"Kijana, unapopata mafanikio, usisahau Baba na Mama yako, waweke karibu na baraka zako. Kama una wadogo zako na uwezo wa kuwasaidia, wavushe kwa kuwajengea msingi wa kujitegemea, si kwa kuwawekea utaratibu wa kukuomba pesa kila mara. Mke/mme uliye naye, mpe heshima anayostahili na yenye hadhi...