Ugumu wa maisha na mafanikio ya binadamu

Ugumu wa maisha na mafanikio ya binadamu

Alloyce PR

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2020
Posts
803
Reaction score
870
"Ulishawahi kujiuliza kwa nini wengi wanaofanikiwa kimaisha au kuwa viongozi hutokea maisha duni? Ni kwa sababu mateso huwafundisha kusimama bila kuegemea, kuvumilia bila kulalamika, na kutamani mafanikio kuliko usingizi."— Alloyce, P.R.
 
"Ulishawahi kujiuliza kwa nini wengi wanaofanikiwa kimaisha au kuwa viongozi hutokea maisha duni? Ni kwa sababu mateso huwafundisha kusimama bila kuegemea, kuvumilia bila kulalamika, na kutamani mafanikio kuliko usingizi."— Alloyce, P.R.
Binadamu akipata changamoto ama yasiyotarajiwa huamsha ubongo kuchakata taarifa za kuwezesha kupata suluhisho anapofanya hivyo hukutana na ubunifu

Binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
 
Binadamu akipata changamoto ama yasiyotarajiwa huamsha ubongo kuchakata taarifa za kuwezesha kupata suluhisho anapofanya hivyo hukutana na ubunifu

Binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri
Umenena vyema 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom