maandamano oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    GE2025 Mkeka Oktoba 29: Nani atatamba na odds zake?

    Wakuu, Ikiwa zimebaki siku 15 Watanzania tuamue jinsi tutakavyosonga mbele, bado hakuna anayeweza kusema kwa 95% kuwa jambo fulani ndio litajiri. Wanaoingia kwenye uchaguzi hawana uhakika, kwa upande mwingine mwanga unaonekana ila bado pia kusema kwa for sure jambo litakuwa hivi. ile tar 29...
  2. Waufukweni

    GE2025 John Bina: Wanaotaka kuandamana Oktoba 29, Samia usiwahuruhusu, walegezwe kidogo, ningepewa hata unaibu IGP ningewavunja asubuhi tu!

    Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Nchini (FEMATA), John Bina, amemwomba mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua dhidi ya watu wanaodaiwa kupanga maandamano Oktoba 29, 2025, siku ya Uchaguzi Mkuu. Bina ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 13...
  3. Nyani Ngabu

    GE2025 Mnaolitegemea Jeshi imekula kwenu!

    Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha. As time passes by, those sentiments will age like fine wine. On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like...
  4. Waufukweni

    GE2025 Samia: Vijana tukalinde Amani, tusikubali kushawishiwa kuharibu Amani yetu

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni leo Oktoba 12, 2025, Runzewe, Mkoa wa Geita amesema; "Nchi inayoitwa JMT iko moja peke yake, na toka nchi hii imeundwa tumepigana vita moja tu na Idi Amin na kwasababu...
  5. Waufukweni

    GE2025 Regina Mikenze: Hatutaki kumpoteza kijana hata mmoja katika maandamano, tunawaomba mkaitunze amani ya Tanzania

    Mgombea ubunge viti maalum kupitia CCM, Regina Henry Mikenze, akiwa kwenye kampeni Bukombe, Geita, leo Oktoba 12, 2025, amesema: "Serikali ya Samia imewekeza sana kwa vijana; iwaje leo wakalipize kwa kufanya vurugu katika nchi. Naomba niongee na vijana Wanawake wa Mkoa wa Geita, tunawaomba...
  6. Waufukweni

    GE2025 Mchungaji Victoria: Tutapata wapi sadaka mkiandamana? Sisi tunaishi kwa kula sadaka

    "Sisi Tunakula Sadaka, Maisha Yetu ni Sadaka” Mtumishi wa Mungu Mchungaji Victoria Joseph wa Life Center International Bible College pamoja na wengine wamesema kuwa wao kama viongozi wa dini, endapo amani itatoweka kutokana na kelele za mitandaoni, watakosa sadaka. Wakizungumza na waandishi wa...
  7. Cute Wife

    GE2025 Polisi wanatroti na kupasha misuli kila siku, wananchi tumeanza mazoezi?

    Wakuu, Safari hii polisi karibu kila siku wanaonekana barabarani wakifanya 'mazoezi' na kujiweka fiti, yote haya ni kujiandaa kukabiliana na wananchi watakaoandamana siku hiyo, pamoja na kuwatisha ofkoz, kuwa msisubutu kwani tutakuwepo barabarani kuwakabili. Wakati polisi wakiendelea na...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

    DODOMA: MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Peter Mavunde, amewasihi Watanzania kudumisha amani na utulivu wa taifa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati taasisi hiyo ilipotembelea miradi ya kimkakati inayotekelezwa na...
  9. tonicimmobility

    Juhudi hii ya kuzuia maandamano ingetumika kuwashauri watawala wafanye uadilifu na usawa wa wanaowaongoza basi hizi porojo tusingezisikia leo hii

    Siku Ya Kiama ikifika tutashughudia mengi. Nyumba za ibada zimegeuka sehemu za kuongea vitu havihusiani na dini huu ni mtihanii watu tunaowategemea kutunyoosha tufate njia ya Allah ndo kwanza hawaeleweki kinachonisikitisha ni mambo ya siasa kuyaingiza kwenye udini hao wanaoandamana ni pamoja na...
  10. Cute Wife

    GE2025 CHADEMA: Toka Oktoba 1 hadi 9, 2025 wametekwa watu 13! Ni karibu watu wawili kila siku!

