT Hawa viongozi wetu maaskofu hawajawahi kupoa hasa linapokuja swala la uadilifu na kutenda haki, huwa hawacheki na yeyote. Hivi sasa kumeibuka hoja kwamba eti ni wadini this is BIG NO kiufupi hawa jamaa siyo wanafiki. Mafisadi wanakuja na propaganda hii kukwepa kusikia Ukweli. Kama ingekuwa...
  9. mr mkiki

    JamiiForums Tanzania Profesa Mussa Assad: Ufisadi umeshamiri kwasababu Mafisadi Hawaadhibiwi

    Asema hana matumaini na kizazi cha sasa katika kujenga jamii mpya, ataka nguvu ziwekezwe kwa vizazi vijavyo. Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu (Mstaafu) wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, amehusisha kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu wa mali za umma na aina nyingine za ufisadi...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nashuku sana watanzania kwa kumpuuza Polepole na mafisadi wenzie

    Imebaki kundi dogo la ambao angalau wana uhakika wa kesho yao ndo wanamfatilia Polepole ila sisi walala hoi tumempuuza Polepole na mafisadi wenzie
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Rais Samia kushindwa kuongoza nchi, kanda ya ziwa tutaenda na Luhaga Mpina 2025 ili akakate kamba za mafisadi

    Kwa tathimini iliyofanyika ni kwamba Rais Samia hawezi tena kuongoza nchi hii ya Tanzania hivyo unahitajika mbadala wa haraka ambao ni Luhaga Mpina Chini ya utawala wa Rais Samia ni salama zaidi ukiwa fisadi kuliko ukipinga ufisadi! Ndiyo maana Askofu Gwajima amefungiwa kwa kukemea utekaji...
  12. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania GE2025 Harambaee imejaa ‘watu Fulani Mafisadi’

    Wakuu, Hii harambee ya Chama tawala imejaa genge Fulani la watu wachafu tu na hawana interest na taifa letu, Urais ni cheo cha juu kabisa na nadhani ni vyema kika serve interest ya umma kuliko Kuhuduma kwa cartel Fulani la watu wachache, power inakuja na Kuondoka ila generation zetu zitakuwa...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Rostam, Kikwete na Lowassa: Mafisadi nyuma ya mradi wa Richmond

    Siongei sana, maneno mafupi tu. Kampuni Ya Richmond ilianzishwa na Rostam akiwa na back up ya Kikwete Raisi, Na Lowasa Waziri Mkuu. Lowasa alitoa maelekezo makali Kwa Mkurugenzi wa TANESCO wa wakati huo, pamoja na Tenda bodi ya TANESCO ndani ya Ikulu ya Magogoni, akitoa mkwara mzito kweli, Kuwa...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Bora kipi bunge la wasomi mafisadi au machawa wasio mafisadi?

    Jitafakari!!
  15. Ryan Holiday

    JamiiForums Tanzania Kumbikizi: Mengi alivovichua mafisadi papa wanaoitafuna nchi

    Polepole hajakosea, Marehemu Mzee Mengi huyu hapa. https://www.youtube.com/watch?v=aSNSXYBsV1M
  16. Griss

    JamiiForums Tanzania Uwa najiuliza majizi na mafisadi ya nchi hii ambavyo yalikuwa yakimpigia kelele Magufuli lakini sasahivi yapo kimya Nini kimebadilika?

    Uwa najiuliza majizi na mafisadi ya nchi hii ambavyo yalikuwa yakimpigia kelele Magufuli lakini sasahivi yapo kimya Nini kimebadilika? Mafisadi Kama Msongola &.com nini kimebadilika ? Magufuli alisingiziwa tu Ukiangalia Magufuli alimkataa kabisa Makonda kwa kujuwa huyu mtu dunia inamtambua...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Mafisadi sasa wanatamba

    Habari wadau Hivi pesa wanazotumia vilabu kama Singida big Star na Yanga ni fedha halali?? GSM anadhamini vilabu zaidi ya 10 hizi fedha wanazitoa wapi?? Hatujawahi kusikia huyu GSM ameita vyombo vya habari na kuweka bayana ufadhili wake kwa Yanga. Waweke vyanzo vyao vya fedha ili Umma ujue...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Ukimsikia rais Samia anaita watu wanaofichua ufisadi sio wazalendo mwambie wasio wazalendo ni hao mafisadi waliofichuliwa na sio watumishi wa umma

    Hivi karibuni kuna fichua fichua ya ufisadi imeonekana cha ajabu, nikamsikia samia badala ya kulaani ufisadi huo na uovu huo anaanza kulaumu mtumishi wa umma aliye fichua ufisadi huo heti "jitu sio mzalendo" hii ni ya wapi ? inasikitisha sana hapana tunataka mabadiliko ya raisi, tunataka...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ni uzalendo kufichua ufisadi na mafisadi ndani ya serikali.

    Sabato njema! Ni jukumu la wazalendo mahala popote walipo iwe ni watumishi wa serikali, viongozi wa serikali au raia wa kawaida. Jukumu namba moja la mzalendo ni kulinda nchi yake. Kulinda maslahi ya watanzania. Kufichua ufisadi na mafisadi ni sehenu ya kulinda Nchi na kulinda Maslahi ya...
  20. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Mapato yote serikalini yanamezwa na mafisadi — wao wanakula, sisi tunadanganywa na bajeti hewa!

    Wakuu, kama hujawahi kukasirika hadi damu ipande pressure, basi soma huu uzi kwa makini. Hii siyo lelemama, siyo kutafuta kiki wala siasa za kishamba — hii ni sauti ya uchungu, hasira na uhalisia wa mnyonge wa Tanzania anayeishi kwa maajabu ya Mungu. Serikali imetangaza bajeti ya mwaka wa fedha...
Back
Top Bottom