    Salam Wakuu, Hali imezidi kuwa mbaya nchini aisee! Yaani kila siku wanatekwa watu wawili, tumekuwa nchi ya ajabu sana! Na hawa ni wale wanaorekodiwa, halafu kuna wale ambao wanapotea kimyakimya taarifa hazifiki mtandaoni! Tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda huku tukikosoa yanayofanyika...
  11. Waufukweni

    GE2025 DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ametoa onyo kali kupitia comment yake Instagram dhidi ya mwananchi aliyeahidi kuandamana wilayani humo. Kupitia comment yake Instagramo kwenye post ya operesheni ya kuteketeza mashamba ya bangi katika maeneo ya mpakani mwa Kisarawe, Mafizi, Dololo na...
  12. PAYE

    GE2025 Mussa Zungu: Maandamano yaliyopangwa kufanyika Oktoba 29, hayatofanyika hawana ubavu huo

    Mgombea Ubunge jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amewahimiza wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29 akihimiza kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika siku hiyo hayatofanyika kwani hawana ubavu huo.
  13. Cute Wife

    GE2025 Fanya hivi ili usidakwe kirahisi na 'wanamtandao' wanapokutafuta kupitia Instagram

    Wakuu, Jamaa kaelezea kwa lugha rahisi huku ukiwa unaona jinsi watu wanavyoweza kukudaka ukiwa umeachia sehemu ya location kutumika kwenye mtandao Instagram. Fuata maelekezo, jilinde. Mbali na hili, tofauti na biashara acha kupenda kupost maeneo unayopenda kutembelea au unapopoa mara kwa...
  14. Mafyangula

    GE2025 Golugwa awaka vikali wanachadema waliopigwa na polisi mahakamani. Endelea kuja kusikiliza kesi ya Lissu

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Aman Golugwa akiongea na Wanahabari leo Oktoba 07, 2025 nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar Es Salaam amewasihi wananchi na wananchama wa chama hicho kujitokeza kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wao wa Taifa, Tundu Lissu. Sambamba na hilo Golugwa awaonyesha...
  15. McLaren

    GE2025 Mzee Butiku amjibu Kapteni Tesha: Yeye sio askari na kama ni askari atakuwa na jeshi lake jingine

    Wakuu, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali. "Nilimuona ana ndevu...
  16. R

    GE2025 Wananchi Dar es Salaam: Wanaojipanga Maandamano Oktoba 29 waache tunaiamini Serikali, Tukatiki

    Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakijitenga na ushawishi wa mitandaoni unaotaka kuwapotosha kwa maandamano au kutoshiriki kupiga kura. Wamesisitiza kuwa wanatambua vyema umuhimu wa amani na athari za vurugu...
  17. Lord Denning

    Tarehe 29 Oktoba ni siku ya kuifuta CCM na kulikomboa Taifa

    Kama upo karibu na Ofisi yeyote ya CCM iwe ya Mtaa, Kata au Wilaya kazi kubwa ni kuhakikisha hiyo Ofisi inafutika Kama upo jirani na Kiongozi yeyote wa CCM kazi iliyobaki ni kuhakikisha nyumba yake inafutika Kama upo jirani na Ofisi za Taasisi zinazojulikana kwa kukandamiza raia kama Mahakama...
  18. Scared

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Unajua kuna jambo silielewi. Haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au wananchi wote tujue kabisa maana kila sehemu hawa wahamasishaji wanatamtaja mwenyekiti wa CHADEMA Lissu Ina maana tunaenda kufa kwa ajili ya Lissu au nchi sielewi ujue wazee Naomba tueleweshane kwa watu kama sisi tusio...
  19. Cute Wife

    GE2025 Uteuzi UDART: Pius Ng'ingo Mkurugenzi Mkuu, Waziri Kindamba atenguliwa. Said Tunda ateuliwa Mtendaji Mkuu, Dkt. Kihamia atenguliwa

    Wakuu, Wananchi mmeoana vile nguvu yenu inayoweza kufanya! Kidogo tu wametema bungo, Murilo anaongea kistaarabu kama anaongea na wananchi wa Tanzania😂🤣🤣. Raia hawakuogopa kitu jana, polisi hata baada ya kupiga risasi moja juu, walijua nini kinaenda kutokea baada ya raia kudinda, wameona...
  20. Cute Wife

    GE2025 Wananchi kushambulia mwendokasi media kubwa zote hadi TBC wameuchuna, waliopost wameepuka kuandika wananchi washambulia!

    Wakuu, Hii inashangaza! Chalamila alipoenda kutembelea mwendokasi jana Oktoba 1 asubuhi media zote zilipost,na uchawa wa kutosha kwenye maigizo na maagizo yaliyotolewa! Sawa, walitimiza wajibu wao, wananchi tukahabarika. Mambo yakageuka wananchi walipogomea mwendokasi na kufanya vurugu...
Back
Top Bottom